Habari za mwisho wa weekend wanajamii.
Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe.
Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia ilikuwaje/ ulifanya kioja gani?
Kwangu
1. Mwaka Mpya Arusha 2018,
Mimi na jamaa yangu tukaenda kupata mlo...