usa

  1. Mpwayungu Village

    Mnatumia njia gani kupata visa ya USA na CANADA?

    Maana sielew, nimeomba zaidi ya mara mbili kwanzia mwaka Jana, nchi ya kanada na marekani kwa wakati tofauti kotee nakuwa unsuccessful Ndugu zangu mnafanyaje kupata wenzetu maana Kila kigezo ninacho mpaka bank statement yangu imenyooka vzr tu Ila linaenda lofa la kigoma porini huko linapata...
  2. Mrengwa wa kulia

    USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

    Mzuka umepanda. Sio mbaya kujifunza kwa aliye Fanikiwa. USA 🇺🇸 wamepeleka kikosi hiko ili kupata uzoefu wa kupambana na drone na Electorinical war fare. Zama za kupigana vita Ofisini zimesha wadia The U.S. Army has formed a new unit to learn from Ukraine's experience with drones and...
  3. Mag3

    Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

    Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa. Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris...
  4. Mshenyentaji

    Serbia anachomfanya USA kwenye basketball ni udhalilishaji wa kijinsia

    Mpaka sasa Serbia tunaomgoza kwa advantage ya vikapu 14 Linakufa jitu huku
  5. The Legacy

    Kama ni Mpenzi wa Basket Ball,Angalia super sport 3.Bonge la game USA Vs South Sudan-Olympics in Paris

    Ni game Kali Wote wanamiili mikubwa na warefu. Enjoy the game
  6. uhurumoja

    Hii basketball team ya USA imekusudia Nini mbona imesheheni mastar tupu!

    Na sio team TU hadi mashabiki ni mastar maana naona kina queen latipha n.k in da house baby
  7. Kaka yake shetani

    The Simphsone inatabiri vitu vingi hivi yupo nyuma ya nani na ilitabiri kutakuwa na raisi mwanamke USA

    Kwa wale wa wisdom mnafahamu kuwa kuna hizi zinazotengenezwa zipo nyuma ya nani? kuna uwezekano raisi wa marekani kuwa mwanamke na si trump. kumbukeni. --- Did The Simpsons hint at Kamala Harris as US President way back in 2000 The Simpsons is once again credited with predicting a major event...
  8. GENTAMYCINE

    PreGE2025 Senior DP Members USA wamethubutu Kukataa Biden asigombee kwa kuona hana Uwezo, je, CCM wanaweza kufanya hivyo 2025?

    Senior DP Members USA wamethubutu Kukataa Biden asigombee kwa kuona hana Uwezo, je, na Senior MCC Members in AZT nao wataweza Kumkataa Mtu 2025? Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024 Kwani wengi wao ukikutana nao Wanamkataa Mtu Fudenge kabisa ila mbele ya Mic...
  9. RRONDO

    Basketball: USA kapewa upinzani mkali na South Sudan

    Katika kujiandaa na Olympic leo USA anacheza na S Sudan. Mpaka sasa South Sudan anaongoza 43-30 dakika 5 zinebaki kuwa half time. USA ina mastaa wa kutosha. Bron, Curry, Embiid, ADavis na wengine wengi. Final score USA 101-S Sudan 100 Today(Monday) USA vs Germany
  10. Buyaka

    Trump apokea rasmi tiketi ya Republican Party. Alaani wavamizi kutoka kwenye majela ya vichaa Venezuela, El Salvador, Afrika, wanaokwend kuharibu USA

    Nchi yao imevamiwa na wahamiaji haramu. Wauaji, wabakaji, maharamia na wagonjwa wa akili kutoka kwenye majela ya vichaa. Ameahidi anaenda kukata mzizi wa fitina wa tatizo hili akichaguliwa. Na kwenye uchumi, viwanda na biashara ya kimataifa ameahidi anaenda kumaliza exploitation ya mataifa...
  11. TODAYS

    Wamegundua Nini?. Angalia Hii Video Fupi Baada ya Trump Kutunguliwa.

    Ni igizo fulani hivi ila naendelea kufuatilia, bado sitaki kuamini.
  12. Kaka yake shetani

    Naomba kuuliza hivi huyu ni nani?

    Nipo nyumbani hapa naangalia mtandao x naambiwa kuna mtu kapigwa kauziwa barafu jangwani ?
  13. BLACK MOVEMENT

    Serikali ya Tanzania kupitia Balozi wake USA watoe tamko la kulaani jaribio la kutaka kumuua Trump

    Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka kumuua Trump na kuitaka Serikali ya Marekani kuheshimu misingi ya Democrasia. Ni kwa bahati mbaya hawa...
  14. Kijana mtafutaji

    Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

    Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo. Mambo yanayonikosea furaha 1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa. 2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu. 3. Hata kwenye mapenzi napo bado...
  15. Cathylin 2002

    Mahusiano Ya kiafrika vs USA

    Habari wanna jm Leo napenda nionge na vinaja 20s mpaka 35 ni kwa ufupi Moja ya mambo muhimu ni mahusiano je mwanamke gan sio wa kuwa na mahusiano nae kabsa ? ✓kama hawez kumud gharama za kusuka na anapenda kusuka 3x a month ✓Mwanamke muomba pesa za kula ✓kijana usiwe na mwanamke amepanga...
  16. lee Vladimir cleef

    Masters voice prophecy: Mtumishi wa Mungu wa kike wa USA ameoneshwa na Mungu kuwa USA itapingwa na Urusi

    Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima. Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema...
  17. Vien

    Special thread: Copa America 2024 - USA

    Karibu katika speacial thread ya Copa America 2024 inayoendelea kule USA, Tutakua tunaendelea kupeana updates hapa kwa yanayoendelea Mpaka sasa ni Team tatu pekee zimeonyesha kiwango cha juu sana katika mashindano haya Argentina Uruguay Colombia Brazil ameanza haya mashindano vibaya kwa...
  18. Nsanzagee

    Mbali na kuwa na washirika wengi wanaomuunga mkono Russia, kwa USA, Russia ni kama yuko peke yake!

    Russia tangu ameingia vita vya kijeshi na ka nchi kadogo kanakoingia mara 8 kwa Russia, ametafuta ushirika na mataifa mengi na makubwa yenye uwezo mbalimbali kijeshi mpaka kafika Africa akajipatia SA Marafiki ambao wamekukubaliana kuweka ushirikiano pamoja ili kumdhibiti USA ni, China, Iran...
  19. M

    Copa America 2024 in USA

    Copa America inaanza tarehe 20 June na kutamatika July 14. Moja ya mashindano kongwe kabisa yakianza 1916 Mataifa 16 yatakiwasha kumpata mbabe kwa mwaka huu wa 2024. argentina na Uruguay ndiyo nchi zilizobeba ubingwa huu mara nyingi zaidi, 15 kwa kila mmoja Brazil wao wakibeba mara 9 tu...
  20. ward41

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye: a) Uchumi b) technology c) silaha d) Vita e) Biashara Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja. Kama...
Back
Top Bottom