Ubashiri: Kikosi cha Yanga SC dhidi ya Simba SC katika mchezo wa Jumamosi

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
MECHI YA YANGA NA SIMBA TUMEICHUNGULIA TAYARI...

KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...

Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...

1. Diarra

2. Djuma shaban

3. Kibwana Shomari

4. Bangala

5. Mwamnyeto

6. Aucho

7. Moloko

8. Sureboy

9. Mayele

10. Feisal

11. Ntibazonkiza

4-2-3-1

Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...

Sub itaanza kwa:

Out: Sureboy

In: Dickson Job

(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)

Out: Moloko

In: Ngushi

(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).

Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2

SIMBA WAJIPANGE...
 
Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...

1. Diarra
2. Djuma shaban
3. Kibwana Shomari
4. Bangala
5. Mwamnyeto
6. Aucho
7. Moloko
8. Sureboy
9. Mayele
10. Feisal
11. Ntibazonkiza

4-2-3-1

Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...

Sub itaanza kwa:
Out: Sureboy
In: Dickson Job
(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)

Out: Moloko
In: Ngushi
(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).

Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2

SIMBA WAJIPANGE...
Simba keshacheza mechi kubwa za kimataifa. Hii ya kwenu ni kama anacheza tu na ihefu.Wenye mchecheto ni utopolo wanaotaka kuonesha umwamba wao mbele ya timu kubwa ya simba.
 
Simba keshacheza mechi kubwa za kimataifa. Hii ya kwenu ni kama anacheza tu na ihefu.Wenye mchecheto ni utopolo wanaotaka kuonesha umwamba wao mbele ya timu kubwa ya simba.
Inawezekana Simba ana ukubwa wake kwenye matunguli ila rekodi zinaonyesha Yanga ndio mkubwa katika soka la nchi hii. Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu nyingine yoyote.
 
MECHI YA YANGA NA SIMBA TUMEICHUNGULIA TAYARI...

KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...

Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...

1. Diarra

2. Djuma shaban

3. Kibwana Shomari

4. Bangala

5. Mwamnyeto

6. Aucho

7. Moloko

8. Sureboy

9. Mayele

10. Feisal

11. Ntibazonkiza

4-2-3-1

Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...

Sub itaanza kwa:

Out: Sureboy

In: Dickson Job

(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)

Out: Moloko

In: Ngushi

(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).

Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2

SIMBA WAJIPANGE...
Hii si mechi ya kujaribu ndugu mapemaaaa Bamgala akae kati na Aucho nyuma ni job na mwamnyeto mechi na namungo job alianzia benchi kwa khofu angeweza pata kadi ya 3 ya njano akaikosa dabi ndio maana aliingia dakika za mwisho kpnd presha imepungua hakuna sababu ya kumuanzisha benchi sijui hadi tuone kiungo imezidiwa ndio tufanye sub tutakuja kukimbiana taifa pale yanga huwa imara sana viungo 2 wa chini wawe Bangala na Aucho na kwa mechi ya jmosi ilivyomuhimu huwezi kuanza na mawinga wawili wote Saido sina tatzo nae ila huyu Moloko sijawahi kumuelewa kwenye dabi ni mzuri kwenye mechi zingine kikosi umekipanga vzr ila ningetani km Nabi angeua winga moja ili wale 3 iwe Saido,Fey na Sure nyuma kuna Bangala na Aucho kikosi hiki hata droo hawapati
 
Inawezekana Simba ana ukubwa wake kwenye matunguli ila rekodi zinaonyesha Yanga ndio mkubwa katika soka la nchi hii. Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu nyingine yoyote.
Kwahiyo unataka kusema hata yale makono ya Nyani (5) ambayo huwa anabandikwa utopolo huwa yanasababishwa na tunguli?
 
Hii si mechi ya kujaribu ndugu mapemaaaa Bamgala akae kati na Aucho nyuma ni job na mwamnyeto mechi na namungo job alianzia benchi kwa khofu angeweza pata kadi ya 3 ya njano akaikosa dabi ndio maana aliingia dakika za mwisho kpnd presha imepungua hakuna sababu ya kumuanzisha benchi sijui hadi tuone kiungo imezidiwa ndio tufanye sub tutakuja kukimbiana taifa pale yanga huwa imara sana viungo 2 wa chini wawe Bangala na Aucho na kwa mechi ya jmosi ilivyomuhimu huwezi kuanza na mawinga wawili wote Saido sina tatzo nae ila huyu Moloko sijawahi kumuelewa kwenye dabi ni mzuri kwenye mechi zingine kikosi umekipanga vzr ila ningetani km Nabi angeua winga moja ili wale 3 iwe Saido,Fey na Sure nyuma kuna Bangala na Aucho kikosi hiki hata droo hawapati
Huyo Job ndio tiket ya ushindi ya Simba akitia maguu tu uwanjani.
 
Huyo Job ndio tiket ya ushindi ya Simba akitia maguu tu uwanjani.
Swali,unakumbuka job kasajiliwa Yanga msimu upi na hadi sasa kacheza dabi ngapi? Nitajie dabi aliyozingua ndugu
 
MECHI YA YANGA NA SIMBA TUMEICHUNGULIA TAYARI...

KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...

Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...

1. Diarra

2. Djuma shaban

3. Kibwana Shomari

4. Bangala

5. Mwamnyeto

6. Aucho

7. Moloko

8. Sureboy

9. Mayele

10. Feisal

11. Ntibazonkiza

4-2-3-1

Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...

Sub itaanza kwa:

Out: Sureboy

In: Dickson Job

(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)

Out: Moloko

In: Ngushi

(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).

Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2

SIMBA WAJIPANGE...
ushindi wa yangabni jambo la muda tyuu
 
Simba keshacheza mechi kubwa za kimataifa. Hii ya kwenu ni kama anacheza tu na ihefu.Wenye mchecheto ni utopolo wanaotaka kuonesha umwamba wao mbele ya timu kubwa ya simba.
Wanatusumbua sana. Kelele nyingi wamekaa siku zaidi ya 20 bila match.

Jumamosi tunaondoa mwiko tunaweka mpini
 
Inawezekana Simba ana ukubwa wake kwenye matunguli ila rekodi zinaonyesha Yanga ndio mkubwa katika soka la nchi hii. Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu nyingine yoyote.

Hapo kwenye tunguli acha nikazie ...

Walozi fc
Screenshot_20220428-233344.jpg
Screenshot_20220428-233459.jpg
Screenshot_20220428-214040.jpg
 
Swali,unakumbuka job kasajiliwa Yanga msimu upi na hadi sasa kacheza dabi ngapi? Nitajie dabi aliyozingua ndugu
Tuliza akili jamaa. Kwani mimi nimesema ni tiketi yabushindi kwa mechi zilizopita? Soma hapo mwisho... "akitia tu maguu uwanjani" kama ni wakati uliopita.
 
Tuliza akili jamaa. Kwani mimi nimesema ni tiketi yabushindi kwa mechi zilizopita? Soma hapo mwisho... "akitia tu maguu uwanjani" kama ni wakati uliopita.
Huna akili ya Mpira jaribu uchambuzi wa vigodoro.
 
MECHI YA YANGA NA SIMBA TUMEICHUNGULIA TAYARI...

KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...

Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...

1. Diarra

2. Djuma shaban

3. Kibwana Shomari

4. Bangala

5. Mwamnyeto

6. Aucho

7. Moloko

8. Sureboy

9. Mayele

10. Feisal

11. Ntibazonkiza

4-2-3-1

Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...

Sub itaanza kwa:

Out: Sureboy

In: Dickson Job

(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)

Out: Moloko

In: Ngushi

(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).

Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2

SIMBA WAJIPANGE...
Huyo Babu Ntibazonkiza Kesho mtamtimua...!
 
MECHI YA YANGA NA SIMBA TUMEICHUNGULIA TAYARI...

KWA NAMNA YOYOTE ILE LAZIMA SIMBA AFUNGWE... ATAKE ASITAKE...INSHAA ALLAAH...

Nabi ataanza na kikosi hiki Inshaa Allaah...

1. Diarra

2. Djuma shaban

3. Kibwana Shomari

4. Bangala

5. Mwamnyeto

6. Aucho

7. Moloko

8. Sureboy

9. Mayele

10. Feisal

11. Ntibazonkiza

4-2-3-1

Kama Mayele akibwanwa sana na ikionekana mpira katikati haikai(kiungo kikizidiwa na kina chama)...

Sub itaanza kwa:

Out: Sureboy

In: Dickson Job

(Hapa Job ataenda Kuwa CENTRE BACK na kumfanya BANGALA asogee mbele awe namba 6 na AUCHO katikati)

Out: Moloko

In: Ngushi

(Hapa itasaidia kuongeza nafasi za ufungaji - ambapo NGUSHI anaweza kucheza pembeni mpira ukiwa pembeni upande wa kulia... Na mpira ukiwa kushoto au katikati au hata kulia kwa Djuma shaban basi ataongeza washambuliaji wawili pale mbele yeye na MAYELE).

Au otherwise... Kama YANGA atakuwa anamiliki mchezo... Basi KOCHA ATAUA WINGA MOJA AMUINGIZE MAKAMBO ILI KUONGEZA STRIKERS. 4-4-2

SIMBA WAJIPANGE...
Go Yanga Go

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom