Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,277
Salaaam kwenu Wanajukwaa,
Hivi kijana unayetafuta mafanikio (utajiri) ambaye bado hujafikia mda wa kuoa au kuwa na mwenza na una kiu kubwa ya kusaka mafanikio. Unakuaje na Mademu?? Upo serious kweli na maisha??
Yaani kama unashindwa kujizuia na Genye ni afadhali ukawa na Mwanamke mmoja ambaye unamwamini lakini na yeye awe safi Asiwe na makando kando. Hiyo itakusaidia kufikia malengo yako kiuchumi.
Inawezaje kukusaidia kufika malengo yako? Kama ulishawahi kusoma kitabu kinaitwa Semen Retention basi hapa hutapata shida kunielewa. Na kama hujawahi kusoma iko hivi.
Semen Retention ni kitendo cha kuto kumwaga Shahawa ama mbegu za Kiume(ejaculation) kitaalamu wanasema Mbegu za kiume zisipotolewa nje Kwa Mwanaume uzalisha Nguvu ya ndani ambayo inaweza kumsaidia Mwanaume uyo katika shughuri mbali mbali za kufikia malengo yake. Pia wameshauri kama hauwezi kabisa kuto kumwaga Shahawa zako basi ata kama utafanya Mapenzi jaribu kutoa Orgasm nasio ejaculation( kumwaga mbegu)
Ni kwanini hasa Mwanaume
unatakiwa kuepuka kumwaga mbegu zako? Ni zipi hasa faida za kufanya hayo, tuangalie faida zake.
1. Inakuongezea Uzalishaji
Ni nguvu kiasi kikubwa sana mwanaume upoteza anapokua anafanya Mapenzi zaidi sana anapomwaga Shahawa (mbegu za kiume) na nguvu hizo ni za kihisia za kimapenzi(sexual pleasure) sasa ukifanya Semen retention utazitumia nguvu hizo kama mwanaume kuongeza ufanisi katika yanja zingine za kimaisha.
2. Huimarisha kinga za mwili
Shahawa za mwanaume sina vitamini nyingi sana ikiwemo Vitamin C, calcium, magnesium, citric
acid, phosphorus, sodium, potassium, zinc, lactic acid and
Vitamin B12, hizo vitamini zinaviambata ambavyo hukinga mwili na Magonjwa na kukufanya kuwa mwenye Afya.
3. Inakuongeze uwezo au ufanisi wa kufanya mapenzi
Watu ambao wameacha kujichua wanaweza wakawa na ushahidi juu ya hili ya kuwa kuto kuzitoa shahawa kunaongeza ufanisi katika tendo(sexual desire)
4. Inaongeza unene wa Sauti, DEEP VOICE
Mwanaume Unapofanya semen Retention Testosterone uongezeka kwa zaidi ya asilimia 45 ndani ya wiki moja tu hii ukufanya kuwa na sauti Nene sauti ya kiume.
5. Uongeza kumbukumbu
Kutunza mwilini viambata/vitamins muhimu kama phosphorus na zinc kuimarisha afya yako ya Akili, zinc ni madini mhimu kwa afya ya Ubongo ivyo kukufanya uwe na kumbukumbu nzuri na Akili yenye kufikiri kwa wepesi.
Sasa hizo ni baadhi tu ya Faida zaidi sana faida zake ni nyingi mno.
Naomba kuwasilisha.
Hivi kijana unayetafuta mafanikio (utajiri) ambaye bado hujafikia mda wa kuoa au kuwa na mwenza na una kiu kubwa ya kusaka mafanikio. Unakuaje na Mademu?? Upo serious kweli na maisha??
Yaani kama unashindwa kujizuia na Genye ni afadhali ukawa na Mwanamke mmoja ambaye unamwamini lakini na yeye awe safi Asiwe na makando kando. Hiyo itakusaidia kufikia malengo yako kiuchumi.
Inawezaje kukusaidia kufika malengo yako? Kama ulishawahi kusoma kitabu kinaitwa Semen Retention basi hapa hutapata shida kunielewa. Na kama hujawahi kusoma iko hivi.
Semen Retention ni kitendo cha kuto kumwaga Shahawa ama mbegu za Kiume(ejaculation) kitaalamu wanasema Mbegu za kiume zisipotolewa nje Kwa Mwanaume uzalisha Nguvu ya ndani ambayo inaweza kumsaidia Mwanaume uyo katika shughuri mbali mbali za kufikia malengo yake. Pia wameshauri kama hauwezi kabisa kuto kumwaga Shahawa zako basi ata kama utafanya Mapenzi jaribu kutoa Orgasm nasio ejaculation( kumwaga mbegu)
Ni kwanini hasa Mwanaume
unatakiwa kuepuka kumwaga mbegu zako? Ni zipi hasa faida za kufanya hayo, tuangalie faida zake.
1. Inakuongezea Uzalishaji
Ni nguvu kiasi kikubwa sana mwanaume upoteza anapokua anafanya Mapenzi zaidi sana anapomwaga Shahawa (mbegu za kiume) na nguvu hizo ni za kihisia za kimapenzi(sexual pleasure) sasa ukifanya Semen retention utazitumia nguvu hizo kama mwanaume kuongeza ufanisi katika yanja zingine za kimaisha.
2. Huimarisha kinga za mwili
Shahawa za mwanaume sina vitamini nyingi sana ikiwemo Vitamin C, calcium, magnesium, citric
acid, phosphorus, sodium, potassium, zinc, lactic acid and
Vitamin B12, hizo vitamini zinaviambata ambavyo hukinga mwili na Magonjwa na kukufanya kuwa mwenye Afya.
3. Inakuongeze uwezo au ufanisi wa kufanya mapenzi
Watu ambao wameacha kujichua wanaweza wakawa na ushahidi juu ya hili ya kuwa kuto kuzitoa shahawa kunaongeza ufanisi katika tendo(sexual desire)
4. Inaongeza unene wa Sauti, DEEP VOICE
Mwanaume Unapofanya semen Retention Testosterone uongezeka kwa zaidi ya asilimia 45 ndani ya wiki moja tu hii ukufanya kuwa na sauti Nene sauti ya kiume.
5. Uongeza kumbukumbu
Kutunza mwilini viambata/vitamins muhimu kama phosphorus na zinc kuimarisha afya yako ya Akili, zinc ni madini mhimu kwa afya ya Ubongo ivyo kukufanya uwe na kumbukumbu nzuri na Akili yenye kufikiri kwa wepesi.
Sasa hizo ni baadhi tu ya Faida zaidi sana faida zake ni nyingi mno.
Naomba kuwasilisha.