upendo

Upendo Ni Pamoja is an album by pianist Ramsey Lewis which was recorded in 1972. It was his first release for the Columbia label, after a decade with Chess Records in Chicago.

View More On Wikipedia.org
  1. wasumu

    JamiiForums Tanzania Upendo ndio nini? Dunia imekosa Upendo ila ina kila kitu

    Binadamu tupo busy na mambo ambayo hayana msingi tunawaza kula kufanya mapenz kulala Tabia zote za mnyama kupigana kuuana Dunia ina kila kitu lakini imekosa upendo hatuna upendo kuanzia kwenye Familia mpaka Serikali zote duniani BINADAMU tupo busy na kufukuzana na panya wakati Nyumba yetu...
  2. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Mungu ambaye tunamuomba na anayesifika kuwa na UPENDO sifikirii kama ndo Mungu huyu huyu wanayesema atachoma watu wenye dhambi.!

    Kwa uelewa Wangu kuhusu Mungu. Namtafsiri Kama mwenye UPENDO huruma na UTU. , hii nadharia kuwa atachoma watu wenye dhambi naona Kama ni UONGO. Kwakuwa sisi Binadamu tupo dhaifu , kwenye kuyaendea mambo na asilimia kubwa tupo unconscious. Hivyo dhambi Kama uzinzi , N.k zinafanywa Sana na WATU...
  3. kiss ov love

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa, hapa kuna upendo kweli au napotezewa muda?

    NRNE Habari za muda mrefu wana jukwaa, mimi msichana, niko kwenye mahusiano na mwanaume amenizidi miaka 15, yeye ana mtoto mmoja mimi sina. Mimi nipo Dar, yeye yupo mkoani, tulipoanza mahusiano nilijua kwakuwa ni mtu mzima pengine, tutaenda sawa kwani na mimi huwa sipendi mambo ya hovyo...
  4. Mudawote

    JamiiForums Tanzania Rais Mpya Ataomba Msamaha kwa Taifa – Kwa Moyo wa Toba na Upendo wa Kweli

    Great Thinkers Katika siku zijazo, historia ya taifa letu Tanzania itakumbwa na upepo wa toba na maridhiano ya kweli. Rais ajaye baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuomba msamaha wa hadhara kwa Wakristo na taifa zima, akianza na tukio zito lililotikisa dhamira ya uhuru wa...
  5. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, upendo wa kweli upo?

    Dunia ya leo usaliti limekuwa Jambo la kawaida mno hata kwa wanandoa. Vip unamuamin mwenza wako, viashiria vip huondoa imani kwake?
  6. Inside10

    JamiiForums Tanzania Papa Leo XIV amteua Padri Monsinyori Romanus Mbena kuwa mkuu wa huduma ya Upendo Vatican

    Baba Mtakatifu Leo XIV amemteuwa mtanzania Monsinyori Romanus Mbena kuwa ni Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Kipapa la Huduma ya Upendo, ambaye hadi kuteuliwa kwake amekuwa akihudumu kama Afisa Mshauri wa Balozi za Vatican ngazi ya kwanza na Mhudumu katika masuala ya jumla kwenye Sekretarieti kuu ya...
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Ukristo Unafundisha Upendo, Mzungu Mwenye Jaziba Katulizwa na Upendo Na Sala

    https://www.instagram.com/reel/DJ0To8sRded/?igsh=MWhjaWJwb3l4Nmp6Zw==
  8. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Upendo wetu sisi

    https://www.instagram.com/reel/DKKxShrNI0b/?igsh=MTdzeDIyMnY5ZDFqNw==
  9. Redpanther

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ni Utapeli wa Mapenzi au Ndio Upendo wenyewe ?

    Habari gani Wakuu Ngoja niende kwenye maada yangu. Kuna mdada mmoja hivi wa Graduate wa CBE -Dodoma nilikutana naye rainbow Dodoma so nikawa nimechukua contacts tukawa tunawasiliana. Baada ya kuwa nimemzoea nikamwelezea vile najisikia juu yake, dada akatolea Nje. Nikakubali tukawa tunawasiliana...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Ajabu wa Samir na Mohammed: Hadithi ya Upendo, Msaada na Maumivu kutoka Damascus ya Kale

    Taswira ya kweli ya wanaume wawili waliopigwa picha kutoka Damascus mwaka 1889: Mkristo Samir alikuwa mlemavu wa kupooza na pia alikuwa mfupi. Na Mohammed, Mwislamu kipofu aliyekuwa akimbeba Samir mgongoni. Samir aliyekuwa mlemavu wa kupooza alimtegemea Mohammed katika safari zake mitaani...
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ukisema uoneshe upendo kwa kumpa hela mdada, matarajio yako mara nyingi yatakua tofauti na uhalisia

    Habarini, Mda mwingine kwenye utongozaji, mwanaume unajitoa ufahamu unaamua kusaliti chama cha uwabata kwa muda. Unaamua kufata dating advice ya wadada wa humu jf, ya ukiwa na mwanamke unaemtaka mpe hela kabla hata hajakuomba 😁 Unamuona mdada, unasema ngoja huyu nimuoneshe upendo kwa kumpa...
  12. Manyanza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Upendo huwa upo hata baada ya kutendwa vibaya sana lakini HESHIMA ni kinyume chake

    TOFAUTI YA UPENDO NA HESHIMA Alisema Niccolo Machiavelli kwamba "Watu huwa wepesi kumdhuru au kumuangamiza mtu ambaye anayehitaji kupendwa sana kuliko mtu ambaye ametengeneza mazingira ya kuheshimiwa/ kuogopwa. Kisaikolojia ni kwamba upendo husababisha mtu ana-Relax ,mtu ukijua unapendwa sana...
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapa kuna upendo au natumika nifungueni macho

    Za siku nyingi humu ndani.. hope mko poa Najua humu kuna wakongwe wa mahusiano naweza kupata kujua mawili matatu juu ya haya mahusiano Nipo na mwanaume sasa ni miezi 6 ya mahusiano… nampenda kwa upande wangu na yeye anaonesha kunipenda japo yeye anajua moyoni mwake.. Ni mwanaume mzuri...
  14. Damaso

    JamiiForums Tanzania Upendo wa Mama katika Klabu ya AC Milani

    Katika kuungana na dunia kusherehekea Siku ya Mama Duniani Jumapili hii Mei 11, 2025, klabu ya AC Milan imeendeleza utaratibu wa wachezaji wake kuvaa jezi zenye majina ya Mama zao mgongoni badala ya majina yao kama ilivyozoeleka. Wachezaji wa AC Milan kwa mara nyingine walivaa jezi hizo dhidi...
  15. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Jamvi la wanawake: Je, viongozi wanawake wana moyo wa huruma na upendo zaidi ya wanaume?

    Uzoefu wako kwenye mazingira yako ya kazi na utafutaji unasemaje. Je kuna tofauti ya haiba ya uongozi na utawala kati ya wanaume na wanawake? Ni kweli kwamba viongozi wanawake ni waelewa na wana huruma zaidi hasa kwenye changamoto binafsi kama za kiafya au matatizo ya kifamilia?
  16. tamu 3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Upendo udumisheni

    UPENDO UDUMISHWENI Beti nimetunga, sikio ziwakune, Kwa hiyari mmepanga, muoane muoane, Kibwebwe mmejifunga, pamoja mshikamane, Upendo udumishweni, i ngao ya familia. 2. Ndoa ni uvumilivu, hili mwapaswa tambua, Mjue mbichi na mbivu, vinaweza kutokea, Mwenye wivu na anaiharibu ndoa, Upendo...
  17. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Harakati za kuusambaza upendo, ngono na kuzimu. Mjue nabii David Berg na wana wa Mungu (CoG)

    Hii ni picha ya miaka ya 1970s. Unaowaona hapa kwa tafsiri ya haraka unaweza sema ni mabinti walio na furaha na tabasamu pamoja na amani mioyoni mwao. Picha hii ya pamoja ni ya waumini wakiwa pamoja na mchungaji au Nabii wao ,wakieneza injili ya neno la Mungu na kuhubiri UPENDO kwa watu...
  18. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Pale sayansi inapokutana na upendo wa kindoa…….!

    Katika maisha ya sasa, ambapo kila mtu anatafuta afya, amani, na kizazi chenye matumaini kuna jambo moja la msingi tunalopaswa kulizingatia kwa umakini mkubwa, uchaguzi wa mwenzi wa maisha. Kwa muda mrefu, tumekuwa tukioana ndani ya koo na jamii zilezile. Ingawa ni kawaida, sayansi ya kisasa...
  19. kipara kipya

    JamiiForums Tanzania Kila siku nasema Lissu anawategemea watu wasionekana wala kumuunga mkono wanamjaza upepo upendo zero

    wale anao amini na kumjaza kibri cha kutukana na kusema lolote hawaonekani mtaani wala kwenye mkutano wengine wapo vitandani wana-push free Lissu...mimi ni mtazanzania nina uzoefu na watanzania haswa hiki kizazi cha X na instargram wapenda umbea asitegemee kupata sapoti jitu lina account kumi...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Harusi mfungie kanisani, wali ukaliwe ukumbini, huo SI Upendo enyi watu wa Mungu!

    Salaam ,Shalom! Siku za mwisho imeandikwa Upendo wa wengi utapoa, Yaani ufunge ndoa kanisani, tukushangilie Kisha chakula kiende kuliwa ukumbini Tena kwa kundi dog tu la watu! Kiukwelli zamani palikuwa na upendo, likuwa Kila jumamosi au jumapiili sie watoto wa uswazi hatukukosa pilau la...
Back
Top Bottom