vitisho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa Yanga kutoingiza timu waanza,Simba Sc punguzeni vitisho

    Hapa ni msemaji wa Yanga akitest mitambo kuona mwitikio. Mengi zaidi yatajiri hivi karibuni. Nawaomba Simba Sc wenzangu hasa Haji Manara na fans wa mitandaoni wapunguze vitisho kwa Yanga. Ni vile tu Yanga hawawezi kusema tunatishwa na Manara. Wanaandika kwenda dokezo TFF wakidai Simba...
  2. G Sam

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uchaguzi mdogo Muhambwe: Dkt. Florence Samizi ashinda kwa kishindo

    Zilikuwa ni kauli za kipuuzi kwa muda wake wa kipuuzi. Tunamshukuru Mungu zimekoma kabisa kabisa. Mungu akikupa mamlaka usiyatumie kama fimbo kwa kuwa unao uwezo wa kuyatumia kama fimbo na ukapata unachotaka. Tunamshukuru aliyekomesha kauli hii na za aina yake. Narudia tena "Mungu ni mwema"...
  3. D

    JamiiForums Tanzania TARURA mnaonea kwa vitisho

    Naomba sana Rais wangu Mama Samia kupiga marufuku ya hii kamatakama ya hawa Tarura unapopaki pembeni ya barabara ama kwa dharura umewasha double hazard lakini bado wanakuja kukamata ni kikubwa huwa wanachukuwa rushwa tu. Hawa jamaa wa Tarura hutembea kwenye Noah na wengine bajaji wanatengeneza...
Back
Top Bottom