UPENDO UDUMISHWENI
Beti nimetunga, sikio ziwakune,
Kwa hiyari mmepanga, muoane muoane,
Kibwebwe mmejifunga, pamoja mshikamane,
Upendo udumishweni, i ngao ya familia.
2.
Ndoa ni uvumilivu, hili mwapaswa tambua,
Mjue mbichi na mbivu, vinaweza kutokea,
Mwenye wivu na anaiharibu ndoa,
Upendo...