Hapa nina mawazo/maoni juu ya fedha iliyochangwa na wapenda haki na demokrasia ya kweli ili ninyi muwe huru kupigania demokrasia.
PESA HIYO IWE KWENYE MOJA YA;
1. Kujenga ofisi ya kisasa makao Makuu(CHADEMA HQ)
2. Uwepo mpango wa kujenga Chuo kukuza taaluma ya demokrasia ya chama ikiwa nisehemu ya kumbukumbu ya upambanaji
(CHUO CHA DEMOKRASIA MAENDELEO)
3. Zifunguliwe akaunt za kanda zote, fedha igawanywe kwenye kanda na wanachama wachangie kwenye mfuko huo.
NB! Ramani za majengo ya ofisi za kanda ziwe aina moja
Kwakuwa Intelijensia inaonesha kutambua HAKI/DEMOKRASIA nchini kwa sasa;
Kila kanda iunde kamati ndogo ya harambee mbalimbali nchini kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za kanda.
HAYO NI MAONI YANGU,
Maoni yako je?
PESA HIYO IWE KWENYE MOJA YA;
1. Kujenga ofisi ya kisasa makao Makuu(CHADEMA HQ)
2. Uwepo mpango wa kujenga Chuo kukuza taaluma ya demokrasia ya chama ikiwa nisehemu ya kumbukumbu ya upambanaji
(CHUO CHA DEMOKRASIA MAENDELEO)
3. Zifunguliwe akaunt za kanda zote, fedha igawanywe kwenye kanda na wanachama wachangie kwenye mfuko huo.
NB! Ramani za majengo ya ofisi za kanda ziwe aina moja
Kwakuwa Intelijensia inaonesha kutambua HAKI/DEMOKRASIA nchini kwa sasa;
Kila kanda iunde kamati ndogo ya harambee mbalimbali nchini kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za kanda.
HAYO NI MAONI YANGU,
Maoni yako je?