Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,498
Nimeona niilete hii mada, kwa sababu wengi huwa tunahisi ya kuwa maisha ni sasa, bila kukumbuka kuna ya kesho.
Kumekuwa na kawaida ya mahusiano mengi kuvunjika, ingawa kwa asilimia kubwa usababishwa na hawa wadada wanaojiita /wanaojiona ni warembo kweli kweli.
Huwa wanawacha wapenzi wao kwa maneno ya dharau, kebei, na kwa kuwafedhehesha kwa sababu wanajua, kwa uzuri walionao watapata mtu mwingine chap.
Napenda kuwakumbusha, mwanaume ni kiumbe mwenye huruma sana hasa kwenye kujali kama mliachana vizuri.
Atujui ya kesho, mara ghafla umepata janga la dharura mfano magonjwa n.k; kwa kuwa ulikuwa na mawasiliano mazuri na mpenzi wako wa zamani, mliekuwa naye kwenye mahusiano haitokuwa shida kukusaidia pale panapowezekana.
Kwa ujumla wanaume huwa tuna huruma sana, kama mkijua kuishi na sisi vizuri.
Ata kama mliachana huko nyuma, muhimu mliachana vizuri na mlikuwa mkijuliana hali hapa na pale; hiyo itakurahisishia mambo yako mengi kwenda sawa, pale utakapokutana na changamoto yoyote.
Badilikeni, maisha si sasa tu, bali kuna kesho pia.
Kumekuwa na kawaida ya mahusiano mengi kuvunjika, ingawa kwa asilimia kubwa usababishwa na hawa wadada wanaojiita /wanaojiona ni warembo kweli kweli.
Huwa wanawacha wapenzi wao kwa maneno ya dharau, kebei, na kwa kuwafedhehesha kwa sababu wanajua, kwa uzuri walionao watapata mtu mwingine chap.
Napenda kuwakumbusha, mwanaume ni kiumbe mwenye huruma sana hasa kwenye kujali kama mliachana vizuri.
Atujui ya kesho, mara ghafla umepata janga la dharura mfano magonjwa n.k; kwa kuwa ulikuwa na mawasiliano mazuri na mpenzi wako wa zamani, mliekuwa naye kwenye mahusiano haitokuwa shida kukusaidia pale panapowezekana.
Kwa ujumla wanaume huwa tuna huruma sana, kama mkijua kuishi na sisi vizuri.
Ata kama mliachana huko nyuma, muhimu mliachana vizuri na mlikuwa mkijuliana hali hapa na pale; hiyo itakurahisishia mambo yako mengi kwenda sawa, pale utakapokutana na changamoto yoyote.
Badilikeni, maisha si sasa tu, bali kuna kesho pia.