Jumla ya watoto 6,168 wamefanyiwa ukatili wa kijinsia kati ya Januari hadi Desemba 2021, Bunge limeelezwa leo Ijumaa Novemba 12, 2021. Kati ya hao, watoto wa kike walikuwa 5,287 na wanaume ni 881 ambao kesi zao zikiripotiwa katika vituo vya Polisi nchini.
Takwimu hizo zimetolewa bungeni na...