waandamanaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Mwigulu anasema Wale Wauaji wengine walikua hawajui Kiswahili, Tume yao ije iseme Wauaji walijipenyeza from Kenya

    Mpaka siku mtakapotambua mnadeal na Watanzania wa aina gan, ndipo mtaanza kuhusisha Midomo na Ubongo kabla ya kuongea. Bahati mbaya na Kwa masikitiko makubwa, Hamna Tena Mudaa. Jiandae tena Dec 9 .
  2. Its Tesha

    Msigwa: Tumejipanga kiusalama Desemba 9

    Serikali imesema imejipanga kuhakikisha wananchi wanakuwa salama Desemba 09, 2025.
  3. stakehigh

    PostGE2025 Niwakumbushe tu, wale waliojikuta waandamanaji sana, sasa hivi wameshasahaulika, sasa na wewe jikute una mapenzi sana kuandamana

    Tukianza na wale wa 2007 wa Kenya mpaka wakina Ojwang na sasa tuna wabongo walioingia kwenye mkumbuko, wote wameshasahaulika, wote waliokua wanawasukuma kuandamana tupo nao bado huku online wakina Tindo wanapangusa kreti vibaya mno Sasa ewe Mtanzania si mnaona kabisa wanaowashawishi ndo...
  4. mwehu ndama

    PostGE2025 Je aliyesema atawakata vichwa waandamanaji amekwisha kamatwa?

    Hivi majuzi Kuna limbukeni mmoja wa elimu duuniya aliibuka na kuzua taharuki aliposema atakata waandamanaji vichwa D9. Nataka kujua kama huyo tahira anaewatukanisha ndugu zangu Waislamu na mtume Mohammed katika kristo kama amekwisha tiwa nguvuni. Kama bado nitahamasisha kukamatwa kwake mara moja!!
  5. SSH2025_2030

    Upigaji Risasi Waandamanaji ulifanana nchi nzima (Kichwa, Makalio& Tumbo)

    Ni kama wapigaji walienda kozi moja. Ukikosa ya kichwa utaambulia ya makalio au tumboni. RIP
  6. Genius Man

    PostGE2025 Mashekhe waliotoa kauli za kutaka kuchinja waandamanaji wamechukuliwa hatua gani ?

    Mashekhe ubwabwa waliotoa kauli za kutaka kuchinja waandamanaji wamechukuliwa hatua gani ? Hakuna uwajibikaji tukutane tarehe #D9 tutawawajibisha wenyewe
  7. Nyankurungu2020

    Kumbe vijana waandamanaji walipoimba tunataka iwe kama Madagascar ndio watu wakapigwa risasi ovyo!

    Kitendo cha waandamanaji kuimba na kutaka yaliyotokea Madagascar yatokee hapa Tanzania. Ndio risasi zikawa zinamiminwa hovyo! Hii imenitia hofu. Maana habari za wengi waliofariki sidhani kama walikuwa kwenye maandamano. Mfano yule mwandishi wa Clouds media.
  8. BICHWA KOMWE -

    PreGE2025 Amri ya kuua ya waandamanaji na udhaifu wa kiakili wa askari kuitekeleza

    Sote tunajua kwamba, Askari wa Tanganyika ni yale mazezeta sugu yaliyoshindikana shuleni yakabebwa na kupelekwa depo. Askari wa aina hii ukimpa Amri ya kuua lazima umsimamie kwa karibu sana na umuelekeze kinagaubaga maana ya Amri hiyo. Ninaamini wengi wao (askari) hawakuelewa nini...
  9. gimmy's

    Inashangaza kuona mkuu anaomboleza vifo vya waandamanaji waliouawa na polisi kwa amri yake mwenyewe

    Kuna usemi uliozoeleka na wengi ya kwamba damu ya mtu haiendi bure, Ukiitizama Kwa makini utagundua Kuna namna fulani mama amepatwa na mfadhaiko Kwa yaliotokea,ameshaanza kutoa kauli zakujichanganya. Huyu ndiye amiri jeshi mkuu,kama kauli yeke tu kwa DPP imetosha kuachiliwa huru Kwa vijana...
  10. Scared

    Kuna watu wanasema waandamanaji Wana wivu na matajiri, mbona Mo Dewij na Bakhresa hawajachomewa vitu vyao?

    Kuna majitu yanasema waandamanaji wamefanya vurugu kuchoma masheli maduka magari eti kisa wivu Sasa najiuliza kama wivu mbona hawa matajiri mo na Bakhresa hawajachomewa vitu vyao inakuaje nyie choka mbaya wenye viduka vya nguo na vya simu muchomewe na hao mafisadi wachomewe ujue mnatatizo...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 Video zilizothibitishwa na NationForensicUnit zaonyesha polisi wakitumia nguvu kuwaua waandamanaji kwa makusudi Arusha na Dar

    video zilizothibitishwa na #NationForensicUnit ya nation zimethibitisha maeneo kamili ambako vikosi vya usalama vya Tanzania, wakiwemo baadhi waliovaa nguo za kiraia, walitumia nguvu kupita kiasi na kuwaua waandamanaji kwa makusudi katika Arusha na Dar es Salaam. (Picha zenye maudhui ya kushtua...
  12. Rorscharch

    ‎Wanaolalamikia "waandamanaji" kuchoma Mali binafsi na za umma hawajajisumbua kuelewa Gen Z ya Tanzania ikoje

    KIZAZI KISICHOKUWA NA KESHO: BOMU LINALOTIKISA TANZANIA KIMYA KIMYA Na Mjumbe wa Nafsi za Watu Kuna maneno ambayo yamekuwa kama wimbo wa taifa usio rasmi kila mara panapotokea vurugu: “Hawa vijana wanaharibu! Wanachoma mali za umma! Hawana akili wala heshima!” Lakini labda, kabla hatujatupa...
  13. Mikopo Consultant

    PostGE2025 Hit the Jugular: Je, waandamanaji waliipata wapi hii mbinu ya kijeshi?

    Jugular ni kaeneo kwenye shingo kwenye koromeo. Ukipigana na mtu akakutusua vizuri hiyo sehemu, lazima usalimu amri, kama sio, urudi kwa Mungu baba. Falsafa ya kupiga Jugular huwa inatumiwa pia vitani, kwa kushambulia maeneo muhimu kama: uwanja wa ndege, depot za mafuta, madaraja ya...
  14. stakehigh

    Rais Ruto asema hatajutia agizo la kupiga risasi waandamanaji

    https://m.youtube.com/watch?v=PTqDwq2Afgs
  15. Ojuolegbha

    PostGE2025 Waandamanaji wakata kidole cha raia aliyepiga kura Oktoba 29

    WAANDAMANAJI WAKATA KIDOLE CHA RAIA ALIYEPIGA KURA😭 Ni uchungu mkubwa kuona raia anakatwa kidole kwa kosa la kutimiza wajibu wake wa kikatiba — kupiga kura. Kosa lake ni lipi? Ni kutumia haki yake ya kidemokrasia. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) inasema wazi: Hivyo...
  16. Pascal Mayalla

    Ili Haki Itendeke, Sio Tuu Itendeke, Bali ni Lazima Ionekane Imetendeka!, Kama Tumewashitaki Waandamanaji, Pia Tuwashitaki na Wauaji!

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka halali za nchi, kwa sisi Wakrsto tunafundishwa kumpa Mungu...
  17. Kimbesa11

    Chukueni orodha ya waandamanaji wote ili wasiwe na sifa ya kuajiriwa na kuwa Watumishi wa umma

    Tunaomba kuwaondolea sifa ya kuajiliwa waandamaji wote waliobainika kuleta vurugu tarehe 29/10/2025. Hivyo basi utumishi chukueni orodha za waandamanaji kutoka Polisi then zitunzeni kwenye data zenu ili wote walioshawishi/ KUSHIRIKI wizi na uharibifu wa miundombinu na Mali za watu binafsi na...
  18. love life live life

    Nilifikiri Mafwele atachukuliwa hatua kuwapumbaza waandamanaji, kumbe Samia wala hajali

    Nilidhani Mafwele atatolewa kafara kama kuwahadaa watanzania na waandamanaji wanaomuona Mafwele kama muuaji hata kwa kumuweka ubalozini au chini ya kapeti. Na madelu licha kuchomewa mabasi yake kuashiria watanzania hawamtaki atarudishwa. Bila kusahau Samia ataendelea kupiga picha na Angela...
  19. Teslarati

    Kama mnadai kwamba waandamanaji walianza wizi na uharibifu wa mali ndio wakapigwa risasi basi mafisadi wote nao tuwapige risasi hadi kwao

    Kuna mpuuzi mmoja nimekutana nae anasema eti waandamanaji walianza kupigwa risasi sababu ya wizi. Kama ni hivyo basi majizi yote yalioko serikalini nayo yapigwe risasi hadi nyumbani kwao tena mbele ya familia zao. Ukitumia logic hio yaani kama mtu kuharibu mwendokasi kumefanya apigwe risasi je...
  20. Raia Fulani

    Kati ya watawala na wale waandamanaji ni nani mwenye mapenzi na Tanzania?

    Nikinukuu maneno ya Rais, kuwa "vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote" Niongezee kwa lugha ya sasa, kwa wivu...
Back
Top Bottom