AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
MECHI YA YANGA NA SIMBA TUMEICHUNGULIA TAYARI...
KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...
Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...
1. Diarra
2. Djuma shaban
3. Kibwana Shomari
4. Bangala
5. Mwamnyeto
6. Aucho
7. Moloko
8. Sureboy
9. Mayele
10. Feisal
11. Ntibazonkiza
4-2-3-1
Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...
Sub itaanza kwa:
Out: Sureboy
In: Dickson Job
(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)
Out: Moloko
In: Ngushi
(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).
Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2
SIMBA WAJIPANGE...
KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...
Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...
1. Diarra
2. Djuma shaban
3. Kibwana Shomari
4. Bangala
5. Mwamnyeto
6. Aucho
7. Moloko
8. Sureboy
9. Mayele
10. Feisal
11. Ntibazonkiza
4-2-3-1
Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...
Sub itaanza kwa:
Out: Sureboy
In: Dickson Job
(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)
Out: Moloko
In: Ngushi
(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).
Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2
SIMBA WAJIPANGE...