Anaandika, Robert Heriel
Mume wa mke mmoja.
"Sijategemea kama huku ndiko tulikofika, ninahasira. Hasira za nini bwana mdogo? Acha! Acheni tuu. Nina hasira hapa, nafikiri polisi na madaktari watapata kazi na mteja hivi punde. Bado nafikiria chakumfanya huyu mpuuzi, mshenzi Sana. Serikali...