watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    JamiiForums Tanzania Watanzania na Viongozi wa Dini tufunge na kuliombea hili Taifa

    Sitaki kunyoosha kidole kwa mamlaka maana nina imani kila mamlaka inawekwa na Mungu. Iwe mbaya au nzuri ila anaye isimika ni Mungu pekee iwe kwa wizi wa kura ama kwa namna yoyote bado Mungu ndie anaye ziweka mamlaka nakuzipa ridhaa kuwaongoza watu. Yes kama Mungu angakuwa sio anaye bariki mambo...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Watanzania, huu ni umaskini au ni laana?

    Kumekuwa na tabia ya ajabu sana kwa baadhi ya Watanzania hasa wa Dar. Baadhi wamekuwa wakipiga picha za ngono na baadae kumtumia Mbibi mmoja ambaye kazi yake ni kutangaza tu kuwa kuna watu wamechafua hali ya hewa. Baadhi wamekuwa wakifanya maigizo na kutuma picha hizo ili wapate mgao na sijui...
  3. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Awamu ya sita imedhulumu maelfu ya Watanzania

    Shujaa mashuhuri na kiongozi wa kijeshi na wa kisiasa nchini Ufaransa baada ya mapinduzi ya Kifaransa ,Napoleon Bonapatre aliwahi kutamka maneno haya; "The world suffers a lot. Not because the violence of bad people, but because of the silence of the good people.” Akimaanisha kwamba "Dunia...
  4. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Naiona posho kiduchu mafunzo ya makarani wa Sensa 2022 (Tsh 10,000-20,000) kwa kisingizio cha Uzalendo, na si 60,000 kama wanavyotegemea wengi

    Watu hasa watumishi kwa miaka ya nyuma serikali ilitumia kazi maalumu na kuwapa posho kwa dm ili kuongeza motisha na tija na uhakika wa kazi bora kwani ni rahisi kudhibiti utendaji wao. Kwa kile kinachoonekana nia ya Viongozi wa serikali kuzidi kuchonganisha Raisi na kila kundi baada ya ahadi...
  5. fesyto4

    JamiiForums Tanzania Kwani Walimu wamewakosea kitu gani Watanzania?

    Ndugu wana jukwaa hili habari za Jumapili! Ndugu zangu nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa hoja mbalimbali ktk jukwaa letu hili lkn kwann Walimu wamekuwa wakitukanwa kwa kila aina ya maneno kama vile wao pekee yao ndiyo watumishi pekee ktk hii Nchi? Kwa mfano kila anayeandika habari ya maisha...
  6. benzemah

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa viwanda vya kubangua korosho na neema kwa Watanzania

    Serikali ya Tanzania imesema iko katika hatua za mwisho za majadiliano na Serikali ya Vietnam kujenga viwanda vitakavyobangua Korosho hapa nchini (Tanzania) ili kuiongezea thamani badala ya kuiuza ikiwa ghafi kama inavyofanyika kwa kiasi kikubwa hivi sasa. Taarifa kutoka Kituo cha uwekezaji...
  7. dubu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tusaidie, Uteuzi wa DCI Kingai, Watanzania tunaenda kuzikwa wazima wazima

    Shikamoo Rais Samia Huyu Kingai anaenda kutumaliza, visasi vingi na atahakikisha wabaye wake wanakipata cha mtemakuni. Kingai haijui hata PGO, atakuwaje Mkurugenzi wa Upelelezi? Twafwa. Kesi dhidi ya Mbowe ya Ugaidi, nilitegemea imfumbue macho Rais ili ajue waliomzunguka. Naamini rais...
  8. chiembe

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mwaka 2016-2019, wakati wa utawala wa Hayati Magufuli, watanzania milioni nne waliingia katika kundi la umasikini mkali

    Akitoa mada yake katika mazungumzo ya miaka 30 ya vyama vingi vya siasa, Zuberi Zitto Kabwe, alieleza kwamba kwa miaka mitatu tu, utawala wa JPM ulitengeneza masikini milioni nne, ambao,hapo awali, walikuwa wanajimudu kimaisha. Hii maana yake JPM angetawala miaka 10 basi robo tatu ya watanzania...
  9. MAKA Jr

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatupendi kusoma vitabu. Kwa hiyo tunapenda kusomewa?

    Kama kweli Watanzania hatupendi kusoma vitabu, ina maana tunapenda kusomewa. Je, ni kweli? Na sisi tunakubali tuwe tunasomewa? Hakika, ndio maana tunapewa sana 'matango pori' na wale watu wanaotusomea. Kwa kweli, hii tabia sio nzuri. Jamani, na sisi tuanze kusoma ili tusile 'matango' pori kila...
  10. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Watanzania watakavyonufaika na mkopo wa TZS trilioni 2.4 kutoka IMF

    Kabla sijaanza kueleza ni kwa namna gani Watanzania watanufaika na mkopo wa shilingi trilioni 2.4 kutoka Shirika la Fedha Duniani, kwanza ifahamike kwamba hakuna nchi duniani ambayo haikopi, nchi zinatofautiana kiwango na sababu za kukopa. Baada ya hilo, nielekeza kwamba mkopo ambao Tanzania...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bumbuli alitaka Kutuongopea Watanzania ila Shukran kwa Manara Kukiri na Kuonyesha Professionalism na kuwa amekomaa kwa Kazi

    Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli alitaka Kutudanganya na Kutuficha kuwa Yanga SC hawako katika Mzozo wa Kimkataba na Wakala wa Hoteli huko nchini Uturuki ambako Klabu ya Yanga ilikuwa waende kwa ajili ya Pre Season yao. Wakati 'Hopeless' Bumbuli akijitahidi kutaka kuleta Uswahili wake juu ya...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya maoni ya Watanzania kuhusu ugawaji wa majiko ya Gesi Kanda ya Ziwa

    Haya ni baadhi ya maoni yaliyokusanywa na Mtandao wa Facebook wa Gazeti la Mwananchi leo Julai 19,2022 kuhusiana na mpango wa Waziri Januari Makamba kugawa majiko ya gesi mikoa ya Kanda ya Ziwa Mirisho Kitomari Umesema Kaya masikin je iyo gesi ikiisha atapata wp pesa yakujaza Tena gesi...
  13. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Serikali yaitaka RITA kuchunguza na kubainisha sababu za mwamko mdogo kwenye kuandika wosia

    Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imetakiwa kukusanya maoni kwa wananchi kuhusu sababu ya mwamko mdogo wa Wananchi katika kuandika wosia. Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mary Makondo amesema wosia siyo uchuro, mtazamo hasi kuhusu suala hilo umesababisha kuibuka migogoro...
  14. Palestine Will be free

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu, nawasalimu

    Habari zenu wakuu mliomo jamiiforum, members wa wazamani na wa sasa pia, natumaini mpo salama wote, ALHAMDULILAH, ni jambo la kushukuru. Sina mengi, nimekuja kuwasalimu! NAWAPENDENI SANA ENYI WATANZANIA WENZANGU, NA WASIO WATANZANIA PIA NAWAPENDENI SANA, WOOTE NAWAPENDENI. Bhujiku ng'waka!
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Januari Makamba kama hawampendi wamuue ina maana gani?

    Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la Nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka...
  16. chiembe

    JamiiForums Tanzania Lile kundi linalofurahia utekaji, mauaji, kunywa damu, ukatili, kutofata sheria, bado lipo

    Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu...
  17. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mbinu zitakazosaidia Watanzania kuifahamu lugha ya Kiingereza au lugha nyingine yoyote ya Kigeni kwa urahisi

    Wanafunzi wakijifunza lugha ya kigeni | picha na mtandao UTANGULIZI Lugha ya kigeni niile lugha ambayo haipatikani katika jamii ya mjifunzaji na kuwa hawezi kujifunza lugha hiyo bila kufundisha. Niukweli usiopingika kuwa na ufahamu wa lugha nyinginezo za kigeni zaidi ya Ile lugha yako Kuna...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuijua kesho ya Watanzania wasikilize viongozi wake, unaweza kulia

    Hii ndio Tanzania unayo ijuwa Hayati baba wa Taifa huko kaburini ana wish afufuke aje awachape viboko. Taifa alilo lijenga na kuweka misingi yake limetumbukia zama mpya zama zinatisha kuliko zama za ukoloni. Mwalimu ktk moja ya hotuba zake kuna wakati alilisema hili nadhani watu wachache sana...
  19. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania CCM: Majizi Msimchukulie poa Rais Samia

    Na Romana Mallya CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema mtu ambaye hatakiwi kufanyiwa masihara wala mzaha katika kulinda rasilimali za nchi hii ni Rais Samia Suluhu Hassan,Wale wanaomchukulia ‘poa’ wajaribu waone, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania wasiokula bia au kilevi wana roho mbaya sana. Ukiwa nao makazini au unapoishi kuwa makini

    Wengi ni watu wasiojiamini. Wakiwa makazini ni watu wa fitina na majungu. Wanaamini sana uchawi na ushirikina. Ukiwa nao mahala unaishi nao kuwa makini. Ukiwa nao mahala unafanya nao kazi kuwa makini. Hawafai kabisa
Back
Top Bottom