Mabingwa wa kihistoria ligi kuu bara, yanga sc wameendelea kujifua huko Avic town.
Katika mwendelezo wa mazoezi yao mwalimu aliyepewa mikoba ya kukinoa kikosi hicho kwa muda, amekuja na programu kabambe.
Programu hiyo kabambe ameipa jina
KROSI.... Mikimbio kwa siku zinapigwa takribani krosi...