Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Apr 9, 2022
882
1,521
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.

Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii🤔🤔
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
Oya huyo hata mi nimeshamjua Halafu anajifanya anapost mathread kibao humu JF kila siku kumbe libaba kabisa na midevu yake😁😁
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
Mimi ni Simba, lakini hiki walichokufanyia siyo kabisa😂😂.
Wamekukula kama ngapi mkuu? Ukute ulishanunua na condom!
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
Ao wanaume hawana tofauti na Mpwayungu Village ambaye kucha kutwa anatamani kuwa mwanamke
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom