Afisa kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama ameeleza kuwa iwapo vyama vinataka kuunda ushirikiano vinapaswa kufanya hivyo kwa kufuata utaratibu wa vikao rasmi na sio utashi wa viongozi.
Ameainisha kuwa muda wa kufanya coallition ni miezi mitatu kabla ya kuanza kwa mchakato wa uchaguzi.
Tuwe tunasoma...
UMUHIMU WA USHIRIKIANO WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2020.
Maaskofu katika DR Congo walitoa mchango mkubwa sana katika kuifanya ya DRC kuwa na utulivu kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu. Ushiriki wao katika kuyaunganisha makundi au vyama ndani ya DRC hauwezi kusahaulika...
Mapokezi ya Tundu Lisu popote pale duniani usinge weza kuyaficha kwani Lissu si kushangaza umma bali tendo lile la kushambuliwa na watu wasiojulikana na kupigwa risasi 16 lilikuwa baya na lakulaaniwa na watu wote
Je, ilikuwa sahihi kufanya maandamano wakati Mwili wa hayati Rais mstaafu...
Wanabodi.
Nawashauri Chadema kwamba:
Andaeni ajenda msiandae wagombea. Wagombea wakipatikana kupitia michakato mliojiwekea watembee katika ajenda zenu kuu kulingana na jinsi nchi ilivyo kwa sasa. Msifanye wagombea kua ajenda hamta pata kura.
Hamuwezi kupata kura nyingi katika mazingira ya...
Kinachofaa kwa Vyama vya Siasa vya Upinzani-Tanzania.
MUUNGANO wa MABADILIKO ya FIKIRA (MUMAFI).
Don Nalimison, Mwanamziki, Mtetezi wa Haki za Binadamu na Mshauri wa Maswala ya Kiusalama Duniani leo nakuja kuunda Umoja utakaowapa Ushindi wa Kishindo Uchaguzi Mkuu 2020 kwa vya Kisiasa hasa...
Mifano ni mingi lakini chukulia chukulia mifano ya hivi vyama na inchi husika hapa chini .
1. CPDM cha Cameroon
2. CCM cha Tanzania
3. ZANUPF cha Zimbabwe
4. Frelimo cha msumbiji
5. PDG huko garbon
Utagundua kwamba inchi zote tajwa hapo juu serikali zao zinaongozwa na vyama kongwe vilivyopokea...
Hivi wakuu hizi sare za kiume za hivi vyama ni nani aliwachagulia.
Yaani mkizivaa haziwapendezi hata kidogo yaani.
Mlishindwa kuchagua rangi nzuri ya sare kwaajili ya wanachama wenu.
Hivi hamwoni aibu kuvaa masale kama ya hayo.
Sii bora mngeshona sare hata zinazofanana na jezi za chelse au...
Chama Cha Wakulima (AAFP) kimewataka wagombea waliokosa nafasi za ubunge na udiwani kwenye vyama vingine vya Siasa kijitokeza kuchukua fomu kupitia chama hicho kwani bado wanazo nafasi nyingi zilizo wazi
Chama hicho pia kimemteua Seif Maalim Seif kuwa mgombea urais kwa Jamhuri ya Muungano wa...
Naomba nianze na salamu wana jukwaa la siasa. Hapa jamvini jamii Forum.
Kutokana na kipindi tulichopo(kuelekea uchaguzi mkuu 2020) kumekuwa na majina mengi ya wagombea nafasi ya urais hasa kupitia upinzani ambako ndiko jicho la ushindani wa kupewa nafasi lipo huko (CCM alipita bila kupingwa)...
Wakati akiwapongeza NEC kwa kubana matumizi na kuokoa takribani sh bilioni 12 katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Rais Magufuli " alichomekea" kwamba hata wagombea urais wa upinzani wanaweza kuamua kumuunga mkono yeye ili kuokoa kodi za wananchi.
Mbatia, Prof. Lipumba na Mzee Cheyo walitabasamu na...
Kutokana na ukweli usiofichika ndani ya nchi ya Tanzania kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni miongoni mwa Chama Kikubwa cha Siasa na pia ndio Chama kilichoshika madaraka mpaka sasa na ambacho kinatabiriwa kwa asilimia kubwa kuendelea kushika madaraka na kuunda Serikali kwa mara nyingine tena...
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu linazidi kupamba moto wasanii nao hawakubaki nyuma kuignia kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kuwawakilisha wananchi kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Miongoni mwa waliojitokeza ni pamoja na:
1. Webiro Wassira maarufu kama Wakazi
Huyu ni mwimbaji wa...
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana siasa za zitto na chama chake cha ACT tangia mwaka 2018.
Nimejiridhisha pasina shaka yoyote yakuwa, siasa za zzk siyo zile siasa alizokuwa akizifanya akiwa chadema na baada ya kuanzisha chama.
Zzk alipoanzisha chama cha ACT alipata wakati mgumu kupata...
Zitto John Mnyika CHADEMA ACT Wazalendo
You guys know what I mean am sure, but we are here to swing the whip so that you stay up and walk the talk.
Haijalishi mamlaka husika itayafanyia kazi mawasilisho yenu ama la.
Just bloody do it!
Na msiwe reactive - yaani msisubiri hadi ninyi mpigwe...
Mwaka 2020 asilimia 95 ya wapinzani hasa wa Chadema na ACT wanajua kuwa hawatapata nafasi za Ubunge na Udiwani. WANAJUA KABISA HILI PASINA SHAKA.
Ni hawa hawa wapinzani wanaosema kuwa TUME YA UCHAGUZI SI HURU. Sasa swali linakuja wanaenda shiriki uchaguzi wakitegemea nini? Kuwa utatokea muujiza...
Rais Magufuli akijibu swali la Sojo, MNEC kutoka Songwe aliyesema kwamba ametumwa na wanasongwe kuwasemea kuwa wanasononeka pale ambapo wapinzani wanapohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kuwaacha wanachama ambao walikipigania chama kufa na kupona 2010-2015, wanavunjika moyo wanapoona...
Ni wazi Dunia imebadilika sana hasa katika nyanja ya Sayansi na Teknolojia katika Karne ya 21 hii nilitegemea kuona Vyama vya Siasa vitoa Fomu kwa njia ya Mtandao ( Online ) kama vile ambavyo Wanafunzi huomba nafasi za kujiunga na Vyuo Mbalimbali lakini cha kushangaza hakuna hata Chama kimoja...
Imekuwa kawaida sasa ama ni tabia, kanuni au ni utamaduni ulioota mizizi hapa nchini kwenye siasa zetu kuwa CCM inapofika kwenye kipindi kama hiki cha uchaguzi ndio huwa ya kwanza kupitisha wagombea wao huku vyama pinzani bado kukiwa sintofahamu ya nani atapitishwa
Mfano tumeona CCM ikimpitisha...
Kwa vyovyote vile itakuwa, kwa mazingira yeyote yale yatakuwa, ni muhimu na lazima Vyama makini vya Upinzani kuweka Mgombea mmoja wa Urais wa Muungano, Urais wa Zanzibar, Kila Jimbo la Uchaguzi la Ubunge na Uwakilishi na kila Kata ya Udiwani. Nimezunguka Vijijini, CCM INANG’OKEKA-Zitto Kabwe on...
Wana JF.
Kwa kuwa vyama vyote vilisinyaa na kukosa bashasha na kuweka siasa pembeni ili kupisha Magufuri afanye kazi yake ya kuleta maendeleo.
Vyama vyote viliitikia ingawaje kunavingine vilikuwa haviafiki na kuishia kuwa na migogoro na police. Wengine walifikia hatua ya kufungwa na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.