Mzee wa Vitisho alitutisha sana kabla ya kuanza kuangalia Bongo Movie

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,549
6,102
Unaukumbuka msemo wake mmoja? Weka hapa tuone. Na kama unamfahamu na bado upo kwenu kwa baba na mama mpaka leo kaka/dada unazingua.


FB_IMG_1623246900156.jpg

 
Sikumbuki vizuri ila nahisi ilikua ni kuhusu kutokununua pirated movies au music VHS.
 
Nakumbuka na kale kaufunguo alikokua anakachezea

Huku akisema adhabu yake ni kifungo cha miaka 5 au faini ya milioni 1 au vyote kwa pamoja

Enzi hizo ukisikia milioni MOJA inaitwa 'shitabalwa' (isiyohesabika).
 
hahha jamaa nakumbuka ndie akienifanya nipate mwanga wa sheria nilipokua shule ya msingi enzi hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom