wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanaume tuwakubali tulio nao; wanawake wanatuibia sana mtandaoni

    Mim kila siku natoka asubuh kuna eneo flan napitab..sasa leo ni mara ya tatu namwona mdada flan hiv famous sana instagram kwa picha zake nzur nzur m classy....picha zake ni viwanja vikal na kwenye instagrm she is veeeeery light skin. Ila sasa huyu dada had naandika uzi huu asubuh leo mara ya 3...
  2. Wanaume tusijihangaishe kupenda kama hatujui haya mambo

    Salaam kwenu wote watumizi wa JamiiForums. Kabla ya yote ningependa nifafanue Kichwa cha huu Uzi kinacho eleza zaidi upendo wa wanaume kwa wanawake, Kwa hali ya kawaida mwanaume huwa anapenda hana kikomo cha kupenda na kutamani zaidi. Huwa hata kimtaa mtaa tunaona demu mkali lazima watu...
  3. Kwanini wanaume wengi wanajidharirisha kwa kupiga goti

    Cómo están tus amigos. Leo nimeona tujadiri hili suala lwa wanaume kumpigia magoti mwanamke kipindi ananvisha pete ya Uchumba au Ndoa. Mara zote nimekuwa nikiamini kuwa kama mwanaume anamvisha pete ya uchumba mwanamke, basi ni mwanamke anayepaswa kupiga magoti kwa ishara ya kuonyesha shukurani...
  4. Mchungaji wa kike atamaniha wanaume

  5. M

    Tabia zipi ukiziona kwa mwenza wako zinakufanya usitamani ndoa?

    Kwa Wanaume na Wanawake. Mimi binafsi mwanaume akiwa na sifa sifa mbele za watu huwa sitamani kuolewa naye.
  6. Kwa wanaume waliooa tupe kero au usumbufu ulioupata hadi kufanikiwa kumpata huyo mkeo

    Kwa wanaume waliooa tupe kero au usumbufu ulioupata hadi kufanikiwa kumpata huyo mkeo. Kuna wengine hadi walikaribia kufirisika wengine ushindani ulikuwa mkali nk. Tupe uzoefu wako
  7. Wanaume, mkipenda boga mpende na ua lake

    Ujumbe huu ni maalum kwako wewe mwanaume ambaye upo kwenye mahusiano na mwanamke mwenye mtoto asiyekuwa wa kwako Kumchukia mtoto wa mke/mpenzi wako sio ujanja bali ni ujinga na unajipunguzia mapenzi kwa mwenza wako. Hakuna mwanamke mwenye akili timamu atakaye ridhia kuendelea kuwa kwenye...
  8. Wanaume ni wakati wetu sasa kupumzika

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza wanaume wenzangu wote popote duniani kwa kazi kubwa ambayo tumeifanya tangu kuumbwa kwa ulimwengu mpaka sasa! Kwakweli tumefanya kazi sana, tumeteseka sana, tumepambana sana mpaka kuifikisha dunia hapa ilipo. Kila unachokiona hapa duniani kuanzia mapiramidi kule...
  9. D

    Kuna wakati nawaza huenda Corona inauwa zaidi wanaume kuliko wanawake (ipo haja kuchunguza ni kwanini)

    Nimefuatlia sana ugonjwa wa korona tangu uingie! Nilichogundua wazee wengi wa kiume ndo wanafariki zaidi ukiringanisha na wanawake! Hii ni kutokana na ukweli kwamba, wanandoa wazee wanapopata changamoto za ugonjwa huo, akianza kufa mwanamke basi kama mme alikuwa naye wakati wa kuuguza naye...
  10. J

    Namna malezi na utamaduni wa Watanzania unavyoathiri afya ya akili kwa Wanaume

    Nini maana ya afya ya akili? Ni hali ya kuwa sawa kiakili na kisaikolojia au kutikuwepo kabisa kwa usumbufu wa akili ya mtu, mfano msongo wa mawazo. Huhusisha uwezo wa mtu kufurahi maisha na kutengeneza mlingani baina ya shughuli za kimaisha pamoja na jitihada za kufikia uwiano mzuri...
  11. Wanaume futeni hii aibu ya kukataa Watoto, this is too much

    Wanaume wanaowapa Mimba then wanakimbia huu ni Ushamba. Huku mtaani mnatusababishia Matatizo, mpaka aibu Wanawake wanavyokula msoto. Iwe msoto ,changamoto Rijali akatai Mtoto. Everyone should carry it Burden
  12. J

    Kwanini wanawake hupata msongo wa mawazo kwa kiwango kikubwa kuliko wanaume?

    Kama ambavyo imekuwa ikielezwa na baadhi ya vyombo vya habari, wanawake wapo kwenye nafasi ya kupata msongo wa mawazo kwa kiasi kikubwa kuliko wanaume. Pia kiwango chao cha kupata matatizo ya kiafya au kujiua ni kikubwa mara tatu ya kile cha wanaume. Utofauti huu kati ya jinsia hizi mbili bado...
  13. Kauli za wanawake wakiwa na hasira zatajwa kuwa sababu ya wanaume kupima DNA

    Mwanasheria wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Abeid Kafunda ametaja baadhi ya mambo yanayochangia wazazi wanaume kutaka kujua uhalali wa mtoto au watoto kwa kutumia kipimo cha vinasaba (DNA). Kafunda alilieleza HabariLEO ofisini kwake jijini Dar es Salaam kuwa mambo hayo kuwa ni...
  14. Wanawake wajawazito watafuta wanaume bandia kupata kadi ya kliniki

    Wakina mama wajawazito wilayani Kilindi mkoani Tanga wamewalalamikia wanaume wanaowapa ujauzito kukwepa kwenda kliniki kupima afya zao kama kanuni zinavyodai hali inayopelekea wakina mama hao kutafuta wanaume wengine kwenda nao kupima ili waweze kupata kadi ya kliniki. Hata hivyo ITV...
  15. J

    Polepole: Wanawake wana akili kuliko wanaume, Wanawake wana uwezo zaidi ya wanaume hata wasaidizi wangu wote ni wanawake

    Katibu wa uenezi wa CCM mh Polepole katika kusheherekea siku ya wanawake duniani amesema wanawake wana akili kuliko wanaume tena wana uwezo kuliko wanaume. Polepole amesema kwa mujibu wa Biblia ya kiyunani mwanamke hakuumbwa kama msaidizi wa mwanamme bali aliumbwa ili kumsaidia mwanamme na mara...
  16. Si upungufu wa nguvu za kiume tu umekuwa tatizo hata uwezo wa wanaume kuzalisha unapungua

    Unakuta ni familia yenye uwezo, lakini watoto wao wa kiume hawana uwezo wa kupata watoto. Katika maendeleo ya mwanadamu, kilichosabisha ustaarabu wa kuoana na kuanzisha familia ilikua ni utaratibu wa kurithi mali. Binadamu alipoanza kumiliki ardhi, kulima nafaka na kumiliki wanyama wa kufugwa...
  17. Kumbe wanaume nao wanapataga siku zao kwa mwezi 😱

    Sasa huwa mnazitumia vipi hizi pads? Na nyinyi pia huwa mnaumwa wakat wa siku zenu km tumbo au kiuno?
  18. Hivi kwanini Wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa tofauti na sisi wanaume?

    Hello Jf. Kuna kautafiti kangu kasiko rasmi nimekuwa nakafanya kisirisiri,nimegundua kwamba wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa,utakuta anajipiga picha kwa kutumia simu but atahakikisha lazima pete yake ya ndoa inaonekana kwa watazamaji. Hivi hii huwa ina maana...
  19. E

    Wanaume wanaohitaji kujiunga na chama cha UMOJA WA WANAUME BAHILI TANZANIA

    Habari za leo wakuu, Kwenu wanaume wote Tanzania, Wanaume wanaohitaji kujiunga na chama chetu cha UMOJA WA WANAUME BAHILI TANZANIA nitafute inbox ndan ya mkoa wa Arusha na Tanzania nzima njoo whatsap 0766945239 Ada ya kitambulisho Ni 500 tu.
  20. Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

    Katika hali ya kushangaza baba Levo ameulizwa yapi maoni yake kwa wanaomuita chawa?. Jamaa kasema hana muda na watu hao na muda wowote ule atampeleka Diamond nyumbani kwao Kigoma kwenda kumtambulisha. Pia amesema mambo anayoyafanya ni sample tu ya vijana wa Kigoma kwa hiyo watu wasishangae sana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…