watekaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Watekaji wana nguvu kuliko vyombo vya dola

    Askofu Gwajima amesema hakubaliani kabisa na utekaji. Ameongeza kuwa watekaji sasa hivi waa ujasiri wa kukupigia simu na kusema watakuteka, na watu watakusahau. Kuna watu wamekimbia nchi kwa kuogopa kutekwa. Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
  2. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Siku Nikiwa Rais wa Tanzania: Nitaharakisha Kutungwa kwa Sheria ya Kuwanyonga Watekaji Wote Kama Ifuatavyo

    Innocent Bashungwa anaongoza Wizara ya Mambo ya Ndani Yenye Wajibu wa Kikatiba na Kisgeria Kulinda Uhai, Usalama na Mali za Raia Mtoto wetu yuko wapi? Atarudi lini? Amepatwa na nini? Amefanya kosa gani? Tufanye nini kuhakikisha anarudi nyumbani salama? Nani anayeweza kurusaidia kumpata mtoto...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Sisi ndio watekaji na wauaji, tunawasingizia tu wasiojulikana

    SISI NDIO WATEKAJI NA WAUAJI TUNAWASINGIZIA TUU WASIOJULIKANA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Wasiojulikana! Kivipi yaani? Hawajulikani kwa namna ipi? Watekaji na wauaji ni sisi sisi Watanzania. Alafu tunajitia hawajulikani. Hawajulikani? 2. Mwaka wa kumi huu! Mnakimbizana na jambo...
  4. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Lema kama unasema serikali ndio watekaji na wauaji mbona wamwomba Mama akulinde. Mama si ndiye mtekaji wenu mlisema. Nyenyenye!

    Miye kila siku nawaambieni huko kwenu kumejaa nyoka hamtaki kusikia. Huyo kakimbia anawatoa nyumbu wengine kama chombo. Lema mnajiteka wenyewe alafu mnamsingizia Mama. Mkivurugana mnaomba msaada kwa Mama. Na bado
  5. K

    JamiiForums Tanzania Watekaji kihalisia wamezidi nguvu jeshi na Polisi iliyozubaa

    Watekaji kihalisia wamezidi nguvu jeshi na Polisi iliyo zubaa. Yaani kama huwezi kulinda watu na ndiyo kazi yako hata kama una ndege ya kivita kama ndugu yangu anatekwa na watekwaji ambao wanajulikana hawafanywi kitu maana yake majeshi yetu sasa hayana maana. Haki zetu zimebaki kwa nguvu zetu...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kutokupinga wauaji na watekaji ni kushiriki nao utekaji na mauaji. Tena kheri wauaji na watekaji kuliko wanaonyamazia maovu

    Hamjambo! 1. Nilikuwa nimetoka leo kwenda mjini. Njiani ya gari ikatokea mjadala kuhusu maandamano. 2. Wengi walionyesha kuyaunga mkono lakini walikiri wanawoga hivyo hawatashiriki. 3. Mama mmoja jirani yangu akasema, aache kufanya mambo yake aandamane. Akaongeza wanaoandamana hawana kazi za...
  7. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mamlaka/watekaji tafadhali msimwondoe huyo kijana. Madaraka yanapita, maisha yanaendelea. Ni ushauri tu, msifanye kwa sababu ya madaraka

    Madaraka yanapita pls watekaji/ mamlaka huyo kijana alikosoa kwa staha na aliongea ili viongozi mjirekebishe kizuri zaidi chama anafahamu ccm mtandao walivyokuwa wanafanya mambo yao, lakini pia alikuwa akitoa ushauri mfano mwendo kasi kujenga tren za mjini. Mtu ambaye alikuwa anasema kuwa kuna...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Asalaleee Tarehe 29 Oktoba ni Tanzania Mpya !!! No more Wahuni, No more Watekaji, No more CCM , No More Wanamtandao!! Ni Tanzania Mpya

    Wakuuu , Acheni hawa Wapuuzi wawateke watu waloamua kuelezea Hisia zao Mtandaoni !!. Waacheni Waendelee kumsumbua LISSU na kesi ya mchongo !!. Nguvu yao Iko wazi , Hawana Nguvu Tena , Tumeshawajua wote Kwa Mihuri yao !!. Sisi Nguvu zetu haziko Wazi ila ni nguvu DHAHIRI , PAWA KWELIKWELI...
  9. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa

    Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa lao baadhi ya kauli alizowahi kusema ni kama ifuatavyo 1.Alisema wazi ccm mtandao wamekuwa wakijitajirisha bila kujali maslahi ya umma.mfano kutaja kashifa ya uniform za jeshi la polisi...
  10. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole pamoja na kutekwa ninaamini watekaji hawatomfanya kitu. Ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama na CCM (ukitoa Polisi) ana kishindo kikubwa

    Vyombo vya habari tangu jana vimeripoti aliyekuwa balozi nchini CUBA hampfrey polepole kutekwa na kupelekwa. kusipojulikana na shuhuda mmoja ambaye alijitambulisha kwa jina la augustino polepole alimtaja waziwazi mhusika mkuu wa utekaji kuwa ni mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la MAFWELE hata hivo...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania DMZ: Kwanini sasa kuelekea uchaguzi jeshi la polisi wanasema matukio ya sasa kuwa umewamaliza ?

    Hapa kushusha presha za watu kuna watu wanaweza kupoteza haki zao au kuwekwa sehemu ya serikali ya CCM kuonekana kuwa utekaji ni wananchi. Hii ripot ya Mbeya, Iringa na sasa kuna watu washawekewa kifo ambavyo vitasemwa kuwa biashara,madeni,mapenzi na n.k. Usalama naomba DMZ mtakuja kujutua...
  12. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Hatuwezi kulinda Amani ya Watekaji na Wauaji, tutalinda Amani ya Nchi pekee

    Tunataka kuona kaka zetu wanaifurahia hii nchi, tunataka kuona dada zetu wanaifurahia hii nchi. Tunataka kuona wazazi wetu wanaifurahia hii nchi, tunataka kuona babu zetu wanaifurahia hii nchi. Tunataka kuona watoto, wajukuu na vitukuu vyetu wakiifurahia hii nchi. Hatuwezi tukawa tunaishi...
  13. Surya

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wangu kwa kiongozi wa watekaji.

    Nakuacha na kichupa hicho, sita lia nakutoa machozi, Nitafurahi kwani hukumu yako inakuja, Unakula wenzio na wewe Utaliwa. https://youtu.be/CjZTT1rix8M?si=wlTyehT-zvrX8uc3
  14. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Wasichojua watekaji. Kule Nepal walikuwa active kuliko huku nchi ya kusadikika. Kilipowaka walitokomea kusikojulikana

    Kuteka na kuua raia ndo final stage ya utawala kuanguka maana baada hakuna option inayobaki. Siku wananchi hawa mnaotuita makondoo wakichoka, hao watekaji hutowaona popote.
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Makinda yaliyofia kiotani.. Ujumbe kwa watekaji

    Watoto hawa wa ndege walioachwa kwenye viota vyao—wanangoja wazazi wao waje na kuwaletea chakula. Lakini Kwa bahati mbaya, wazazi hawakurudi, waliuawa. Kumbuka, kila wakati unapotofautiana au kuumiza mtu, unauwamiza wengine kwa njia isiyo ya moja kwa moja wale wanaomtegemea. Usijiruhusu kuwa...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Kwa ushahidi mwingine uliotokea kwa ukamataji wa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kaskazini jeshi la polisi linajitengaje na utekaji wa raia?

    Hivi polisi wanatuchukulia wajinga,kwa nini umkamate mtu kwa kumteka tena ukichukulia ni kiongozi. Walishindwa kumpigia simu aende kituoni, au walishindwa kumfwata ofisini kwake, au nyumbani kwake, mimi naaminini bila kelele za wananchi kwa kushikikiana na mitandao ya kijamii huyu alishapotea...
  17. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Mbona tangu baada ya CHADEMA kusambaratika na kufa hakuna tena habari, story, porojo na drama za utekaji?🐒

    Mbona tangu baada ya CHADEMA kusambaratika na kufa hakuna tena habari, story, porojo na drama za utekaji?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  18. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Anayejiita Geoffrey Kiliba, Rais wa TAHLISO, sio mwanafunzi wa Chuo Kikuu au cha Kati chochote

    Haka kajamaa tumegundua sio kanafunzi ka Chuo chochote Tanzania, Sio Kwa Vyuo vya TCU, Wala NACTEVET !. Kwa Mujibu wa Miongozo ,Kanuni, Sheria Katiba zinazoongoza TAHLISO , ni umoja ambao haufungamani na Chama chochote Cha kisiasa . Huyu Pimbi, alipoanza kujitokeza, alianza kama Genge la...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Gwajima na Pole pole , ni kama walituambia watekaji ni kina nani, wananchi tunadhani Wenye power waahusika

    Ni kweli nataka kuanza na sisi wananchi, njoo mtaani uone reaction ya watu kuhusu utekaji , wanadhani watu wa usalama wapo Kila kona mtaani , hivyo raia wengi wamekuwa waoga kuongea ,na ukiuliza chochote watatuambia Mimi sitaki kuongea kitu unataka nitekwe, maofisini pia watu wamekuwa waoga...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Watekaji Na Wauaji Wanaofahamika Wasiruhusiwe Kuingia Kanisani, Labda Kama Wanaenda Kutubu.

    Ni jambo lililodhahiri kwa wengi, juu ya nani ni watekaji na wauaji wa watu wanaowakosoa watawala. Bahati mbaya sana hawa wafuasi wa shetani, wanafanya kila jitihada kuubariki uovu wao kwa kwenda kwenye nyumba za ibada ili kuuficha au kuuhalalisha uovu wao. Na hawa ndiyo mara nyingi wakienda...
Back
Top Bottom