Bro,
Kikao cha hiki kijiwe sio kama kile cha wanaume wa UWABATA, Hachana na wanaume wasiojielewa, hatuna haja ya kuunda 'hashtag' hizo pigo waachie wanawake.!
Hachana na wanaume wasiojielewa, wao na wake zao wanalumbana kila siku,
Unajua kwa nini.!? Kwa sababu hawajielewi.!
Hawavai kilemba cha...