yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. ndenjii handsome

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rasmi natangaza kujitoa kuishabikia timu ya Yanga

    Mbuzi na simba hatuwezi kaa zizi moja baada ya kuona hili [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] Hatimaye nimejitoa naombeni kujua kadi ya uanachama wanairudisha wapi.
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga SC ikiifunga Azam FC Uvumilivu utanishinda na kuna Viongozi Watatu wa Simba SC nitakula nanyi sahani Moja

    Haiwezekani tunaroga sana ili Kuzicheza Mechi zao lakini bado Mtu wao anatetema na Kutukera zaidi. Haiwezekani tunafanya kila aina ya Umafia ili Wakwame na Mtetemaji wao angalau hata aumie lakini Wanashinda na haumii. Haiwezekani Posho ya Wachezaji katika Mechi mbili za Mbeya City na Kagera...
  3. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupenyezwa kwa Yanga kwenye siasa ni issue ya GSM na Makonda?!

    Jana tasnia ya soka ilishangazwa na timu ya Yanga kujiingiza kwenye siasa za vyama. Ninajaribu tu kuwaza nje ya box. Wote tumeshuhudia sakata la Makonda na GSM kutapeliana kiwanja. Je,nitakuwa sahihi nikisema GSM ameamua kuitumia Yanga kujipenyeza na kumpigia kampeni mama Samia ili kupata...
  4. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akili za Viongozi wangu wa Yanga ni za Kiutopolo sana. Yaani mnashangaza, ina maana wote shule hamna?

    Kwa nini tunapambana sana kumfanya Rais aipende Yanga? Tunajipendekeza kwa kiasi kikubwa mpaka wote tunadharaulika sana. Tunaonekana wote ni akina Manara. Toka Manara amekuja yanga tunaona jinsi ambavyo anashawishi mambo yake yaende mbele. Hili wazo amekuwa akilitoa kila mara akijiwekea...
  5. Kichwa Kichafu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Young Africans 2 - 0 KMC | NBC Ligi Kuu | Benjamin Mkapa Stadium

    Habari, Young Africans Mabingwa Wa Kihistoria Nchini Leo Wataingia Uwanjani Kumkaribisha KMC kwenye mchezo wao wa kumi na name hapo saa moja kamili usiku Uwanja Wa Benjamin Mkapa. Hadi sasa Young Africans hawajapoteza mchezo wowote na inawafanya kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi. Tunategemea...
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwakalebela: Yanga ni Tishio Barani Afrika

    🗣“Sio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.” Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu...
  7. John Haramba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ratiba ya Simba mechi zilizosalia 2021/22, ikiwemo mtanange dhidi ya Yanga

    Kuna mdau wa Klabu ya Simba, ameweka mtandaoni ratiba hii ya michezo ijayo ya Simba akijumlisha ratiba ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Afrika inayoratibiwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). ⚽Asec Mimosas vs Simba 📅 20 March 2022 🏟 General Mathieu Kerekou Benin. ⏰ 19hrs ⚽Polisi TZ...
  8. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siri za mikataba ya mastaa Yanga

    UONGOZI wa klabu ya Yanga umefichua sababu za kuwasajili wachezaji kwa mikataba mifupi ni kutokana na mifumo ya soka hapa nchini ilivyo. Klabu nyingi za Tanzania zimekuwa na utaratibu wa kuwapa wachezaji wake mikataba mifupi ikiwemo miezi sita, mwaka mmoja hadi miwili na Yanga wameweka wazi...
  9. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rage ataja mechi Nne za kuishusha Yanga

    MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage amesema hakuna wa kuizuia Simba kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, lakini akajilipua kwa kutaja mechi nne za kuitoa Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara. Rage amesisitiza Yanga kukaa kileleni kwa msimamo hakuwezi...
  10. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dalili za ubingwa kwa Yanga katika Ligi Kuu Bara 2021/22 hizi hapa

    Mpaka leo Jumatano Machi 16, 2022 katika mzunguko wa 17 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC PL 2021/22), kikosi cha Yanga kimeongoza kwenye takwimu muhimu nne. ● Magoli ya kufunga – 29 ● Magoli ya kufungwa – 4 ● Assists – 21 ● Cleansheets – 13 Je, unadhani hizi ni dalili tosha za ubingwa kwa...
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Isiwaume nauliza tu: Hivi Yanga walishawahi kuongoza kundi lolote la CAF?

    Naona wenzetu ni wakarimu sana wa kupokea wageni wanaokuja kucheza na Simba michuano ya CAF, je, walishawahi kuongoza kundi lolote la CAF Champions League au confederation? Kwa Simba siku hizi ndiyo kawa!
  12. karv

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkishindwa kushindana, muungane

    Katika siku ambayo Dauda ameongea maneno ya hekima na busara basi ni jana YANGA kuna haja kubwa ya kujifunga kutoka kwa watani zenu "Kuna wakati wengine wakae na Viongozi wa Simba mnajadiliana tu kuwa imewezekana vipi kuwa na mwendelezo kwa misimu mitano, ipi siri! Nanyi mnajifunza Real Madrid...
  13. 44mg44

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga imepangwa kind gum kimataifa,yaan had inatoa date nyumban

    Wana Yangu oyeeee!! Inatakiwa mlalamike jaman,maana umepangwa kind gum mno Jana mlopocheza na clab ya Al shabab mlitoa sare Polen sana
  14. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

    Mechi ni saa 1 usiku
  15. 44mg44

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mech ya Yanga ipo saa ngap?

    Mech ya Yang dhid ya Tim ya taifa ya Somalia inachezwa saa ngap?? Mweny taarifa sahihi naomba unijuze
  16. mpiga vichwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga kucheza na timu ya taifa ya Somalia

    Baada ya kuchapwa na Rivers utd ya Nigeria nyumbani na ugenini kwa jumla ya magoli 2 ,0 na kuondoshwa katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika miezi kadhaa iliyopita, kesho tarehe 12/3/2022 timu ya Yanga itashuka uwanja wa Azam complex huko chamazi kucheza na timu ngumu kabisa ya taifa ya...
  17. hiram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bado mechi 10 Yanga awe bingwa

    Mara zote simba akiwa nafasi ya pili kwenye ligi maneno ya mashabiki wao ni "Nyie tangulieni na baiskeli za miti! Mwaka jana mlianza hivyo hivyooo baadae tukawapindua!" Simba anapokuwa anaongoza ligi maneno ya mashabiki wake ni "KILA MTU SHINDE MECHI ZAKE" Sasa mimi niko na hili la pili la...
  18. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya Yanga kupata matokeo bila Kibwana Shomali wakala kichwa kinapata moto

    Kijana wetu Kibwana kapata injury, hachezi lakini Yanga haijakata moto wa wimbi lake la ushindi kila moto. Hii sio hali nzuri kwa mchezaji yeyote duniani. Kibwana amepata nafuu karudi kundini lakini mkataba wake unaenda mwisho na hajapewa mkataba mwingine bado. Wakala wa mchezaji kupitia...
  19. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Geita vs Yanga ,jicho la Mugah

    It's wanderfull match. Geita Kocha minziro aliingia na plan nzuri na descpline nzuri huku akiwa na wachezaji wenye quality ya hali ya juu walifanikiwa kuizuia Yanga wasitengeneze nafasi za wazi . Pia Geita kwenye kushambulia walifanikiwa Sana kutengeneza nafasi nyingi Ila umakini na labda...
  20. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mayele anatafuta mboga, viongozi Yanga jitahidini kutafuta mchele

    Baada ya hapo jana mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga kutoka DRC, Fiston Kalala Mayele kuzawadiwa ng'ombe mwingine na mashabiki huko Mwanza, ni wazi sasa viongozi waanze kutafuta mchele, kwani Mayele anaendelea kutafuta mboga hili siku ya mwananchi day mashabiki wakale uwanjani, mpaka ligi...
Back
Top Bottom