Ni ajabu watu wanataka kubadilisha mboga wakati hawamudu. Watu wagumu kuelewa, utandawazi umeongeza mahitaji ya binadamu, bando, usafiri, simu nzuri, saluni, kodi ya pango na mengine mengi huko nyuma hayakuepo. Ni ajabu mtu anataka mwanamke wa miaka ya 80 kule kijijini hakuna simu, hakuna saluni...