Mbunge, Festo Sanga amesema kuwa ziara ya Waziri Mkuu inaonyesha huko chini kuna Ombwe la utumishi kwani watu wanasubiri Zoara ya Waziri Mkuu waweze kutatuliwa shida zao.
Ameeleza kuwa, watu wamegeuza kuajiriwa Serikalini ni kama kichaka, hawatafukuzwa wala kufanywa chochote hata wasipowajibika...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, ameweka wazi mpango mpya wa Serikali unaolenga kutatua changamoto ya mitaji kwa vijana wanaohitimu masomo yao nchini. Akizungumzia hali ya upatikanaji wa mikopo, Nchemba amebainisha kuwa Serikali imeanza mchakato wa kuangalia uwezekano wa kijana kutumia cheti chake...
Taarifa za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma zinaonesha kuwa changamoto katika ununuzi wa umma siyo Sera, Sheria wala Kanuni, bali ni waliopewa dhamana ya kusimamia Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu za Ununuzi-Waziri Mkuu...
▪️Awataka waliopewa dhamana ya usimamizi wazingatie misingi ya utawala bora
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Mamlaka, Taasisi na Wadau wote waliopewa dhamana ya kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya Mwaka 2025 wabadilike na wahakikishe...
Kwa kweli Dk Mwigulu Lameck Nchemba anajitahidi sana ili ajae kwenye kiti cha uwaziri mkuu kupitia kusikiliza kero mbalimbali za wananchi wanyonge lakini moyo wangu bado umegoma kumuona kama waziri mkuu.
Shida ya Mwigulu Nchemba ni kwamba ana sura mbili, sura ya kwanza ni ya utendaji na sura ya...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma katika jamii, akisisitiza kuwa kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum si hisani bali ni wajibu wa pamoja wa jamii na Taifa kwa ujumla.
Ameyasema hayo Aprili 6, 2026, alipojumuika na watoto wenye mahitaji maalum...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Aprili 5, 2026, ameshiriki Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Akizungumza katika tamasha hilo, Waziri Mkuu amesema kuwa Pasaka ni kipindi muhimu kinachowakumbusha Watanzania...
Katika Mkutano wako uliwahi kuhoji kwanini takwimu zinasema utoshelevu wa dawa ni 95% kwenye vituo huku asilimia 90 ya wananchi wanalalamika hakuna dawa.
Mkutano aliofanya Mchengerwa ulikuwa ni mkutano wa kujisafisha na yeye ndio waziri mwenye dhamana, as we speak, hapaswi kuendelea kuwa...
Heri ya Sikukuu ya Pasaka
Ninaungana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwatakia Watanzania wote Pasaka njema yenye furaha na baraka tele.
Tunapoadhimisha ufufuko wa Bwana Yesu Kristo, na tuendelee kuenzi mafundisho ya upendo, mshikamano na...
Habari Wakuu,
Kwa wenye kumbukumbu Je imewahi kutokea Ofisi ya Waziri Mkuu kuomba kiasi kinacho karibiana na hiko kwa ajili ya Matumizi ya kawaida?
Katika kipindi ambacho Mh Rais amesisitiza tufunge mkanda kwa kuwa wahisani wamepunguza misaada, inakuaje matumizi ya kawaida ya Trilioni 8.7 na...
Benjamin Netanyahu katika taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Iran, Hapa kuna mambo MUHIMU ZAIDI:
-"Natumai naweza kukuambia kuhusu miungano muhimu hivi karibuni".
-"Utawala wa Iran unatarajiwa kuanguka - mapema au baadaye".
-"Tuliunda mabadiliko ya kimkakati - Iran ilitaka kutunyonga, leo...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania kuwa makini na matumizi ya mitandao ya kijamii, akisema baadhi ya watu wanaposhiriki mitandaoni huonekana kama wanajua yote, wakati kwa kweli hawana uhusiano wala ufahamu wa kweli.
Akizungumza...
WAZIRI MKUU ATOA SALAMU ZA POLE KIFO CHA WILLIAM LUKUVI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, akiwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (PICC) kushiriki Mkutano wa 110 wa Wadau wa Elimu kwa Umma (WASHITIRI) leo Machi 25, 2026, ametoa salamu za pole...
Tumeona ziara ya Waziri Mkuu ikitupa picha halisi juu ya uzembe na kutokuwa na uwajibikaji wa uwazi katika Ofisi za Umma.
Tunaomba pia Waziri wa UTUMISHI (Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) angeanza ziara ya kupitia hususani katika Halmashauri zote...
Anonymous
Thread
halmashauri
mkuu
nyingi
utumishi
waziriwazirimkuu
ziara
EID MUBARAK
Naungana na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwatakia Waislamu na Watanzania wote Sikukuu njema ya Eid el-Fitri.
Tuyaishi na kuyaendeleza mema yote tuliyojifunza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani: upendo, huruma na kusaidiana, ili...
Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Majaliwa ni kiongozi ndani ya CCM, pia lazima Watanzania wafahamu kuwa katika watu ambao hufanyiwa vetting kubwa kuliko watu wote Tanzania ni Waziri Mkuu kabla hajapitishwa na Rais.
Wengi tunasema kuwa ni rahisi Rais wa Tanzania kupatikana kwa bahati lakini Waziri...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atoa ujumbe kwa watu wa Iran wakati Wafuga Midevu na Majini wanadai amekufa!!
"Niko hapa na Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Mkuu wetu wa Majeshi, mkuu wa Mossad, Mkuu wa Jeshi la Anga, makamanda wetu wakuu. Katika saa 24 zilizopita, tuliwaangamiza wakuu...
The video shows an old man who is being dragged by security forces in Kololo independence ground.
Many people are mistaking the old man to be Gen. Moses Ali current Member of Parliament Adjumani West Constituency .
However, that does not seem to be Gen Moses Ali but another old man who wanted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.