Hoja za polisi za kushtumiwa kwa mauwaji na kuja na majibu ya waandamanaji sio watanzania sasa ni wa nchi gani je sheria zetu zinataka wauliwe?
Sijasikia nchi yoyote ikilalamika raia wake 1000 wameuliwa Tanzania inamaana hao wasio watanzania ni wa taifa gani ? waulizeni vizuri hao mapolisi...
Haya yalikuwa ni mauaji ya makusudi kabisa, Hakuna nchi yeyote duniani ambapo polisi hutumia risasi na bunduki wanapokuwa wanakabiliana na waandamanaji. Wengi wa waandamanaji mara nyingi ni raia wa kawaida tena wasio na mafunzo kabisa ya kijeshi unawezaje kutumia bunduki dhidi yao?
Katika...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29.
Akizungumza na kituo cha televisheni cha Al-Jazeera siku ya Ijumaa, Waziri Kombo amesema hadi sasa hakuna...
Arusha: Waandamanaji wamevamia na kukiharibu kituo cha majumuisho ya Matokeo ya Mkoa huo.
Madai ya waandamnaji hao ni kuwa Matokeo ya uchaguzi yafutwe, Nchi ipate KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Iunder Tume huru ya Uchaguzi na uwepo Utawala wa Haki.
Wananchi hao wanasindikizwa na...
Mwaka huu huwenda ukawa ni mwaka mgumu sana kutekeleza haki zetu za kikatiba za mwananchi kwenda kupiga kura
Nchi nzima imetaharuki, sijawahi kuona wanajeshi na majeshi mengine kufanya mazoezi kama ilivyo sasa tena tu ni kwa ajili ya uchaguzi
Ukweli ni kuwa, magwanda ya wenzetu hawa...
Inawezekana nikaonekana nauliza swali la kijinga lakini litakua na athari kubwa sana hiyo siku ya uchaguzi.
Kila anaetoka barabarani Hana alama kwamba anakwenda kupiga kura au kuandamana. Bado sijajua mamlaka hasa vyombo vya Ulinzi vitatumia mbinu gani kuepuka huu mchanganyiko.
Tusishangae...
Amani iwe nanyi
Asante sana
Itakuwa rahisi sana kukamatwa na kupigishwa kura kama tutakutana kwenye vituo vya kupigia kura
Tukutane tu barabarani wengine mitaan kwetu tushajipanga tiari tuna subiri mda tu tukiwashe
Naona sasa tunaanza kuangashana bado mapema
LONDON BOY
Rais wa Marekani amewajibu waandamanaji wa Hakuna Wafalme Marekani kwa kuposti video akiwa ndani ya ndege akiwanyea mavi waandamanaji waliokuwa katika maandamano hayo.
Halula! Yadunia yanachosha.. wewe darasa la saba, yule mwingine forum four faliya. Wadhani kuunga maandamano ndio mishahara utaongezwa sio! Hata ungekuja utawala wa Mansa au yule sultan bado ungepokea kidogo pengine kufurushwa kabisa. Na bado!
Kila siku nawaambia humu, Hawa washenzi Chochote wanachoweza kukipanga ni rahisi kukisia nini itakua mwitikio wako.
Hawana intellectual Capacity ya kudeal na masuala mazuri mazito.
Utendaji wao wa kazi unategemea
-Nguvu
-Pesa
-Na kuchomeshwa kama ilivyokúa Kwa Polepole
Polepole Amekua...
Hivi ndivyo zaidi ya waandamanaji 100,000 wanaounga mkono Palestina walivyojaa mitaa ya Berlin jana Septemba 27, wakilaani uungaji mkono wa Ujerumani kwa vita vinavyoendelea vya Israel dhidi ya Gaza na kutaka kusitishwa mara moja kwa mauzo ya silaha na kuungwa mkono na jeshi.
==============...
Septemba 20, 2025 Waandamanaji wanaopigania demokrasia kutoka Eswatini walikusanyika nje ya Ubalozi wa Marekani jijini Pretoria wakipinga vikali taarifa za makubaliano kati ya serikali ya Marekani na utawala wa kifalme wa Eswatini. Mkataba huo unadaiwa kuruhusu wahamiaji waliorudishwa kurejeshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.