FT: Simba SC 1-1 RS Berkane (Agg: 1-3) |
Ni kufa au kupona.
Ni fainali ya mkondo wa pili katika kombe la shirikisho barani Afrika.
Simba SC Vs RS Berkane, mchezo wa kwanza Simba alifungwa 2-0.
Leo atakuwa na nafasi ya kujiuliza katika mchezo wa mkondo wa pili.
Mchezo ni saa 10:00 jioni kwa...
Kuna yeyote anayebisha? Kama timu yako imewahi kucheza fainali yoyote ya CAF katika dimba la Mkapa, nyoosha mkono juu.
Vinginevyo kaa kimya.
FT aggregate 1:3 😀
Mashabiki wengi wa Simba ni awajielewi kabisa,,Leo hii wanapiga mayowe eti refa kawanyonga na wamesahau ni refa uyu uyu alikataa goli halali la yanga kule kwa madiba na wakakenua meno yote 32 nje?
Goli lile laiti lingekubaliwa lingeipekeka yanga hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa laana ambayo...
Habari za muda huu wana jamvi
Je ni sahihi kwa hiki kilichofanyika uwanjani?
Ule utani wa jadi uko wapi?
Ushabiki utaenda kutugawa muda si mrefu tutaanza kuona watu wakipigana mapanga na kuuwana kisa ushabiki wa timu hizi mbili.
Wasemaji wa hizi timu kuna namna wanasababisha haya mambo...
ZNZ N MOJA YA SEHEMU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WANA UWANJA UNAKIDHI MATAKWA NA SHERIA NA KANUNI ZA CAF
HAKA KAUSEMI NIMEKAPENDA SANA KWENYE MAJIBU YA CAF....
NIRUDI KWENYE MADA WANA SIMBA WAKATI YANGA WANAVAA JEZI ZA VISIT ZNZ HAMKUWAELEWA EEEH
YAANI NA WANANCHI TUMETENGENEZA...
Kama CAF
Wamesimama MSIMAMO WAOO
NASHAURI YANGA msikubali kuchezea kwa mkapa final ya crdb
Huo UWANJA HAUKO salama kwa mechi kabisa
Yaani wamehangaika gafla KUREKEBISHA kisa final
Huko nyuma walikuwa wapi na kama walikuwa na uwezo WA KUREKEBISHA mapema kwa nn wasubiri CAF ichague AMAN ndio...
Yanga wamemuuza Aziz ki Kwa billion 2.5 kwenda Wydad Casablanca na atalipwa dollar 70,000 Kwa mwezi
Aziz ki alinunuliwa kutoka Asec Mimosas Kwa kiasi cha Million 400,
Aziz ki amecheza Yanga Kwa mafanikio makubwa
Leo Yanga wametengeneza faida ya zaidi ya billion 2
Aziz ki anaenda kucheza...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Baada ya wananchi yanga kutinga hatua ya fainal za CRDB tiar viongozi wa Simba wameanza mbinu za kukimbia game
Na mbinu yao ya kwanza kabisa itaanza kwenye game yao na singida
Yenu macho
LONDON BOY
Mchezo wa leo wa nusu fainali ya CRDB CUP, Kiungo Stephen Azizi Ki utakuwa mchezo wake wa mwisho ndani ya kikosi cha Yanga SC.
Azizi Ki anaondoka Yanga SC baada ya mchezo wa leo dhidi ya JKT Tanzania.
Source: Nassib Mkomwa kupitia akaunti yake ya X zamani Twitter
Toka Jumatatu team ya watu 13 wamepambana sana kutembea sehemu mbalimbali kusimamisha hii game. Tumeenda Morogoro, Tanga, Zanzibar, Mtwara na Tabora. Matokeo ambayo tumepewa ni ya kuridhisha.
Mkia anachapwa first leg na 2nd pia hafanikiwi. Kombe linaondoka. Wazee wamepambana sana. Simba...
CAF imemteua mwamuzi wa kimataifa kutoka Mauritania, Dahane Beida, kuchezesha mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane utakaopigwa Mei 25 huko Zanzibar.
Hawa ndio waamuzi wa VAR kwa mchezo wa Simba dhidi ya RS Berkane
• Mkuu wa VAR...
Muda si mrefu
Azam nao wamejiandaa kutopeleka timu yao kuonyesha mpira 15 jun
Mpaka walipwe hasara walizotumia tar 8
Sasa bodi ya ligi a Karia wenu
Nendeni mkajipange na hawa wapangieni ratiba kama mlivyojichanganya
Kazi iendeleeee
Mbunge wa Tarime vijijini ameibuka na Vijana wanao Beti na kusema somo hilo watu wanasoma kutoka shuleni. Amesema hata yeye amesoma darasani kuhusu mambo ya kubeti huku akitolea mfano na karatasi kubwa bungeni.
Bodi ya Ligi inamtafuta Nini Yanga, yani wamepanga mechi za yanga mwishoni mwa mwezi wa Sita , yanga anacheza Leo tarehe 13.05.25 , mechi ingine inayofuata ni tarehe 18.05.25 mechi ingine ni tarehe 15.06.25 hapo Kuna gape la siku 27 yanga atakuwa hajacheza mechi, hii imefanywa makusudi Ili...
Asubuhi ukifungulia redio kwa masaa zaidi ya 2 utasikia wanajadili mechi ya simba na yanga. Wanajadili jambo hilohilo kila siku.
Wakibadili mada basi italetwa mada ya kamari. Mara cheza pesa, tatu mashetani, weka butua.
Failed state
Failed leadership
Failed citizens
Uongo wa hii timu huwa unawachota hadi baadhi ya mashabiki wa Simba na wao kuingia kwenye mfumo.
Walishafanya kwa chama wakimuita konokono baadhi ya mashabiki wa Simba wakaingia kwenye mkumbo wa kumlaumu chama kuwa amezeeka,lakini hatimae akasajikiwa yanga kiulaini sana.
Yanga wakaanza kelele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.