Wakuu habari zenu.
Hii ni saa nane kama kasoro dakika 10 usiku, Nimehstuka usingizini,Nimeshtuswa na makelele ya NGOMA .yaani ni kama kakikundi cha watu.
wanapita na wanaongea na wanapiga hiyo NGOMA.
Hiyo ngoma inakelele sijawahi sikiia.Ni kama wanapiga debe hivi.
Baada ya...