Mpaka siku mtakapotambua mnadeal na Watanzania wa aina gan, ndipo mtaanza kuhusisha Midomo na Ubongo kabla ya kuongea.
Bahati mbaya na Kwa masikitiko makubwa, Hamna Tena Mudaa.
Jiandae tena Dec 9 .
Tukianza na wale wa 2007 wa Kenya mpaka wakina Ojwang na sasa tuna wabongo walioingia kwenye mkumbuko, wote wameshasahaulika, wote waliokua wanawasukuma kuandamana tupo nao bado huku online wakina Tindo wanapangusa kreti vibaya mno
Sasa ewe Mtanzania si mnaona kabisa wanaowashawishi ndo...
Hivi majuzi Kuna limbukeni mmoja wa elimu duuniya aliibuka na kuzua taharuki aliposema atakata waandamanaji vichwa D9.
Nataka kujua kama huyo tahira anaewatukanisha ndugu zangu Waislamu na mtume Mohammed katika kristo kama amekwisha tiwa nguvuni.
Kama bado nitahamasisha kukamatwa kwake mara moja!!
Kitendo cha waandamanaji kuimba na kutaka yaliyotokea Madagascar yatokee hapa Tanzania. Ndio risasi zikawa zinamiminwa hovyo!
Hii imenitia hofu. Maana habari za wengi waliofariki sidhani kama walikuwa kwenye maandamano. Mfano yule mwandishi wa Clouds media.
Sote tunajua kwamba, Askari wa Tanganyika ni yale mazezeta sugu yaliyoshindikana shuleni yakabebwa na kupelekwa depo.
Askari wa aina hii ukimpa Amri ya kuua lazima umsimamie kwa karibu sana na umuelekeze kinagaubaga maana ya Amri hiyo.
Ninaamini wengi wao (askari) hawakuelewa nini...
Kuna usemi uliozoeleka na wengi ya kwamba damu ya mtu haiendi bure,
Ukiitizama Kwa makini utagundua Kuna namna fulani mama amepatwa na mfadhaiko Kwa yaliotokea,ameshaanza kutoa kauli zakujichanganya.
Huyu ndiye amiri jeshi mkuu,kama kauli yeke tu kwa DPP imetosha kuachiliwa huru Kwa vijana...
Kuna majitu yanasema waandamanaji wamefanya vurugu kuchoma masheli maduka magari eti kisa wivu Sasa najiuliza kama wivu mbona hawa matajiri mo na Bakhresa hawajachomewa vitu vyao inakuaje nyie choka mbaya wenye viduka vya nguo na vya simu muchomewe na hao mafisadi wachomewe ujue mnatatizo...
video zilizothibitishwa na #NationForensicUnit ya nation zimethibitisha maeneo kamili ambako vikosi vya usalama vya Tanzania, wakiwemo baadhi waliovaa nguo za kiraia, walitumia nguvu kupita kiasi na kuwaua waandamanaji kwa makusudi katika Arusha na Dar es Salaam. (Picha zenye maudhui ya kushtua...
KIZAZI KISICHOKUWA NA KESHO: BOMU LINALOTIKISA TANZANIA KIMYA KIMYA
Na Mjumbe wa Nafsi za Watu
Kuna maneno ambayo yamekuwa kama wimbo wa taifa usio rasmi kila mara panapotokea vurugu:
“Hawa vijana wanaharibu! Wanachoma mali za umma! Hawana akili wala heshima!”
Lakini labda, kabla hatujatupa...
Jugular ni kaeneo kwenye shingo kwenye koromeo. Ukipigana na mtu akakutusua vizuri hiyo sehemu, lazima usalimu amri, kama sio, urudi kwa Mungu baba.
Falsafa ya kupiga Jugular huwa inatumiwa pia vitani, kwa kushambulia maeneo muhimu kama: uwanja wa ndege, depot za mafuta, madaraja ya...
WAANDAMANAJI WAKATA KIDOLE CHA RAIA ALIYEPIGA KURA😭
Ni uchungu mkubwa kuona raia anakatwa kidole kwa kosa la kutimiza wajibu wake wa kikatiba — kupiga kura. Kosa lake ni lipi? Ni kutumia haki yake ya kidemokrasia. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) inasema wazi:
Hivyo...
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers
Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka halali za nchi, kwa sisi Wakrsto tunafundishwa kumpa Mungu...
Tunaomba kuwaondolea sifa ya kuajiliwa waandamaji wote waliobainika kuleta vurugu tarehe 29/10/2025.
Hivyo basi utumishi chukueni orodha za waandamanaji kutoka Polisi then zitunzeni kwenye data zenu ili wote walioshawishi/ KUSHIRIKI wizi na uharibifu wa miundombinu na Mali za watu binafsi na...
Nilidhani Mafwele atatolewa kafara kama kuwahadaa watanzania na waandamanaji wanaomuona Mafwele kama muuaji hata kwa kumuweka ubalozini au chini ya kapeti.
Na madelu licha kuchomewa mabasi yake kuashiria watanzania hawamtaki atarudishwa.
Bila kusahau Samia ataendelea kupiga picha na Angela...
Kuna mpuuzi mmoja nimekutana nae anasema eti waandamanaji walianza kupigwa risasi sababu ya wizi. Kama ni hivyo basi majizi yote yalioko serikalini nayo yapigwe risasi hadi nyumbani kwao tena mbele ya familia zao.
Ukitumia logic hio yaani kama mtu kuharibu mwendokasi kumefanya apigwe risasi je...
Nikinukuu maneno ya Rais, kuwa "vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote"
Niongezee kwa lugha ya sasa, kwa wivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.