yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. Komeo Lachuma

    Kwa hili nawapongeza Mikia Yanga tuna cha kujifunza. Tuache Ushabiki Maandazi

    Sasa sina lawama na Simba. Kwa hili jambo lazima tufikie hatua tutumie akili na ufahamu. Hii nafasi waliyoshika Simba si ya kawaida kwa budget yao. Hawapaswi kuwa hapo. Inashangaza wanawezaje kushika nafasi hiyo. Sisi Yanga tunabaki na majungu, unafiq na wivu. Hapa Simba tuwasifu kwa kweli.
  2. funaku

    Fiston Kalala Mayele-Mchezaji aliyekuzwa na Yanga!

    Hii ni hazina nyingine ya Dar Young Africans inayoenda kuushangaza ulimwengu. Hajawahi kuisahau Yanga. Kama alivyokuwa yule mwingine shabaan nonda Papii Yanga imempeleka Striker hatari ulimwenguni.
  3. Franky Samuel

    Yanga kumenyana na Rayon Sport June 15

    Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo. Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda. Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa...
  4. Waufukweni

    Yanga SC kucheza mechi ya kirafiki na Rayon Sports Juni 15 Kigali, yakataa mechi ya Dabi dhidi ya Simba

    Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo. Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda. Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa...
  5. U

    Yanga wenyeji Mechi yetu tukacheze Amani, Simba wapewe tiketi 500 sawa 5%

    Naomba uongozi wa Yanga , wafanye juu chini mechi ya Derby tusicheze Kwa mkapa kwakuwa uwanja ule unamatatizo ya pitch lakini pia ,inasemekana Simba Kuna vidubwana wameweka chini Ya Ardhi. Pia na sisi mechi hii kwakuwa sisi ni wenyeji ,lazima tufanye ubaya ubwela kweli kweli, kwanza Simba kama...
  6. M

    Shida kubwa ya kikosi cha Simba ni quality ndogo ya wachezaji na siyo uchovu wa mechi. Ratiba kama yao Yanga aliipitia 2023/2024!

    Napingana na baadhi ya mashabiki na wachambuzi wanaotafuta kichaka cha kujifichia kwamba Simba ratiba yao imekuwa ngumu ndio maana wachezaji wamechoka na wakafungwa hili jambo sio kweli ata kidogo! Maana ya kikosi kipana sio kuwa na rundo la wachezaji tu ni kuwa na wachezaji wanaolingana ubora...
  7. GENTAMYCINE

    Nawaonya Simba SC yangu kwa mara nyingine tena kuwa 'Bwetekeni' Yanga SC HACHEZI nasi, kisha akileta Timu tarehe 15 Juni, 2025 tufungwe 12-0 sawa?

    Nina taarifa za uhakika kabisa kuwa Yanga SC ATACHEZA hiyo Mechi ila wanatumia Mbinu Kuu mbili za SAIKOLOJIA na PROPAGANDA ili tu KUIDHOOFISHA Simba SC hivyo NAWAONYA kwa mara nyingine Simba SC kuwa kamwe TUSIBWETEKE na WASITUDANGANYE bali ukweli ni kwamba Mechi ipo na hiyo tarehe 15 mwezi Juni...
  8. Yoda

    Swali la ufahamu kuhusu siasa za mpira wa Simba na Yanga katika tuhuma za kuhujumiana na upendeleo kati yao

    Huwa naona mashabiki na wasemaji wa pande zote wa hizi timu mbili za Simba na Yanga wakiwa wanalalamika kwa uchungu sana kuhusu upande mwingine kuwahujumu, wakati mwingine huwa naona kama ni utani tu ila wakati mwingi huwa naona wako serious sana hadi mishipa na jasho vinawatoka na wengine...
  9. M

    Yanga Sc Twendeni Tukacheze Derby

    Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa...
  10. Mstahiki Mea

    Simba kuweni makini Yanga niwajanja sana

    Kuelekea mechi ya watani yanga nikama wanataka kuanza kushinda nje ya uwanja , drama wanazofanya kwa vyovyote vile zinadhoofisha maandalizi ya Simba , wanataka kuwin kwa simba kuchukulia mchezo wa watani kama mechi ya kawaida. Simba tubatakiwa kujipanga sana ili kupata walau alama kwenye huo...
  11. Just Pray

    PreGE2025 Heche: CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi watuibie sisi tumekataa, Inawezekanaje Haji Manara awe refa mechi ya Simba na Yanga?

    "Inawezekanaje mechi inachezwa kati ya Simba na Yanga alafu refa ni Haji Manara? Yaani mtu atachezewa faulo katikati yeye atapeleka kwenye penati wakati hata hakuchezewa kwenye box. Au mshika kibendera ni Ahmed Ally, offside zote atasema ni magoli. CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi...
  12. Fbn

    Simba na yanga ndio tatizo kubwa la kutumiwa kisiasa na kuzolotesha michezo.

    Wachezaji wazawa wengi chipukizi wanawaza kujulikana kupitia simba na yanga. Ndoto za vipaji vya watu vikikosa kucheza simba na yanga ndio basi. Siasa nayo imekuwa kwenye simba na yanga mpaka bungeni na raisi. Hakuna la maana kwa wachezaji simba na yanga ni bora wazeeke simba na yanga wala...
  13. S

    Mechi ya Leo Simba vs Singida imeonyesha namna Gani Simba ilivyokuwa na mabeki wabovu

    Naishauri timu yangu sio kwa ubaya, mabeki wetu wa kati Chamou Karabou, Che Malone Fondoh na Abdulrazack Hamza na yule Hussein Kaze ni mtihani na presha tupu, Che Malone amepungukiwa sana uwezo, Sasa hivi hana Tena maajabu, Chamou ni mzito na kama ningekuwa karibu naye ningemshauri ageukie...
  14. Waufukweni

    Yanga yalaani vikali vitendo dhidi ya Mashabiki wake kupigwa na mashabiki wa Simba kwenye Fainali ya CAF Zanzibar

    Uongozi wa Klabu ya Young Africans umetoa taarifa ya kulaani vikali vitendo vya kupigwa, kuchaniwa jezi na kufukuzwa uwanjani kwa baadhi ya mashabiki wake katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika uliofanyika Mei 25, 2025 katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Kupitia taarifa hiyo...
  15. U

    Mwigulu , Yanga tutakupa Urais 2030, tafadhali Tufungie haya Makolo Leo, Piga Hao watoto wa TFF/TPBL

    Kwakuwa Yanga tunaipenda Tanzania, NA tunaipenda Timu yetu Singida Black stars, basi kwakuwa sisi yanga population yetu ni kubwa kufikia asilimia 75 ya population ya nchi, na ukizingatia Sisi yanga ndo Wananchi wenyewe, basi sisi tuna ushawishi mkubwa, japo tunaonewa na TFF na Bodi ya Ligi ambao...
  16. N

    Je , singida kupangasa kikosi dhaifu leo dhidi ya Simba kama walivyofanya dhidi ya Yanga?

    Hapa Sasa ndio tutajua matawi halisi ya nyuma mwiko.... Natarajia leo singida wapange kikosi kama walivyocheza na timu inayoitwa "wenye akili ni wawili tuu".
  17. W

    Tukiweka ushabiki pembeni mimi naona ni bora Yanga ndio aanze kuleta kombe la Caf, watapiga kelele wiki 1 au 2 maisha yataendea

    Ni kwli watani wote wa jadi wana kelele za kutambiana ila Yanga wana nafuu, ikitokea wakashinda kombe la Caf kutakuwa na kelele ila ni kwa muda mchache yataisha. Kwa simba hali ni tofauti kabisa, yaweza chukua mwaka mzima kinaongelewa kitu hicho hicho
  18. Pdidy

    Simba walisema medali bila kombe ni kama shanga tu, Yanga walivaa shanga sisi tunaleta kombe.. Mabati fc mpooo tujikumbushe

    BANA WEWEE USITUKANE MAMBA UJAVUKA MTU MSIKILIZEE MWAMBA ANAVYOSEMA YANGA WALIVAA SHANGA MEDALI BILA KOMBE KAMA SHANGA TUU WAO WANALETA KOMBEEE WAMEISSHIAA KUJA NA SHANGA ZILE ZILE LOH
  19. Pdidy

    Tujikumbushe; aliyoongea Ahmed Ally baada ya mechi ya Yanga na Mamelod, Mungu fundi anajibu, unalaumuje wenye mpira wao CAF

    MUNGU fundi MUNGU Mwamba MUNGU ANAJIBU maombi Haya ndipoo manenoo aliyoongea Ahmed ally BAADA ya YANGA kupeleka malalamiko ya kunyimwa goli MECHI ya YANGA vs mamelody Nisimalixie fungua uchekeee
  20. Meja Jenerali Isamuhyo

    Borussia Dortmund kama Yanga, wapata mdhamini mpya lakini hawataki rangi nyekundu ya mdhamini huyo

    Klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani imepata mdhamini mpya ambao ni kampuni ya Vodafone. Kampuni hiyo hutumia rangi nyekundu. Sasa Dortmund wamegomea rangi hizo nyekundu za mdhamini na kuwataka watumie rangi ya njano kama ilivyo jezi yao. Ikumbukwe rangi nyekundu waliogomea Dortmund huwa...
Back
Top Bottom