wananchi

This article lists political parties in Tanzania. The country operates under a dominant multi-party system with the ruling party being in power since the nation attained its independence in 1961. It first governed as the Tanganyika African National Union, before merging with the Afro-Shirazi Party to form the Chama Cha Mapinduzi.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    Jaji Mkuu, mahakama za Moshi Arusha zinatesa sana wananchi kwenye kesi za mirathi

    Mh. Jaji Mkuu, Kwanza nikupongeze sana sana sana kwa kuchaguliwa kuwa Jaji wetu Mkuu wa Tanzania. Wakati huu unaingia, tunakumbuka kuwa Jaji wetu mstaafu alikuwa akisisitiza sana sana haki na utawala bora. Mungu ambariki. Pamoja na haya, wapo baadhi ya mahakimu wanaosumbua sana wananchi, hasa...
  2. Just Pray

    POTOSHI Wananchi wakichimba barabara ni kutoka maandamano ya Kenya 2025

  3. Mkalukungone Mwamba

    Padri Kitima: Kwa sasa Viongozi hawawasikilizi tena Wananchi wanapolalamika na kuwapuuza

    Padri Kitima Kwa sasa Viongozi wapo juu ya wananchi, Hawawasikilizi tena Wananchi wanalalamika lakini wanawapuuza kama sisi wanavyotuuza, sasa hicho kiti kizuri kwa sababu unapowanyanganya watu madaraka ya kutawala nchi yao unajenga obwe la uwajibikaji na hapo hapo tujahakikisha unadumu madarakani.
  4. Dkt. Gwajima D

    Maswali mtihani ya baadhi ya Wananchi

    Swali la baadhi ya wananchi; Mhe. Waziri GwajimaD, hivi hawa wasaidizi wako hawana msaada hadi useme sisi tukuletee matatizo ya nchi nzima wewe? JIBU: wasaidizi wangu wana msaada mkubwa na wanafanya kazi kubwa sana na kilichotakiwa ni iwapo hamjapata huduma kwao basi, mje rufaa ya malalamiko...
  5. DodomaTZ

    Wananchi Kata ya Nyakasasa wasema wamefurahia maboresho ya Barabara yaliyofanywa na Shigongo

    Wananchi mbalimbali wa Kitongoji cha Mtukura - Iriba, Kijiji cha Isenyi, Kata ya Nyakasasa wakielezea jinsi maboresho ya miundombinu yalivyokuwa na faida kwao kwa kuwa ni changamoto ambayo imekuwa ikiwasumbua kwa muda mrefu. Barabara hizo zinaendelea kufunguliwa kwa kutumia mitambo ya Mbunge wa...
  6. Waufukweni

    GE2025 Polisi wamefika kwa ajili ya kutawanya Wananchi waliofunga barabara Kata ya Terati, jijini Arusha

    Wananchi wa Kata ya Terati, jijini Arusha, leo Julai 6 wamefunga barabara ya Mapambazuko wakipinga uteuzi wa mgombea udiwani wa CCM, Julias Lenina, ambaye amemaliza muda wake, lakini jina lake limeteuliwa tena kuwa miongoni mwa watakaopitishwa kuwania nafasi hiyo. Wakieleza sababu za hatua...
  7. R

    GE2025 Wadau watoa onyo wananchi kujiepusha na rushwa kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Wakati joto la maandalizi ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 likizidi kupanda, wananchi wametakiwa kuchukua nafasi ya kipekee katika mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa, wakihimizwa kuepuka ushawishi wa fedha na zawadi zinazolenga kununua dhamira zao za kisiasa. Wito huo...
  8. Superbug

    Bunge la samwel SITA na la Tulia Akson je lipi lilikuwa bunge la wananchi?

    Tufanye tathmini ya bunge la Kasi na viwango la comrade samwel SITA na hili ambalo binafsi sijui lilisimamia nini maana wananchi walitekwa wakauwawa na Bado spika akazuia bunge kuiuliza serikali je lipi lilikuwa bunge Bora?
  9. Wizara ya Ardhi

    Wananchi waridhishwa na huduma za wizara ya ardhi sabasaba

    Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) wameonesha kuridhishwa na huduma zinazotolewa na wizara hiyo. Wakizungumza katika banda la Wizara ya Ardhi tarehe 4 Julai 2025 katika maonesho hayo...
  10. Escrowseal1

    Wananchi tupatiwe majibu shule inayoezuliwa Kwa ajili ya mwekezaji mmoja.

    Sasa tupo mahala si salama kama shule inaweza kufutwa kwa ajili ya mwekezaji. Inaanza kuwa new normal . Years back mwekezaji binafsi alijipa jukumu la kufanya tathmini ya nyumba za watu binafsi vingunguti jijini ,Lukuvi akiwa ardhi chini ya magufuli zoezi lilifutwa na baada ya awamu hiyo...
  11. Dennis Robert Shughuru

    Director of Public Prosecution (DPP) anatakiwa kuchaguliwa na wananchi

    Hili swala nilitaka kuliongelea mda mrefu sana hasa kwenye swala la mbunge wa babati alichomfanyia kijakazi wake nikaghairi Ila siku za karibuni nimeona mijadala mingi kuhusu Director of Public Prosecution yafutayo ni maoni yangu juu ya nafasi ya DPP Awe anachaguliwa na wananchi Atakuwa chini...
  12. JanguKamaJangu

    KERO Responded Wananchi Kawe: Ujenzi wa Kanisa la Mwamposa umetusababishia kukosa Maji na kufungiwa barabara

    Baadhi ya wakazi wanaoishi karibu na eneo linalodaiwa kujengwa Kanisa la Arise and Shine (Kawe), linaloongozwa na Apostle Boniface Mwamposa, wameeleza malalamiko yao kuhusu athari zinazodaiwa kusababishwa na ujenzi huo. Wakizungumza Julai 1, 2025, Saa tatu asubuhi mbele ya Mkuu wa Wilaya ya...
  13. Braza Kede

    Jamani mtutoe wasiwasi maana tunaambiwa yule ngamia wa semaji ameshaliwa na wananchi

    Wakuu hili lina ukweli au ni porojo tu? mnatutia wasiwasi wanachama na wapenzi.. Kama ni kweli semaji atapanda nini sherehe ijayo? mbwa, fisi au? Je yanga hawawezi kuchukuliwa hatua kwenye hili wakuu maana yule tayari alikuwa alama yetu wekundu? Je kama ni kweli je kanuni hazijakiukwa kweli hapo?
  14. Carlos The Jackal

    Nchi hailindwi Kwa Bunduki ,inalindwa Kwa UMOJA na Mshikamano wa Wananchi kupitia Haki ! Wairan wameishinda Israel na Marekan si Kwa Uwezo wa kijeshi!

    Uwekezaji Mkubwa a Kijasusi alouwekeza Israel nchini Irani, ulifikia Hatua ya kudhani Operation ya Kumuua Kiongozi wa Iran, Ayatollah, na kuwaua Wakuu wa MAJESHI nchini Iran haraharaka kungepelekea Taharuki ambayo ingewainua Wairan na kuwafanya waingize Barabaran na kupindua Serikali yao kama...
  15. figganigga

    Polisi Mbeya saidia, Wananchi wanataka kuanza kuchota mafuta na kuiba Betri

    Hii ajali iimetokea pipeline Mbeya. Sababu kubwa ni barabara ni nyembamba.. Sasa wananchi washaanza kusogea na madumu
  16. Dr Adam Francis

    Ukomo wa Ubunge; wananchi walisema nini kwenye rasimu ya Warioba?

    Moja ya hoja zilizopendekezwa na wananchi katika rasimu ya Katiba mpya ya Tume ya Warioba ilikuwa ni kuweka ukomo wa vipindi vya mtu kuwa mbunge. Mapendekezo yalisema ukomo uwe vipindi vitatu, hata hivyo, Rais Kikwete na bunge la katiba waliikataa hoja hiyo. Kama ilivyo duniani kote, utumishi...
  17. Magufuli 05

    Nimeiangalia Kenya kilichotokea jana. Serikali yetu msipuuze wananchi kamwe

    Kamwe msipuuze Wananchi. Wananchi wakipuuzwa na wakakasirika hugeuka kuwa wanyama tena zaidi ya wanyama wa mwituni. Msidhani kwamba yanayotokea Kenya hayatakuja hapa. Kenya ni karibu na Tanzania. Binadamu ni kiumbe kinachoiga. Mambo haya huanza kama moto ndani ya pori na kusambaza...
  18. MK254

    Wananchi wa Iran waanza kuhoji aliko Ayatollah, atoke mafichoni, Israel imeacha kupiga

    Wanashangaa mbona mzee bado amejificha, kulikoni, Israel ilishafanikisha malengo, vinu vya nyuklia vimesambaratishwa.............. Two days after a ceasefire between Israel and Iran came into effect, Iranians are growing concerned over the well-being of Ayatollah Ali Khamenei, The New York...
  19. Genius Man

    Polisi wa Kenya wachezea kipigo na kuzidiwa na wananchi nchini Kenya je matukio haya yanaweza kuwa na matokeo chanya ya mabadiliko ?

    Polisi wa Kenya wachezea kipigo na kuzidiwa na wananchi nchini Kenya je matukio haya yanaweza kuwa na matokeo chanya ya mabadiliko ? Je, matukio haya yanaweza kukomesha uonevu wa mamlaka kwa wananchi ? je, matukio haya yanaweza kukomesha mauwaji ya raia yanayofanywa na polisi ? je, matukio...
  20. Dennis Robert Shughuru

    Ukweli mchungu- Viongozi waliokuwa madarani minaona acha waendelee sababu wananchi hai wanataka nini japokuwa sikubaliani na mambo mengi wanayoyafanya

    MIMI NIMETANGAZA NIA YA KUWA RAIS WA TANZANIA NI UKWELI WATU WANAHAKI YA KUNIPINGA ILA NASHANGAA SANA WATU HAO HAO UNAWAKUTA WANALALAMIKA KWENYE NYUZI NYINGINE Kuna watu kibao hawamsupport Rais Samia na ccm cha ajabu wanakuambia makonda anafaa, wengine dotto biteko, wengine makamba, wengine...
Back
Top Bottom