Miaka kama mi 4 nyuma kuna mpangaji wetu alitembelewa na mdogo wake kutoka Singida, nikatokea kumpenda sanaa huyo mdogo wake, nikamtongoza akakubali akamwambia na dada yake nae akasema fresh tu.
Kwenye kumla sasa yule dada alikua ana roho ngumu sana kwa jinsi Mama alivyokua mkali na demu wangu...
Salaam wakuu,
Je, ulishawahi kupoteza kitu cha muhimu sana wakati ulipokuwa unakihitaji sana?
Mimi ilinitokea 2013, nilisafiri kwa mara ya kwanza kwenda Mwanza, nilikuwa na mwenyeji wangu aliyekuwa ananisubiria, yeye alikuwa eneo linaloitwa Magu.
Tuliwasiliana hadi nafika nyegezi, huku...
Huyo ni.mdudu hatari sana, anaitwa Nyigu.
kwa maumivu yake hata Nyuki anasubiri
Mara ya kwanza kukutana nae alinipa Komwe la muda mfupi na maumivu ya hatari😅😅
nikimuona naanza safari ya kujihami mapema sana
vipi kwako, tupe stori..
Habari watu wa taifa tukufu linalotetewa na timu ya Simba pekee kimataifa kila mwaka!
Basi katika medali ya muziki hapa nchini na duniani kwaujumla ulishawahi kutokea kuupenda wimbo flani ulioimbwa nawasanii wawili au zaidi lakini hapohapo ukatamani wimbo huo ingependaza zaidi kama angeimba...
Habarini wana jamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nikilog in wanataka niverify kama akaunt ni ya kwangu, kwa hio wanatuma verification code kwenye namba ambayo nishaipotezaga
Na hamna option nyingine ya kupata hizo code.
Msaada kwa anae fahamu jinsi ya kusolve hilo🙏🏽
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.