watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. Watanzania, msijaribu kwenda kumtoa Lissu

    Watanzania!. Nimeona uzi wa britanicca kuhusu kwenda kwa lissu na wengine wamechangia kwenda huko. Mkienda na mkajaribu kumtoa mnaweza kumuweka kwenye hatari kubwa sana ya usalama wake. Wapo watu wahovu wanaweza kujipenyeza na kumdhuru. Kwa sasa yupo sehemu salama. Uhakika wa yeye kutoka...
  2. GE2025 Big up watanzania! Usiku huu tuelekee hapa

    Twende Gogoni usiku huu Twende alipo Lissu Nyumba ya Mafwele Nyumbani kwa Muliro Tumechoka! Tunataka mateka wote wakiwa live Britanicca
  3. watanzania endeleeni kujitokeza kwa wingi hakuna wa kutuzuia tunachukua nchi yetu

    watanzania endeleeni kujitokeza kwa wingi hakuna wa kutuzuia tunachukua nchi yetu
  4. Samia must go hasitulazimishe, watanzania endeleeni kujitokeza kwa wingi ili kubatilisha huu uchaguzi wa wizi

    Samia must go hasitulazimishe, watanzania endeleeni kujitokeza kwa wingi ili kubatilisha huu uchaguzi wa wizi
  5. GE2025 Mkoa wa Dar es Salaam: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

    Wakuu, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka. Mkoa wa Dar es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi (12) ambayo ni Jimbo la Kinondoni Jimbo la...
  6. GE2025 Kikombe cha mateso cha watanzania hakija-jaa ni moja ya sababu ya kufeli kwa maandamano

    Maandamano yamefeli mpaka navyoandika mda huu- kila mtu amejifungia ndani mfano lile tukio la wanakimara kushuka magomeni na kuleta vurugu na kuchoma magari pale kikombe cha mateso kwa wana-kimara kilijaa kukawa hakuna cha kupoteza hawakupanga ila ilitokea Lakini tunatakiwa kufahamu...
  7. Captain Tesha awaacha watanzania kwenye mataa

    Jamaa mbwe mbwe zote zile na kuahidi atarudi kabla ya uchaguzi kutoa tamko lakini mpaka sasa ameufyata kimya. Sasa tumueleweje? Je naye amelambishwa asali? Kapewa onyo na wakubwa wake wa kazi? Kabadili maamuzi kwa mapenzi yake? Au alikuwa anatafuta umaarufu (attention seeker)?
  8. GE2025 Vita na mapambano ya mabadiiko MO29 Sio tu ya raia ni ya watanzania wote ikiwemo jeshi

    Vita na mapambano ya mabadiiko MO29 Sio tu ya raia ni ya watanzania wote ikiwemo jeshi
  9. Ndugu zangu watanzania, tuwe wavumilivu huyu mama akimaliza muda wake ataondoka, tumwache afanye kazi

    kwa kikwete tumeibiwa sana kama nchi awamu ile ila sasa yupo wapi, hivo ndugu zangu nawaombeni sana tuwe wavumilivu muda wake utaisha tu, kabla huja hamasisha uvunjifu wa amani fikiria watoto, wazee, walemavu nk haya ni maisha tu tutakufa tutayaacha yanini kuumizana? natumaini hata watekwaji...
  10. R

    GE2025 Askofu wa Kanisa la Anglikana, Jacob Kahemele amewasihi Watanzania kupiga kura Oktoba 29, 2025, baada ya hapo watazungumza wanayoona hayako sawa

    Kutoka X: Askofu unakuwaje na mke mtumishi wa umma ? Halafu unaibuka kutetea serikali iliyompa cheo mkeo? Haoni haja ya kukemea utekaji, mauaji and the like, ameona la muhimu ni kupiga kura. Takataka mavi Huyu ana mke na watoto, lazima atetee tumbo la uzao wake. Mtombi tu kama watombi wengine
  11. Timely Reminder Ndugu Watanzania

    The Quote
  12. Tetesi: Sheli zimezuiwa kuuza Mafuta kwa Watanzania

    Kama unatumia generator ukienda sheli kununua Mafuta hawauzi. Poleni wafanya biashara mnaotegemea generator umeme ukikatika. Kisa maandamano sheli haziuzi Mafuta Kumbuka wamiliki wa sheli ndio hao hao wanamtandao. Hawajui kwamba sheli zinaweza geuzwa majivu tarehe 29? Tuendelee kuwepo...
  13. Hivi mna uhakika watanzania Oktoba 29 wataandamana?

    Nchi imechafuka inanuka damu kiasi kwamba ni ngumu kuvumilia haya. Yanayoendelea Lakini binafsi Nina mashaka na watanzania namna ambavyo tumekuwa Kama kondoo Hivi mna uhakika hayo maandamano yapo?
  14. H

    Anayepigania waTanzania ni sawa na anayejichoma moto ili kuwaangazia njia vipofu

    N vigeugeu wa kutupa na wanafiki waliopitiliza hasa linapokuja swala la kupigania maslahi ya wote watakuacha uangamie kwa wao kupata na kulidhika na kidogo watakachopewa. Kuwa makini sana nao ikiwezekana ni kuwaacha waangamie ili wajifunze..
  15. GE2025 Mnatutishia watanzania na magari ya kipolisi na kivita, mnataka kumuua nani ama mtaweza kutuua wote ?

    Je mutaweza kutuua watanzania milioni 50+? Sasa mbona hata hio ni ujumbe tosha hata wapiga kura wasiende kupiga kura.. Huu ni uchaguzi ama vita Free Polepole Free Heche Free Mdude
  16. GE2025 Watanzania msifanywe wajinga shtukeni

    Maandamano yanayotaka kufanyika sio ya Mange Kimambi, CHADEMA, Kigogo, Sativa wala Recho Dangwa bali maandamano haya ni kwa ajili ya kuweka sawa baadhi ya mambo kwenye nchi yetu ambayo kuna baadhi ya watu wachache wanaona wenyewe ndo Wana haki pekee ya kufanya Jambo lolote ambalo wanajisikia...
  17. M

    Bandika kwenye hiki kichwa vitu ambavyo watanzania hufikiria

  18. Heche na watanzania yanayotokea sio bahati mbaya

    Salaam... Soma hapa Tetesi: - CHADEMA na vikao vya siri kuelekea maandamano ya Oktoba 29 Huu msiba ni kivuli tu mpango wa mwanzo ulikua itumike njia ya mtandao kuanzia tarehe 17/10/2025 na sio kwamba HECHE hakujua nini kitatokea mpakani ni basi tu kutengeneza unrest kama hizi ndio malengo...
  19. Ukitaka kujua watanzania wengi hawana akili tumia Simba na Yanga tu utapata majibu

    Unakuta mtu ni shabiki wa mpira lakini huo mpira wenyewe anaoshabikia haujui. Timu yake ya ulaya inafungwa hadi goli nne tano wengne had sita lkn anasema huo ndo mpira Lakn ikitoa sare tu timu yake ya uku matopen utasikia kocha mbovu afukuzwe halafu huyo huyo mudq wote anamsifia arteta Timu...
  20. M

    Hivi kuna stage ngumu kwa mfanyabiashara kuzidi kujikubali umefirisika au biashara imeshuka inabidi urudi chini kuanza upya badala ya kufosi?

    Kuna hatua katika mzunguko wa biashara ambapo hali ya mauzo hushuka kwa kiasi kikubwa, huenda kutokana na ushindani mkali sokoni, mabadiliko ya mahitaji ya wateja au hata kushuka kwa nguvu ya soko kwa ujumla. Katika baadhi ya matukio, hali hii inaweza kupelekea kufilisika kabisa, hasa pale...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…