Kero yangu ni walichotufanyia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (Tanzania Airports Authority – TAA) vijana 40 kutoka JKT 2024 OP Mabeyo, walituchukua tukiwa vikosini wakatupeleka kama Maafisa Usalama wa Viwanja vya Ndege, Airport Security Officer (AVSEC) bila kuomba nafasi hiyo, wakatushawishi kuwa...
Anonymous (f714)
Thread
ajira
changamoto
haki
jkt
madeni
mamlaka
muda mrefu
ndege
vijana
viwanjaviwanja vya ndege
Kwa wale ambao bado wanahitaji maeneo kwa ajili ya kujenga makazi,karibu sana kwa mara nyingine.Viwanja vipo Kisesa Mikoroshoni.Kutoka Lami barabara ya Mwanza-Musoma ni shilingi 1000/= tu kwa pikipiki mpaka viwanja vilipo.
Bei ya kiwanja ni 1,700,000/= mpaka 2,000,000/= kutegemea na ukubwa wa...
Nimefuatilia mechi kadhaa hasa msimu huu2025/26 na msimu uliopita wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara, kumekuwa na ongezeko la mechi zinazochezwa usiku ili kuruhusu urushaji wa moja kwa moja kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na wadhamini na watangazaji.
Lengo...
Tunauza viwanja ni viwanja vizuri sana vipo kigamboni kibugumo 15kwa20 bei milioni 18, mita 15kwa15 milioni 15na mita 14kwa13 milioni12. Kwa mawasiliano 0659962452;
Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyapatia ufumbuzi malalamiko ya muda mrefu ya viwanja mbadala kwa wananchi wa jiji la Dodoma.
Suluhisho hilo linafuatia malalamiko ya takriban wananchi 4000 wa jiji la Dodoma wanaodai viwanja na halmashauri ya jiji la Dodoma...
Viwanja Viwili Vinauzwa.
Mahali: Kigamboni Tundwi Songani.
-Vipo km 20 kutoka Kibada, Mita 200 kutoka barabara kuu.
-Kiwanja namba 509,510 vyote kwa pamoja vinauzwa.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1378 na SQM 1449.
Bei: Tzs Milioni 35 (Vyote Viwili). Mazungumzo yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama...
Tanzania
Benjamin Mkapa Stadium (Dar es Salaam)
Ujazo: 60,000
Gharama: $90M (Initial Construction), $12M (Renovations)
Maendeleo: Renovations finalizing
Vyanzo: IPP Media (https://www.ippmedia.com/the-guardian/business/read/special-report-2024-05-23-185807), Wakala wa Majengo Tanzania – Paul...
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi tuombe mkopo.
Tanzania ni mwenyeji wa AFCON 2027, kiwanja tunachokitegemea ni Benjamin Mkapa nacho...
Baadhi ya wananchi wamevamia eneo la bonde la Buyuni Kata ya Buyuni wilayani Ilala- Dar es Salaam na kupima viwanja kinyume na utaratibu.
Eneo hilo lipo ndani ya Mradi wa Viwanja 20,000 Buyuni. Ni bonde linalotenganisha mtaa wa Serikali Buyuni na Kigezi na ni bonde ambalo lipo nyuma ya Zahanati...
Viwanja vinauzwa
Location Madale njia ya msumi.
Mita 200 kutoka kwenye viwanja hadi barabara kuu ya Madale.
Kila kimoja ni milion 65
Viwanja vipo Vinne unaweza kuunganisha zadi ya viwili au kununua vyote Kwa pamoja.
Viwanja Vina ukubwa wa sqm 800
Vimepimwa ni kwenda kufatilia hati miliki yaani...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Viwanja Viwili Vinauzwa.
Mahali: Kigamboni Tundwi Songani.
-Vipo km 20 kutoka Kibada, Mita 200 kutoka barabara kuu.
-Kiwanja namba 509,510 vyote kwa pamoja vinauzwa.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1378 na SQM 1449.
Bei: Tzs Milioni 35 (Vyote Viwili). Mazungumzo yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama...
Tunaomba mtusaidie kutupazia sauti.
Tuliajiriwa mwezi wa sita 2025 Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA) lakini mpaka leo hii hela za kujikimu walipewa watu nusu tu mwaka jana mwezi Oktoba wengine nusu tuliobaki wakatuambia watatupa mwezi wa Novemba mwaka jana lakini mpaka sasa bado...
Anonymous
Thread
kujikimu
mamlaka
mpya
ndege
pesa
pesa za kujikimu
taa
tanzania
viwanjaviwanja vya ndege
viwanja vya ndege tanzania
Wana-JF,
Mnamo Agosti mwaka huu, Serikali kupitia Wizara ya Ardhi ilitangaza fursa kubwa kwa wakazi wa Arusha na Watanzania kwa ujumla. Tulitangaziwa uuzaji wa viwanja katika eneo la Olmoti/Oloresho, eneo ambalo limezunguka uwanja mpya wa kisasa wa Samia Suluhu Stadium.
Lengo lilikuwa ni...
Nipigie kama unataka kununua hivi viwanja hapa MWANZA.
DETAILS:
MKOA : MWANZA
WILAYA : MISUNGWI
ENEO : USAGARA
KIWANJA NAMBA : 171 na 173
VIMEPIMWA : NDIO ANGALIA PICHA
BEI : NAMBA 171 NI MILLIONI 20
NAMBA 173 NI MILLIONI 20
BEI INAPUNGUA PIA
UKIJA NA MAZUNGUMZO...
Ofa ya Viwanja Kibaha Kwa Mathias Kidenge B
Vipo vya umbali wa km 4-kutoka kituo cha Mathias Lami
Vipo vya Km km 6-Kutoka lami
Nipazuri sana na huduma zote za kijamii zimefika
Bei Ukubwa kuanzia:
*million 2 ukubwa 16×13
*Milion 2.5 ukubwa 15×16
*Milion 3 ukubwa 15x19
*Milion...
Habari Tanzania !
Sasa leo nataka kuwauliza hivi hakuna uwezekano wa kupata Viwanja vya kutosha; endapo tukifunika hiyo Bahari ya Hindi pale Kigamboni na Kurasini maana naona kama hilo eneo halina kazi alafu pia tunaweza kupata Eneo kubwa la nchi kavu vijana wakapata maeno ya kufanya Makazi...
Leo nilikuwa naangalia mfumo wa leseni (Tausi Portal) nikaona section ya Land Sale, wame list Halmashauri zenye miradi ya kuuza Viwanja kwa matumizi mbalimbali mfano Biashara, Makazi pia Biashara na Makazi.
Issue yangu kama wameweza kutangaza katika mfumo kwa nini wasiruhusu pia mtu kufile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.