Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,115
- 35,123
Kumezuka mjadala kuhusu mishahara ya Wabunge na Posho zake, ambapo wabunge wanalalamika kuwa wanalipwa pesa kidogo na huku wananchi wakilalamika kuwa kodi zao zinachezewa bure ili kuwalipa wabunge mishahara mikubwa na posho zisizokuwa na kichwa wala mkia.
Sasa ili kukata mzizi wa fitina, ni wakati sasa wa wananchi wa jimbo husika kuamua mbunge wao na diwani wao walipwe mshahara na posho kiasi gani.
Bungeni pabakie kuwa mahali pa kujadili mambo mengine muhimu ya kitaifa, na kamwe pasiwe mahali pa kwenda kuvuna mishahara na posho.
Sasa ili kukata mzizi wa fitina, ni wakati sasa wa wananchi wa jimbo husika kuamua mbunge wao na diwani wao walipwe mshahara na posho kiasi gani.
Bungeni pabakie kuwa mahali pa kujadili mambo mengine muhimu ya kitaifa, na kamwe pasiwe mahali pa kwenda kuvuna mishahara na posho.