wanaojua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Waziri Mkuu Majaliwa, ukistaajabu ya Arusha wanaojua ya Tanga wanakushangaa

    Huko jijini Arusha waziri mkuu Kasim Majaliwa amewasimamisha kazi baadhi ya watumishi wapishe uchunguzi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi. Baadhi ya tuhuma hizo zilizoelekezwa kwa mkurugenzi na timu yake ni kugawana fedha za umma na kuingizia fedha hizo kwenye akaunti binafsi za watumishi...
  2. nasrimgambo

    Sensa na Idadi ya wanaojua Kiingereza nchini Tanzania

    Sensa inakuja hivi karibuni, Moja kati ya takwimu ninazotaka kusikia ni takwimu za lugha. Je, Watanzania wangapi wanaweza kuongea lugha za asili? Je, Watanzania wangapi waliopo wana zungumza Kiswahili kama lugha ya pili? Yani si lugha waliyoanza kuongea kama lugha yao ya kwanza. Je...
Back
Top Bottom