wateja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kufanya Wateja Wakuamini na Kununua Haraka

    Wafanyabiashara wengi wanaingia sokoni wakiwa na matumaini makubwa ya kuuza, lakini wanashindwa kuelewa kwamba wateja hawapo tayari kununua kwa sababu tu bidhaa ni nzuri au bei ni rafiki. Ukweli ni kwamba, mteja hanunui tu bidhaa ananunua uaminifu, ananunua uhakika, ananunua hisia ya kuwa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO RITA Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma hawajibu wananchi mitandaoni wala kusuluhisha changamoto zetu

    Taaisis ya Rita kitengo cha mtandao na Habari kinakabiliwa na tuhuma za kutojibu wateja wao mitandaoni hasa wale wanao omba usaidizi kwenye mitandao ya kijamii. Kwa sasa nchini Taasisi ambazo ziko chini ya serikali zimekuwa zikitoa huduma mbovu kwa wateja wake kwa kiasi ambacho kinakatisha...
  3. youngkato

    JamiiForums Tanzania Sifa za biashara zenye wateja wengi

    Katika kila mtaa, sokoni, au hata mtandaoni, kuna biashara ambazo kila mtu huzizungumzia. Kuna foleni milangoni mwao, simu hazipokeleki kwa wingi wa oda, na wateja wa zamani hurudi tena na tena. Sifa kuu za biashara zenye mvuto wa kudumu kwa wateja, kwa kutumia marejeo kutoka kwa blogu...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Yas Fiber mtapoteza wateja sana

    Yani huduma za kibongo huwa zinaanza vizuri ila baada ya muda basi customer care inakuwa zero. Mimi ni mtumiaji wa Yas Fiber kwa zaidi ya miezi 8, na nilifungua ahdi thread humu naisifia kweli. Kuna muda mwanzo mwanzo ilisumbua nikawa nawapigia wanaahidi kuja hawaji, yani wakishakufungia basi...
  5. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

    Kampuni ya simu ya mawasiliano ya Vodacom imetangaza kugawa bilion 28 kwa wateja wake nchini. Fedha hizo zitaenda moja kwa moja kwa wateja watumiaji wa mpesa na na huduma nyingine za vodacom. Fedha yako utafanyia nini mdau utakapopokea Gawio
  6. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Mkienda kwenye migahawa usinawe maji yanayomiminika chini ya ndoo nyingine kwani wanaweza kutumia maji waliyonawia wateja kuongeza mvuto wa biashara

    mkienda kwenye migahawa usinawe maji yanayomiminika chini ya ndoo nyingine kwani wanaweza kutumia maji waliyonawia wateja kuongeza mvuto wao wa biashara au kupikia kwenye chakula. Kwa mawasiliano kuhusu tiba nk
  7. Mwanga Mkali

    JamiiForums Tanzania CRDB WAKALA Wanakataa kutoa huduma ya Direct transfer kwa wateja wa Bank ya CRDB

    Taarifa kwa uongozi wa CRDB Bank kulifanyia kazi swala hili maana ni kero kubwa sana kwa wateja wenu. Binafsi nimepata usumbufu huu mara nyingi, kukataliwa kufanya direct transfer kwa mawakala wenu kwa kisingizio kwamba hawapati commission yoyote kwa huduma hiyo, fanyeni Uchunguzi mtabaini, kwa...
  8. youngkato

    JamiiForums Tanzania Wanaofanya kazi za stationery. usisubiri wateja wa ku-print tu, ongeza huduma mpya kwa msaada wa ChatGPT!

    Dunia ya kidijitali imerahisisha sana maisha. Siku hizi hauhitaji kuwa na ofisi kubwa au degree ili kutengeneza pesa. Ukiwa na simu tu na ChatGPT, unaweza kufanya kazi nyingi sana ambazo watu wanahitaji mtaani — na kulipwa. Hapa nitakuonyesha kwa lugha rahisi jinsi unavyoweza kutumia ChatGPT...
  9. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Kafara Katika Kuvuta Wateja Katika Biashara Yako

    Katika mfumo wa maisha tunayoishi, imejengwa misingi kwamba, wengi wawe masikini na matajiri wachache. Kwa hivyo, kama upo kundi la umasikini, kutoka humo siyo kazi nyepesi, ni lazima uzijue kanuni za kiulimwengu. Kuanzisha biashara ni jambo jepesi kupata wateja ni jambo gumu. Wateja wengi ni...
  10. youngkato

    JamiiForums Tanzania Wateja hawavutwi na bidhaa au huduma nzuri peke yake

    Wateja hawavutwi na bidhaa au huduma nzuri peke yake Hakuna kitu kinakatisha tamaa kama kuwa na huduma/bidhaa nzuri lakini hupati wateja. Bidhaa zako ni nzuri, zinaleta matokeo, una shuhuda za kutosha, lakini kila mteja anapita kama hakuoni. Kuna watu wana bidhaa mbovu sana au za kawaida...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Mchina haui biashara, ni nyinyi mnaowatukuza mawinga kuliko wateja, Tunazidi kuwaombea wachina wajae, Maana ya kwenda kariakoo inazidi kuchuja.

    Wengine wanasema "mawinga wanasaidia wateja wasiojua pa kwenda." Ndio upewe msaada kwa kuumizwa kiasi hiki ? Unapigwa block huwezi kununua bila wao na faida yao wanayoongeza ni kubwa sana, Huu sio msaada ni UHUNI !! Kariakoo siyo tena Kariakoo ya zamani! Huko sasa ni uwanja wa mawinga...
  12. sanalii

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Tigo/Yas wanakiburi sana cha biashara au wanadharau wateja, TCRA wako wapi?

    Nimetuma pesa kwenye mtandao tofauti, pesa haijafika kwangu wamekata, na wananiambia masaa 72, wanasema tatizo lilitokea jana, chaajabu nimeangalia Instagram, nimeona malalamiko ni mengi sana, na yapo hadi siku za nyuma. Hii inapnesha ni tatizo la muda mrefu. Sasa kwanini hawaweki wazi tatizo...
  13. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania REA YAENDELEA NA UHAMASISHAJI MATUMIZI BORA YA NISHATI YA UMEME, NA UUNGANISHAJI WATEJA MKOA WA MOROGORO

    📌Wananchi wapewa elimu matumizi bora ya nishati ya umeme 📌Wahimizwa kujiunganisha na huduma ya umeme 📌Wananchi wahamasika na UMEME TAYARI ( Ready Board) Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeendelea kuhamasisha matumizi sahihi na endelevu ya umeme kwa Watanzania ikiwa pamoja na kutoa elimu...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Yas/Tigo wanapika data za vifurushi na kuibia wateja? Taarifa za matumizi ya kifurushi zimekuwa pungufu ya bando huku MB zimeisha!

    Wakuu, najua hii ni ndefu kidogo lakini tafadhali soma mpaka mwisho ili tukomeshe jinamizi hili, ******* Wakuu mimi ni mtumiaji wa huduma ya Postpaid kwenye mtandao wa Yas/Tigo, ambako ninanunua kifurushi cha Combo cha elf 60,000/-, kwenye kifurushi hiki napata data GB 55, Dakika 3000 mitandao...
  15. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Wateja wakubwa wa waganga na manabii uchwara ni wanawake

    Wanawake wamejawa na uovu mwingi kuliko wanaume na ndio vinara hata kwenye ushirikina hata kwenye maombezi wanawake huwa wanaoongoza kuanguka mapepo kutokana matendo yao yanavutia zaidi pepo wachafu , fanya tafiti wateja wakubwa wa waganga au hata manabii uchwara ni wanawake
  16. nipo online

    JamiiForums Tanzania Kwenye salon kuweka free Wi-Fi kwa lengo la kutoza wateja 500 ili aperuzi

    namba kujua kama hich kitu kinaweza kua na Tija, yani mteja akiwa anakuja kunyoa namwambia aongeze jero kama charge ya network, naomba mnirekebishe hapa kabla sijaharibu pesa je nifanye vip ili nipate pesa kupitia free WiFi salon ya kiume, maana nina wateja wengi salon iko uswahili wateja wengi...
  17. BigTall

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wafanyabiashara Dodoma wanauza mafuta ya Korie kwa kwa kuwaadaa wateja kuwa wanauza Alizeti

    Nilienda kununua mafuta ya kura na nilihitaji mafuta ya Alizeti maeneo ya Sabasaba, baada ya kufika kwenye hilo duka la mafuta na lina mchanganyiko wa bidhaa za chakula, alitoka msichana na kuniuliza ninahitaji nini? Nilimueleza nahitaji mafuta ya Alizeti akanitolea moja ya dumu la lita tatu...
  18. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kwanini wafanyabishara wanaotambulika wanapata wateja wengi na tenda nyingi kuliko ambao hawajulikani?

    Jibu ni Moja tu! wamesajili majina ya biashara zao Ndio, kuna ulazima mkubwa wa kusajili jina la biashara na faida zake ni nyingi kuliko watu wanavyofikiria. How👇👇 Kusajili jina unapata uhalali wa Kisheria. Unaposajili jina lako kupitia BRELA, Biashara yako inatambua rasmi. Inakulinda...
  19. youngkato

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUTUMIA SHUHUDA ZA WATEJA (SOCIAL PROOF) ILI KUVUTA WATEJA WENGINE ZAIDI

    JINSI YA KUTUMIA SHUHUDA ZA WATEJA (SOCIAL PROOF) ILI KUVUTA WATEJA WENGINE ZAIDI Zinagtia ya 8 Watu hawaamini tu kuwaambia unachofanya Wanaamini ushuhuda kutoka kwa watu uliofanya nao kazi, waliokwishatumia huduma bidhaa zako Shuhuda ni muhimu sana kwenye kutafuta wateja 1. Weka Shuhuda...
  20. EDIGAR JO

    JamiiForums Tanzania Nguruwe wa Miezi 8 wauzwa Dodoma

    Wakuu Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi. Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM. Eneo: Dodoma
Back
Top Bottom