Nilienda kununua mafuta ya kura na nilihitaji mafuta ya Alizeti maeneo ya Sabasaba, baada ya kufika kwenye hilo duka la mafuta na lina mchanganyiko wa bidhaa za chakula, alitoka msichana na kuniuliza ninahitaji nini?
Nilimueleza nahitaji mafuta ya Alizeti akanitolea moja ya dumu la lita tatu...
Jibu ni Moja tu! wamesajili majina ya biashara zao
Ndio, kuna ulazima mkubwa wa kusajili jina la biashara na faida zake ni nyingi kuliko watu wanavyofikiria.
How👇👇
Kusajili jina unapata uhalali wa Kisheria. Unaposajili jina lako kupitia BRELA, Biashara yako inatambua rasmi. Inakulinda...
JINSI YA KUTUMIA SHUHUDA ZA WATEJA (SOCIAL PROOF) ILI KUVUTA WATEJA WENGINE ZAIDI
Zinagtia ya 8
Watu hawaamini tu kuwaambia unachofanya
Wanaamini ushuhuda kutoka kwa watu uliofanya nao kazi, waliokwishatumia huduma bidhaa zako
Shuhuda ni muhimu sana kwenye kutafuta wateja
1. Weka Shuhuda...
Wakuu
Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.
Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM.
Eneo: Dodoma
Kama kawaida kila nikipita pale kivukoni huwa naangalia mapungufu, nilianza na la chenji ya mia mia kutorudishwa. Na leo nimebaini abiria wakinunua tiketi pale dirishani pale sehemu ya kuscania inawekwa nyuma ya tiketi nyingine huku ikitunzwa vizuri bila kuharibiwa. Hii inamaanisha zinarudishwa...
Yaani unakuta mteja mlianza vizuri biashara lakini kadiri siku zinavyokwenda anaanza kukuzoea mara achukue mzigo aseme hela baadae, mara kesho mara baada ya wiki hapo hajakwambia anakopa
Ndo mwanzo wa kumpoteza maana taratibu anaanza kutolipa au kusumbua kulipa
Nyie wenzangu mnafanyaje?
Maana...
Salam wakuu!
Twende kwenye mada husika, tupe mkasa wowote, ulioupata Kwa kumwamini mteja,dukani kwako,iwe kutapeliwa,kutokulipwa, au kufikisika!
Karibuni!
Njia 30 za kuleta wateja kwenye Biashara au huduma yako:
👉Kwa wafanyabiashara wa Online
👉Freelancers
👉Service provider
👉Wanaouza products za afya
👉Wanaouza digital products
👉Wenye ofisi / kampuni
Hizi ni njia za marketing zinazoleta matokeo kwa watu wengi
Thread 👇👇
1. Target watu wengi kwa...
🔴 Kwanini Hupati Wateja Wapya Kwenye Biashara Yako? Unafanya Kila Kitu, Lakini Hakuna Matokeo? Fanya Hivi!
🎯 Unauza huduma yako lakini hupati sales?
🎯 Unatangaza bidhaa zako, lakini hakuna anayenunua?
🎯 Unapost kila siku, watu wanaangalia tu lakini hawachukui hatua?
🎯 Unasema "We are open!"...
Acheni kujibanza kwenye kisingizio cha uzawa, wateja wanachotaka ni kupunguza ukali wa maisha.
Tunachotaka kukiona ni ladha ya ushindani wa kibiashara, haiwezekani kitu ya tsh elf 5 unauziwa mpaka elf 30, mchina anakuja kuuza kwa bei rahisi mnaanza kulia Uzalendo, ni uzalendo gani huo wa...
Sianzi na salam sababu ya jazba ............hivi hawa mbwa wanajikuta nani?? Yaani mmelipwa pesa na huduma mmekata.........mnadhania pesa ni ya mababa zenu??...........hii kampuni sio international bora hata mngeweka ofisi yenu tandale ................huduma kwa wateja namba haifanyi...
Ofa ofa ofa 🤗🤗🤗🤗🤗
karibu ujipatie matairi ya magari madogo na magari makubwa Kwa bei ya punguzo la 10% mwezi ramadhani pamoja na pasaka.
Matairi ya brands mbalimbali za size zote zinapatikana.
Location Vingunguti karibu na sido, Dar es salaam, Tanzania.
Mikoani tunatuma pia Dar es salaam...
Wakuu ili kujenga taifa lenye uchumi imara na imara ni muda wa shirika la umeme Tanzania TANESCO kuweka utaratibu wa kuwaungia umeme wateja wapya ambao hawana uwezo wa kulipia gharama za umeme kwa mkupuo kwa utaratibu wa malipo ya polepole. Faida kuu itakayopatikana ni pamoja na:
1. Kuimarisha...
Katika kuhakikisha TANESCO unahudumia wateja wake kwa haraka na kwa ufasaha, wamezindua namba mpya 180 ya kupiga bure masaa 24.
Havi karibu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko alieleza kutoridhishwa kwake na Kituo cha Huduma kwa wateja cha Shirika la Umeme Tanzania...
Wakuu kwema?
Hiki kipengele kinasumbua sana. Yani unahitaji risiti ambayo ina tin halafu muuzaji anakwambia mashine haina option ya tin. Hapo ili tu asisumbuke kwa kuwa hajui hiyo hatua.
Pia mashine zenyewe ziko aina tofauti kiasi kwamba procedure za kutoa risiti zinatofautiana.
Sasa muuzaji...
Nilichokitoa hapa ni aibu natamani nimfate muuzaji aje tule wote haiwezekani aniuzie nyanya za kachumbari kumbe mimi nahitaji nyanya zakupikia!, nyanya inakimbizana na samaki kwenye sufuria ndo nini hiki sasa!.
angeniuliza unahitaji za kachumbari ama zakupikia angepungukiwa nini..?😠
Na wengine...
GTs,
Naona kuna wizi unaendelea kwenye mizigo kwenye SGR. Kwenye ticket haioneshi kiwango cha uzito kinachoruhusiwa ila wapimaji ndiyo wanakadiria. Kibaya kabisa inaonekana ukila kilo inayozidi ni TZS 4000. Pamoja na kuwa wanatoa receipts za EFD na control number ila naona wizi upo tu maana...
Habari,
Karibu ujipatie matairi ya aina mbalimbali na size tofauti za brands zote.
Tunauza matairi ya magari makubwa na madogo.
Bei zetu ni nafuu sana mikoani tunatuma Dar es salaam tunafanya delivery mzigo upo wakutosha karibuni wte.
Location Vingunguti karibu na sido Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.