waandamanaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Genius Man

    Hoja za polisi za kushtumiwa kwa mauwaji ya raia 1000 na kuja na majibu ya waandamanaji sio watanzania hayana mashiko

    Hoja za polisi za kushtumiwa kwa mauwaji na kuja na majibu ya waandamanaji sio watanzania sasa ni wa nchi gani je sheria zetu zinataka wauliwe? Sijasikia nchi yoyote ikilalamika raia wake 1000 wameuliwa Tanzania inamaana hao wasio watanzania ni wa taifa gani ? waulizeni vizuri hao mapolisi...
  2. Abraham Lincolnn

    Hivi unawezaje kutumia risasi za moto dhidi ya waandamanaji?

    Haya yalikuwa ni mauaji ya makusudi kabisa, Hakuna nchi yeyote duniani ambapo polisi hutumia risasi na bunduki wanapokuwa wanakabiliana na waandamanaji. Wengi wa waandamanaji mara nyingi ni raia wa kawaida tena wasio na mafunzo kabisa ya kijeshi unawezaje kutumia bunduki dhidi yao? Katika...
  3. M

    GE2025 Thabit Kombo: Mpaka sasa hakuna matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29. Akizungumza na kituo cha televisheni cha Al-Jazeera siku ya Ijumaa, Waziri Kombo amesema hadi sasa hakuna...
  4. M

    Day 3: Magari ya CCM, nyumba ya mgombea udiwani vyachomwa moto na waandamanaji jijini Mwanza

    Hali jijini Mwanza leo Oktoba 31 imeonekana hivi:
  5. M

    Day 3: Wananchi Arusha wakichoma kituo kikuu cha majumuisho ya kura

  6. M

    Day 3: Waandamanaji Arusha wavamia kituo cha majumuisho ya kura

    Arusha: Waandamanaji wamevamia na kukiharibu kituo cha majumuisho ya Matokeo ya Mkoa huo. Madai ya waandamnaji hao ni kuwa Matokeo ya uchaguzi yafutwe, Nchi ipate KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Iunder Tume huru ya Uchaguzi na uwepo Utawala wa Haki. Wananchi hao wanasindikizwa na...
  7. M

    Dar es Salaam: Waandamanaji ‘waisalimia’ TCRA. Hii inaenda kubaya zaidi

    Mwanzo nilichukulia wanatania. Wanaonekana kudhamiria
  8. M

    Dar: Jinsi Kituo cha Polisi pale Ubungo External kilichochomwa na waandamanaji

    Haya ni matokeo ya maandamano yaliyoendelea usiku wa kuamkia leo
  9. M

    Arusha: Kituo cha Polisi cha Olorieni chateketezwa kwa moto na waandamanaji

    Kituo cha Polisi cha Olorieni kimeteketezwa kwa moto na waandanaji usiku huu
  10. DonDonald

    GE2025 Waandamanaji wachoma moto yard ya magari ya mabasi ya Esther

    Yard ya magari ya Mabasi ya Esther Luxury imechomwa moto na waandamanaji Inasemekana mabasi yote yaliyokuwepo hapo yamechomwa moto
  11. Mchalinze

    Wanachofanya waandamanaji ni kuligombanisha jeshi la wananchi na askari

    Kuna video nimeiona waandamanaji wapo nyumba ya gari la jeshi huku kwa mbele askari wakiwatupia mabomu ya machozi waandamanaji
  12. M

    GE2025 Kufanyike nini wapiga kura tutoke? Hayo mazoezi ya majeshi yanatutisha, waandamanaji nao vilevile!

    Mwaka huu huwenda ukawa ni mwaka mgumu sana kutekeleza haki zetu za kikatiba za mwananchi kwenda kupiga kura Nchi nzima imetaharuki, sijawahi kuona wanajeshi na majeshi mengine kufanya mazoezi kama ilivyo sasa tena tu ni kwa ajili ya uchaguzi Ukweli ni kuwa, magwanda ya wenzetu hawa...
  13. Carlos The Jackal

    Yoyote anayefaham Mali /biashara za genge la Hawa Watekaji/Wauaji aweke hapa Taarifa . Waandamanaji wanashinda nazo!!

    Walidhani tunafanya Mzaha!. Hii sio Tanzania mloizoea.
  14. Sir John Deere

    GE2025 Tarehe 29 inawezekana wakakamatwa wanaokwenda kupiga kura badala ya waandamanaji

    Inawezekana nikaonekana nauliza swali la kijinga lakini litakua na athari kubwa sana hiyo siku ya uchaguzi. Kila anaetoka barabarani Hana alama kwamba anakwenda kupiga kura au kuandamana. Bado sijajua mamlaka hasa vyombo vya Ulinzi vitatumia mbinu gani kuepuka huu mchanganyiko. Tusishangae...
  15. Beira Boy

    GE2025 Idea ya waandamanaji kukutana kwenye vituo vya kupigia kura si nzuri itatugharim sisi waandamaji, tukutane barabara kuu uelekeo uwe ni Ikulu

    Amani iwe nanyi Asante sana Itakuwa rahisi sana kukamatwa na kupigishwa kura kama tutakutana kwenye vituo vya kupigia kura Tukutane tu barabarani wengine mitaan kwetu tushajipanga tiari tuna subiri mda tu tukiwashe Naona sasa tunaanza kuangashana bado mapema LONDON BOY
  16. Yoda

    Trump aposti video clip akiwanyea waandamanaji vichwani

    Rais wa Marekani amewajibu waandamanaji wa Hakuna Wafalme Marekani kwa kuposti video akiwa ndani ya ndege akiwanyea mavi waandamanaji waliokuwa katika maandamano hayo.
  17. October 2pm

    Kwamba jeshi likiwaunga waandamanaji ndio mishahara yao au cheo kitapanda? Wee form four utabaki na cheo hikoko abadan

    Halula! Yadunia yanachosha.. wewe darasa la saba, yule mwingine forum four faliya. Wadhani kuunga maandamano ndio mishahara utaongezwa sio! Hata ungekuja utawala wa Mansa au yule sultan bado ungepokea kidogo pengine kufurushwa kabisa. Na bado!
  18. Carlos The Jackal

    Maandalizi yamekamilika 100%, kuendelea Kuteka Mapdre wa KATOLIKI, kumteka Polepole ni kuzidisha Hasira za Waandamanaji Oktoba 29

    Kila siku nawaambia humu, Hawa washenzi Chochote wanachoweza kukipanga ni rahisi kukisia nini itakua mwitikio wako. Hawana intellectual Capacity ya kudeal na masuala mazuri mazito. Utendaji wao wa kazi unategemea -Nguvu -Pesa -Na kuchomeshwa kama ilivyokúa Kwa Polepole Polepole Amekua...
  19. Mafyangula

    Zaidi ya waandamanaji 100,000 waandamana kuiunga mkono Palestina

    Hivi ndivyo zaidi ya waandamanaji 100,000 wanaounga mkono Palestina walivyojaa mitaa ya Berlin jana Septemba 27, wakilaani uungaji mkono wa Ujerumani kwa vita vinavyoendelea vya Israel dhidi ya Gaza na kutaka kusitishwa mara moja kwa mauzo ya silaha na kuungwa mkono na jeshi. ==============...
  20. R

    Waandamanaji Eswatini Wapinga Mkataba wa Marekani na Mfalme Mswati III kurejesha wahamiaji

    Septemba 20, 2025 Waandamanaji wanaopigania demokrasia kutoka Eswatini walikusanyika nje ya Ubalozi wa Marekani jijini Pretoria wakipinga vikali taarifa za makubaliano kati ya serikali ya Marekani na utawala wa kifalme wa Eswatini. Mkataba huo unadaiwa kuruhusu wahamiaji waliorudishwa kurejeshwa...
Back
Top Bottom