chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,039
- 3,084
kuna watu wanafanya umri wa kuzaliwa kama ni mashindano, na pale wanapogundua wao ni wakubwa wanafarijika na wanajisifia sana vitu vitokanavyo na ukubwa wao
watu wa namna hii huwa wananifikirisha na ninaiona hii kama changamoto ya afya ya akili kwasababu kimsingi umri wa kuzaliwa unaonyesha tu kutangulia kuzaliwa napia kama ulitangulia kuzaliwa utatangulia na kuzeeka na hamna kitu special zaidi
watu wa namna hii huwa wananifikirisha na ninaiona hii kama changamoto ya afya ya akili kwasababu kimsingi umri wa kuzaliwa unaonyesha tu kutangulia kuzaliwa napia kama ulitangulia kuzaliwa utatangulia na kuzeeka na hamna kitu special zaidi