johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,560
- 141,377
Namtakia kila la kheri mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli
Nawatakia kila la kheri makamu mwenyekiti mzee Mangula, Katibu mkuu Dr Bashiru na sekretarieti yote
Namtakia kila la kheri kada mkongwe na asiyechoka Mzee Mgaya
Nawatakia kila la kheri wanaccm wote
Mwisho lakini siyo kwa umuhimu nawatakia kila la kheri wapinzani wote kwa kuiunga mkono CCM na hasa Mzee Shibuda, mzee Cheyo, Prof Lipumba, KUB Mbowe, Mzee Mrema na James Mbatia
Mungu ibariki Tanzania na uibariki pia CCM!
Amen!
Nawatakia kila la kheri makamu mwenyekiti mzee Mangula, Katibu mkuu Dr Bashiru na sekretarieti yote
Namtakia kila la kheri kada mkongwe na asiyechoka Mzee Mgaya
Nawatakia kila la kheri wanaccm wote
Mwisho lakini siyo kwa umuhimu nawatakia kila la kheri wapinzani wote kwa kuiunga mkono CCM na hasa Mzee Shibuda, mzee Cheyo, Prof Lipumba, KUB Mbowe, Mzee Mrema na James Mbatia
Mungu ibariki Tanzania na uibariki pia CCM!
Amen!