Mna uhakika Vatican hawawezi kutupa Mkopo?

Mna uhakika Vatican hawawezi kutupa Mkopo?

TANZANIA WALEVI AWARDS May 30.
Mgeni rasmi atakuwa mama Samia.

Go1AooyWkAAXLJB.jpeg
 
Pamoja na pongezi kwa Baba Mtakatifu Leo XIV. Narudia tena kuuliza.mna uhakika hawa Vatican hawawezi kutukopesha?
Hawajawahi kuacha kutawala Dunia, now a days, they rule and dominate the world indirectly. Wana nguvu hata kwenye masuala ya uchumi. Hata mikopo husika kwa nchi za Afrika ina baraka zao.
 
VIONGOZI wao wakina dr kitima mnawabamiza halafu mnaenda kuomba msaada...
Umaskini mbaya sana!
 
Pamoja na pongezi kwa Baba Mtakatifu Leo XIV. Narudia tena kuuliza.mna uhakika hawa Vatican hawawezi kutukopesha?
Duuh hamna aibu kabisa!
Yaani padre wao mmempiga nusu kufa Bado mnataka mkopeshwe!🙄🙄
Mkija kupewa V&M ama kuulizwa maswali kuhusu HAKI mtaanza kulalamika mnalazimishiwa ushoga!
 
Back
Top Bottom