Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.
Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.
Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?
Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais...