vatican

Vatican City ( (listen)), officially the Vatican City State (Italian: Stato della Città del Vaticano; Latin: Status Civitatis Vaticanae), is an independent city-state, microstate and enclave within Rome, Italy. Also known as The Vatican, the state became independent from Italy in 1929 with the Lateran Treaty, and it is a distinct territory under "full ownership, exclusive dominion, and sovereign authority and jurisdiction" of the Holy See, itself a sovereign entity of international law, which maintains the city state's temporal, diplomatic, and spiritual independence. With an area of 49 hectares (121 acres) and a 2019 population of about 453, it is the smallest state in the world both by area and population. As governed by the Holy See, Vatican City State is an ecclesiastical or sacerdotal-monarchical state ruled by the Pope who is the bishop of Rome and head of the Catholic Church. The highest state functionaries are all Catholic clergy of various origins. After the Avignon Papacy (1309–1377) the popes have mainly resided at the Apostolic Palace within what is now Vatican City, although at times residing instead in the Quirinal Palace in Rome or elsewhere. The Vatican is also a metonym for the Holy See.
The Holy See dates back to Early Christianity and is the principal episcopal see of the Catholic Church, which has approximately 1.329 billion baptized Catholics in the world as of 2018 in the Latin Church and 23 Eastern Catholic Churches. The independent state of Vatican City, on the other hand, came into existence on 11 February 1929 by the Lateran Treaty between the Holy See and Italy, which spoke of it as a new creation, not as a vestige of the much larger Papal States (756–1870), which had previously encompassed much of central Italy.
Vatican City contains religious and cultural sites such as St. Peter's Basilica, the Sistine Chapel, and the Vatican Museums. They feature some of the world's most famous paintings and sculptures. The unique economy of Vatican City is supported financially by donations from the faithful, by the sale of postage stamps and souvenirs, fees for admission to museums, and sales of publications. Vatican City has no taxes and items are duty-free.

View More On Wikipedia.org
  1. Valencia_UPV

    Mna uhakika Vatican hawawezi kutupa Mkopo?

    Pamoja na pongezi kwa Baba Mtakatifu Leo XIV. Narudia tena kuuliza. Mna uhakika hawa Vatican hawawezi kutukopesha?
  2. R

    Mmeanzisha Vita na Vatican

    Hapa mlipofika ni pabaya. Mmeanzisha vita na Vatican, kanisa na wakatoliki na madhehebu ya kikristu na waislamu wenye napenzi mema na nchi
  3. Q

    Kanisa Katoliki sio sawa na CHADEMA, kulishambulia ni kuishambulia Vatican

    Siasa za Tanzania ziishie Tanzania zisivuke mipaka. Chuki za serikali kwa Chadema zisiliingize Kanisa. Kanisa ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa nchini, kiwe CCM au CHADEMA kimuundo, kiuchumi, kiuwezo, idadi ya wanachama. Lipo dunia nzima. Ili Kanisa lijiendeshe duniani kiufasaha...
  4. and 998 others

    Marais A/Kusini, Namibia, Zambia Botswana hawakuhudhuria mazishi ya Papa Vatican. Tuna la kujifunza?

    1. Marais kadhaa wa wanachama wa SADC (Botswana, Zambia, Namibia , Afrika Kusini) wapo bize nchini mwao wakipambania wananchi wao wawe na maisha Bora. 2. Badala ya kwenda kuteketeza mamilioni kwa safari ambazo hata Balozi zao waliopo Rome wangeweza kuwakilisha.
  5. Ojuolegbha

    Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Misa ya Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francisko. Dkt. Mpango katika maadhimisho ya...
  6. M

    Vatican ni nchi ya ajabu sana duniani. Inatakiwa iingizwe E Guinness World Records

    Hii Vatican ni nchi? Mfumo wake wa upigaji kura uko vipi? Yaani raia wake wanapiga kura kumchagua Rais Kwa mfano Iran kuna Rais ambae ni kiongozi anaechaguliwa na raia wa Iran. Kuna Ayatollah Ali Khamenei, hachaguliwi kwa kura za wananchi moja kwa moja, bali huchaguliwa na chombo kinachoitwa...
  7. jamaikatz

    Jua haya kuhusu Vatican

    Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican. Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic ambapo mkuu wa kanisani hilo ni Papa. Pale Italia wana pesa yao, ila haitumiki ukiingia Vatican. Kule Vatican wana pesa yao na unaweza kuitumia hata Italia. Rais wa...
  8. Ojuolegbha

    Waziri Kombo asaini Kitabu cha Maombelezo Ubalozi wa Vatican Nchini

    Waziri Kombo asaini Kitabu cha Maombelezo Ubalozi wa Vatican Nchini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesaini kitabu cha maombelezo katika Ofisi za Ubalozi wa Vatican nchini zilizopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha Kiongozi...
  9. figganigga

    John Heche afika Ubalozi wa Vatican kutoa pole kufuatia kifo cha Papa Francisko

    Makamu Mwenyekiti Bara John Heche leo tarehe 23/4/2025 amefika Ubalozi wa Vatican nchini kusaini kitabu cha maombolezo kufuatilia kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko. Heche amepokelewa na, Askofu Mkuu Angelo Accattino, Balozi wa Vatican nchini.
  10. Alvin_255

    The Vatican Conclave: The Death of a Pope and the Election of His Successor as One of the World's Biggest Intelligence Operations

    A popular saying in Vatican circles is that if you “enter a conclave as pope, you leave as a cardinal.” It implies the sacred and secretive process is no popularity contest or campaign, but rather the divinely inspired election of Christ’s Vicar on Earth by the princes of the church. Still...
  11. Valencia_UPV

    Tetesi: Protase Kardinali Rugambwa atajwa kumrithi Papa Francis

    Protase Kardinali Rugambwa tayari ametua Vatican kwa ajili ya mchakato wa Papa Mpya. Anatajwa kumrithi Papa Francis. Tunamuombea apeperushe Bendera ya Tanzania Kimataifa. **Huu ni mwaka wetu Watanganyika [Janabi na punde Rugambwa] **** Kagera tujipange kwa kuunda kamati ya Maandalizi iliyojaa...
  12. M

    Maaskofu wote watasafiri kuelekea Vatican?

    Je Maaskofu wa majimbo yote watasafiri kuelekea Vatican? Vipi huduma za kiaskofu majimboni wakati huo?? Naomba msaada kwa anayefahamu
  13. Yoda

    Vatican ni mfupa mgumu, wamekataa kusalimu amri kwa Wakomunisti wa China kwa miaka zaidi ya 70 sasa

    Mpaka leo hii China bara hakuna uwakilishi wa rasmi wa Kanisa Katoliki la Roma, shughuli zao zinafanywa na "underground church" ambalo ni kanisa la mafichoni na lisilotambuliwa na serikali ya China. Kanisa Katoliki la Taiwan ndili linalotambulika rasmi kama kanisa la China japo serikali ya...
  14. and 998 others

    Ubalozi wa Vatican TZ upo wapi? Nahitaji kusaini kitabu cha maombolezo

    Mwenye kujua Ubalozi wa Vatican ulipo ili nikasaini kitabu cha maombolezo hapo ubalozini. Regards, Mlei, Kigango cha Mtakatifu Kizito, Majimatitu.
  15. ELI COHEN

    Hivi kwanini Waafrika wengi hatuja evolve katika kutafuta refreshment kirahisi kwa kusoma vitabu, walking therapy, MDT, etc bali ni mitungi na mikasi

    Au labda sio asili yetu? Au labda basi tunachukulia poa? Au basi tu utamaduni huu haujakuwa channeled katika jamii zetu? Simaanishi kuwa wazungu hawapigi mitungi na mikasi, ila wengi wao wame evolve kuburudisha nafsi na mwili kwa kufanya utalii, meditation, vitabu vya furaha, beach walking etc...
  16. Yerusalemu30

    The Red Shoes and Vatican: Behind the Scene.

    I heard a conspiracy about existence of Zatharon within Vatican in a Secret chamber where few can witness it. The Red Shoes have connection with that being. Who can tell us exactly some deep information about this.
  17. Valencia_UPV

    Vatican city ndio home

    Karibuni Vatican city ndio home 🏠 Maandalizi tayari bado tangazo tu
  18. GENTAMYCINE

    Wakatoliki wenzagu tumeshaanza kuyaandaa Machozi, kwani Mimi sipendi Unafiki na Kufichaficha nadhani Israeli hatomuacha Mtu huko Vatican

    Kama Ulaya ndiko kuna Kila Kitu cha Kumzuia Israeli asikibonyeze Kitufe, ila wameshindwa je, kuna sababu ya Kufichana?
  19. Sir John Deere

    Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

    Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua. Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
Back
Top Bottom