wazee

Wazee Lake is a lake east of Black River Falls, Wisconsin, in the town of Brockway, Jackson County, Wisconsin, United States. The name "Wazee" means "tall pine" in the Ho-Chunk language. The artificial lake is the deepest lake within the state of Wisconsin, with a maximum depth of approximately 355 feet (108 m). The man-made lake was formed after the site was used as a quarry for taconite mining between the mid-1960s through April 1983. The quarry produced about 850,000 tons of taconite pellets each year. The mine closed in 1983 as a result of a crash of the domestic steel markets in the United States. When the mine was in operation, pumps removed about 800 US gallons (3,000 L; 670 imp gal) of water per minute from the quarry. Once these pumps were shut down, the quarry began filling with water.
The lake is now part of a county park known as Wazee Lake Recreation Area. The lake is a prime scuba diving destination because of its deep, clear water. Visibility averages between 30 feet (9.1 m) and 40 feet (12 m) during the summer months. There are also visible remains of mining operations underwater, such as roadways used for hauling equipment. Some features have been added to the lake, such as underwater platforms for training divers and fish cribs to improve habitat for the fish. Fish species within the lake include rainbow, brook, and brown trout, bluegills, suckers, catfish, walleye, warmouth, and smallmouth bass.

View More On Wikipedia.org
  1. Bajeti ya kunguru

    Wazee wa betting nimeamua kuwasaidia, siogopi mtu

    Habari zenu wana jamvi, poleni kwa pilika za hapa na pale za kimaisha. Leo nimeamua kufanya hiki nachokifanya. Kwanza kabisa nikuondoe matamanio yote ya kunufaika na kampuni za betting Kama nitakaa kimya. Mie sio mwandishi unayefikiria kipaji hiki Sina lakini ninachokupa kichukue uweze...
  2. Street brain

    WAZEE WANGU

    Jambo letu tena! Jitahidi kujitambua kwa yale unayoyaweza na yale yanayokupatia ugumu lakini kamwe usiwaeleze watu mapungufu yako kwasababu watayatumia dhidi yako. Mara nyingi watu huwaangusha wengine kwa kutumia mapungufu yao. Jitambue na tumia utambuzi huo kujishinda ili mapungufuyako...
  3. Mwachiluwi

    Hii imekaaje wazee

    Hellow african Wewe tuchukulie ni mzazi una muomba mwanao hela kuna ndugu yenu kafariki unamuuomba hela ya kuchangia kwenye msiba umeongea na mwanao wakiume akakubali vizuri baada ya nusu saa mkweo anakupigia simu anakuambia kuwa hakuna hela kama hakuna ulazima wa kuchangia usichangia wewe...
  4. Chief Kumbyambya

    Wazee hii imekaaje, ni kwangu Tu ama?

    Wasalaaaaam.... Wazee mimi naishi na manzi sasa ana mimba yapata miezi saba sasa, ila kinachonitatiza sina mzuka kabisa wa kumgonga mwanamke mwenye mimba. Yaani mimba kubwa tumbo hiiloooooo hapana aisee, sijui ni kwanini!!! Yeye kuna time namuona kabisa kuwa anataka ukuni, anaanza kunishika...
  5. kilamba lamba

    Ni ipi siri ya mafanikio ya kudumu kwenye ndoa za Wazee wetu?

    Habarini wana MMU, Natumai ni wazima wa afya kabisa na wenye shida kidogo mungu awabariki warudi kwenye hali yao ya kawaida ya kiafya. Hili jambo limekuwa likinitatiza sana. Na leo nimeamua niwashirikishe ndugu zangu labda tutapata wasaa zaidi wa kulifafanua hili jambo. JE NI IPI SIRI YA...
  6. Stephano Mgendanyi

    Pensheni kwa Wastaafu na Wazee Zanzibar Zapandishwa

    RAIS DKT. MWINYI APANDISHA PENSHENI KWA WASTAAFU NA WAZEE ZANZIBAR Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itapandisha pensheni kwa wastaafu kwa asilimia mia moja akitolea mfano wa mstaafu wa kima cha chini anayepokea shilingi elfu...
  7. Roving Journalist

    Zanzibar: Rais Mwinyi apandisha Pensheni kwa Wastaafu na Wazee

    RAIS DK.MWINYI APANDISHA PENSHENI KWA WASTAAFU NA WAZEE ZANZIBAR Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itapandisha pensheni kwa wastaafu kwa asilimia mia moja akitolea mfano wa mstaafu wa kima cha chini anayepokea shilingi elfu...
  8. Bunchari

    Wazee wa zamani walikuwa na tabia na matendo mabaya na ya ajabu sana

    Habari wakuu,hamjambo? Njlikua na jamaa yangu akinisimulia jambo nikafikiria Sana kuhusu hawa wazee wetu kwa matukio yao Kama ifuatavyo.. Wengine wao walikua na tabia ya kujihusisha kimapenzi na wajukuu,watoto na ndugu wa karibu,kwanini nasema hivyo? Kuna kijana wa kike mdogo na msumbufu...
  9. NALIA NGWENA

    Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea

    Nashangaa sana katika hili taifa mwanzo walisema Kuna mtu/kibaka alifanya hujuma akakamatwa Sasa leo Tena ni Nini? Halafu tunaomba kuandaa afcon kwa hali hii tutakubaliwa kuandaa mashindano ya afcon?? Ni aibu kubwa kwa KWELI/tunaaibika kimataifa. ---
  10. Street brain

    Wazee wanasema

    Wazee wanasema, "chui akijilamba, huwa analamba rangi za doti zake zote, hachagui chache"🐆. Mwanadamu amekuwa na ubaguzi, wakuchagua watu wake wakuwabembeleza, wakuwafichia siri, kuwadekeza. Kosa alilotenda anayependwa litaonekana kama wala sio kitu, ila akilitenda mwingine anashukiwa kama...
  11. B

    Wazee wetu wanateseka Ngorongoro

    WAZEE WETU WANATESEKA NGORONGORO. TUNAKUFA “Hebu muangalieni tu angalieni bibi kama huyo?, Hebu muangalieni huyo bibi huyo hapo, angalia hiyo, unafikiri huyo bibi ni Afya yake hiyo? “Hata ukiangalia tu katika hali ya kawaida, Naombeni ndugu zangu hebu angalieni hiyo hali. INATISHA. TUNAUMIA”...
  12. Rwetembula Hassan Jumah

    Kwanini Jukwaa kama hili hakuna wazee wa busara maana uku kuna vijana wa ovyo, malezi zero

    Mambo yanabadilika kila kukicha kuhusu malezi, mpaka malezi kubadilika kuna sababu. ..Kipindi cha nyuma malezi yalikuwa bora tena sana japo watoto watukutu hawakukosekana. 👇 Lakini ukichunguza vizuri hao watoto watukutu wanatokea familia za aina gani ? utagundua familia hizo ni za walevi au...
  13. NDUKI

    Wazee wa Movie, John Wick 4 vipi?

    Salaam kwenu. Naulizia hiyo movie hapo juu kwa mwenye direct link au hata torrent ambayo sio CAMRip au WebCam iwe HD naomba anijuze please. Natanguliza shukran.
  14. Chief Kumbyambya

    Hivi kuna siri gani kwenye ugoro wazee?

    Wadau za kutwaa!!! Jana katika pita pita Kwa wadau wangu kadhaa wakongwe mujini nikawachana kuwa wadauee "eeee" Leo kijana wenu Dina hela hata ya kipiga masta hebu nitoeni basi mdogo wenu nikazibue kichwa hata na tingisha mbili tu. Ndiyo lijendi mmoja akafungua kanailoni flani kabluu nikaona...
  15. Dcxkobe

    Wazee wa Bollywood movie

    Wangap mnaikubuka hii movie dilwale dulhia lejeynge binafsi sijaona mpaka leo movie Bora ya love story kama iyo hasa ma song yake alafu kulikua na ka Alam. Fulan hv sharukhan alikua anapenda kupiga kwa kale ka gita kake kanatoa sauti Kama ya kengele fulan hv ebhana full burudani na zile...
  16. Nyamwage

    Uzi wa wazee wa mikeka hauna ticket za ushindi za kubadirisha maisha yako

    Uzi una wafuasi wengi na comment zaidi ya 340k lakini kila nikisoma sioni ticket ambayo mtu kashinda zaidi ya kufarijiana na ku share code za betpawa
  17. Mohammed wa 5

    Wimbi kubwa la wazee na wanawake wa miaka 45+ kuongezeka kwenye kamari (kubeti) tatizo ni nini?

    Habari za asubuhi wana JF, Kuna wimbi kubwa mtaani la wazee na wanawake kujiingiza kwenye kamari (kubeti), tatizo umasikini au ndio maendeleo ya soka nchini? Nakumbuka World Cup last year kila mtu ni kubeti tu, ukikutana na wazee, wanawake wa mtaani wanataka uwafundishe kubeti na wakisikia...
  18. Nelson Jacob Kagame

    Wale wazee wa vitonga tukutane hapa

    Kuna watu wameumbwa duniani na fani zao, leo tuzungumzie wale wazee wa vitonga. Mjini kugumu ila ukiwa mzee wa vitonga unaona mji mwepesi maisha yanaendelea. Bali ukiwa kitonga kuna vitu lazima uwe navyo au uvifanye kwa maisha yetu ya kimjini mjini. 1: Kitonga lazima ujue kulenga eneo la...
  19. S

    Wazee wetu waliishi miaka mingi sana sababu walioa wake wengi

    Ukifanya utafiti chanzo cha vifo vya mapema vya wanaume wengi ni stress za ndoa. Mwanamke mmoja ukiishi nae anakuzoea anakuona sawa na mtoto mwenzake. Majukumu ya nyumba wanaachiwa wadada wa Kazi, hata ukizeeka Wana ungana na watoto kuwa kitu kimoja baada ya kuwalisha sumu, hawatambui mchango...
  20. T

    Nafarijika kuona wazee wakitumika kushauri. Liundwe Baraza Kuu la Ushauri likiusisha Marais wastaafu

    Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu: i) Wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora. iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba...
Back
Top Bottom