Wiki iliyopita, kuna jirani yangu mwanaye alipata ajaliya pikipiki, Yule kijana aliumia si saana.
Alienda hospital ya wilaya, akatibiwa na kupewa dawa, Usiku wa siku hiyo akiwa nyumbani amelala, alihisi maumivu makali sana, akaamua kumeza Diclopar nne na panaldo mbili ili kutuliza maumivu.
Alipomeza zile dawa kwa nia ya kutuliza maumivu, zile dawa zilimzidia ikabidi akimbizwe hospital kwa matibabu zaidi, hata hivyo hakuweza kulazwa pale wilayani, akapewa lufaa Mhimbili.
Alifika Hospital ya Mhimbili akapewa kitanda siku hiyo, alipewa dawa kiasi na kupewa vipimo vidogovidogo, na baada ya usiku huo mmoja, asubuhi yake muda wa saa tatu asubuhi, akafariki yule kijana
Basi taratibu za ndugu kuutoa mwili wa Marehemu hapo hospitali zikaanza, Na kwa sababu hiyo, ikabidi sasa waletewe zile bili za matibabu.
Walichokishangaa ni kuona bili ya Laki sita, na waliambiwa, bila ya kulipa hizo gharama, maiti haitatoka hapo, ndugu wakajichangisha hukuhuku na huku wakapata laki nne.
bado walikataliwa, mmoja wa wanandugu akajitolea dhamana ya leseni yake ya udreva akaiacha Mhimbili
Mimi kilichonishangaza ni kwba, Bili ya laki sita ilitoka wapi, wakati ndugu wa marehemu wanasema, kwanza mtu wao hakuoata huduma ambazo zingeweza kufikisha bili kubwa kama hiyo kwa siku moja,
lakini pia, msinamo wa Raisi wetu, ni pale mtu anapofariki, Asilipishwe pesa isipokuwa kuwepo utaratibu mwingine
Licha ya agizo la mh Raisi, hakuna kinachotekelezwa na wasaidizi wake
Ni wakati umefika kiukweli bila kupepesa macho, CCM itoke madarakani, kwani inakandamiza watu, Inafanya wizi na ufisadi wa fedha za walipa kodi bila kuwajibishwa hayo majizi, lakini haitoshi, wananchi wanapohitaji huduma ambazo kiukweli zimechangiwa na nguvu za wananchi kupitia kodi mbalimbali, cha ajabu wanapohitaji hizo huduma, wanakwenda kuibiwa tena kwa kile kidogo walichonacho
CCM, hapana
Alienda hospital ya wilaya, akatibiwa na kupewa dawa, Usiku wa siku hiyo akiwa nyumbani amelala, alihisi maumivu makali sana, akaamua kumeza Diclopar nne na panaldo mbili ili kutuliza maumivu.
Alipomeza zile dawa kwa nia ya kutuliza maumivu, zile dawa zilimzidia ikabidi akimbizwe hospital kwa matibabu zaidi, hata hivyo hakuweza kulazwa pale wilayani, akapewa lufaa Mhimbili.
Alifika Hospital ya Mhimbili akapewa kitanda siku hiyo, alipewa dawa kiasi na kupewa vipimo vidogovidogo, na baada ya usiku huo mmoja, asubuhi yake muda wa saa tatu asubuhi, akafariki yule kijana
Basi taratibu za ndugu kuutoa mwili wa Marehemu hapo hospitali zikaanza, Na kwa sababu hiyo, ikabidi sasa waletewe zile bili za matibabu.
Walichokishangaa ni kuona bili ya Laki sita, na waliambiwa, bila ya kulipa hizo gharama, maiti haitatoka hapo, ndugu wakajichangisha hukuhuku na huku wakapata laki nne.
bado walikataliwa, mmoja wa wanandugu akajitolea dhamana ya leseni yake ya udreva akaiacha Mhimbili
Mimi kilichonishangaza ni kwba, Bili ya laki sita ilitoka wapi, wakati ndugu wa marehemu wanasema, kwanza mtu wao hakuoata huduma ambazo zingeweza kufikisha bili kubwa kama hiyo kwa siku moja,
lakini pia, msinamo wa Raisi wetu, ni pale mtu anapofariki, Asilipishwe pesa isipokuwa kuwepo utaratibu mwingine
Licha ya agizo la mh Raisi, hakuna kinachotekelezwa na wasaidizi wake
Ni wakati umefika kiukweli bila kupepesa macho, CCM itoke madarakani, kwani inakandamiza watu, Inafanya wizi na ufisadi wa fedha za walipa kodi bila kuwajibishwa hayo majizi, lakini haitoshi, wananchi wanapohitaji huduma ambazo kiukweli zimechangiwa na nguvu za wananchi kupitia kodi mbalimbali, cha ajabu wanapohitaji hizo huduma, wanakwenda kuibiwa tena kwa kile kidogo walichonacho
CCM, hapana