kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Nimeona mabishano yanayoendelea Kati ya Kigogo na Polepole, ukisoma ujumbe wa Polepole ni dhahiri anafurahia kitendo cha ndugu zetu kupoteza maisha, kuparalize na wengine kupoteza kabisa dira baada ya serikali ya Magufuli kuvunja nyumba za wananchi kupisha upanuzi wa barabara ya Kimara to Kibaha.
Kejeli anayoonyesha polepole Kama Mbunge inaoonyesha namna ambavyo anaamini kwenye vitu kuliko kuamini kwenye utu. Uhai wa wananchi kwake si kitu, maradhi siyo kitu Bali anachoamini yeye ni barabara.
Niwaombe viongozi wa aina hii ambao wameshiba Kodi zetu na wanatumia rasilimali za nchi wajifunze kuwaheshimu walipa kodi. Tunatambua anaringa na kukejele kwa sababu tu amebahatika kukalia V8, najua kiburi chake kipo kwa maslahi makubwa anayolipwa na umma ila akumbuke kila Jambo lina mwisho.
Watanzania tupo na tutazidi kuwepo ila atapita Kama walivyopita wengine wenye roho ya kikatili Kama yake. Akifa mzazi wangu kwa presha ukaona Kama siyo mzazi wako na kwamba mzazi wako ana haki yakuishi zaidi ya wangu ipo siku hata wakwako ataondoka si kwa kubomolewa nyumba Bali kwa sababu nyingine tu iliyopangwa.
Kejeli anayoonyesha polepole Kama Mbunge inaoonyesha namna ambavyo anaamini kwenye vitu kuliko kuamini kwenye utu. Uhai wa wananchi kwake si kitu, maradhi siyo kitu Bali anachoamini yeye ni barabara.
Niwaombe viongozi wa aina hii ambao wameshiba Kodi zetu na wanatumia rasilimali za nchi wajifunze kuwaheshimu walipa kodi. Tunatambua anaringa na kukejele kwa sababu tu amebahatika kukalia V8, najua kiburi chake kipo kwa maslahi makubwa anayolipwa na umma ila akumbuke kila Jambo lina mwisho.
Watanzania tupo na tutazidi kuwepo ila atapita Kama walivyopita wengine wenye roho ya kikatili Kama yake. Akifa mzazi wangu kwa presha ukaona Kama siyo mzazi wako na kwamba mzazi wako ana haki yakuishi zaidi ya wangu ipo siku hata wakwako ataondoka si kwa kubomolewa nyumba Bali kwa sababu nyingine tu iliyopangwa.