Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi
Dar es Salaam. Siku mbili baada ya mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodamus Maganga kusema mshahara na posho za mbunge hazitoshi, watu wa kada mbalimbali wamemjia juu.
Wakitoa maoni yao katika mtandao wa kijamii wa Instagram wa...