Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,549
- 6,102
Unaukumbuka msemo wake mmoja? Weka hapa tuone. Na kama unamfahamu na bado upo kwenu kwa baba na mama mpaka leo kaka/dada unazingua.
Nakakumbuka na kale kaufunguo alikokua anakachezea chezea
Huku akisema adhabu yake ni kifungo cha miaka 5 au faini ya milioni 1 au vyote kwa pamoja
Hahaha eti kulipa fidia, jela au vyote. Walishindwa kusema viboko tu.
Nakumbuka na kale kaufunguo alikokua anakachezea
Huku akisema adhabu yake ni kifungo cha miaka 5 au faini ya milioni 1 au vyote kwa pamoja
Mkuu, ushasahau mara hii!?😀😀 Ni 'Steps, one step ahead every day' Kwa lisauti flani lizito hivi.Mzee wa steps entertainment. 'Steps, one step foawrd'
Hivi Sunrise hotel bado ipo ?Mzee wa steps entertainment. 'Steps, one step foawrd'
where fun never set 😀😀Hivi Sunrise hotel bado ipo ?
IpoHivi Sunrise hotel bado ipo ?
Adhabu yake yawezakua...,....!