ulemavu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    CCM: Watu wenye ulemavu ni kundi muhimu, tutaendelea kulipa kipaumbele

    NA MWANDISHI WETU. Dar es Saalam KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema serikali ya awamu ya sita imeendelea kutekeleza miradi na programu mbalimbali za maendeleo kwa kuzingatia kundi la watu wenye ulemavu kwa kulijumuisha, kulishirikisha...
  2. Profesa ntare nkobe

    Wivu wa mapenzi umekuwa chanzo kikuu cha ulemavu na vifo

    Hali imekuwa mbaya ukiachana magonjwa tuliyo nayo kuuwa wapendwa wetu kwa wivu wa mapenzi nao una ua sana. Baadhi wamekuwa walemavu, kuna haja ya serikali kutoa elimu kwa nguvu zote angalau kupunguza haya madhara.
  3. J

    Jamii kuhusu watu wenye changamoto ya ulemavu wa akili

    Ulemavu ni nini!Ni hitilafu ya Kidumu ambayo inaweza kumkuta mtu yoyote yule awe mtu mzima au mtoto kwa nyakati tofauti ambapo inaweza kuwa wakati wa kuzaliwa kabla na baada ya kuzaliwa Walemavu ni kundi ambalo limetengwa sana na kusahaulika katika Jamii zetu ambapo watu wengi sana tumekuwa...
  4. Geo C Starfish

    SoC01 Maoni juu ya wafungwa wa makosa ya mauaji, kusababisha ulemavu wa kudumu kwa wanaotegemewa na familia zao

    Kifungo ni moja ya hatua za kumuwajibisha mkosaji ili atambue kosa lake na aweze kujirekebisha kwa kutokufanya tena kosa hilo na hata makosa mengine. Mtu anapofanya kosa na kupewa kifungo au kuwekwa kifungoni huitwa mfungwa. Kifungo hufanya watu kufuata sheria na hupunguza kwa kiasi fulani...
  5. FK21

    Mama jirani yangu anamfungia ndani mwanaye mwenye ulemavu

    Ni katika nyumba ya kupanga moja hapa mjini Dar. Kuna mama ana watoto wawili mmoja wa kike mzima mmoja ni uyo mlemavu nae ni wa kike anamfungia mwanae ndani kisa hawezi kutembea ni mwaka sasa mtoto hajaliona jua zaidi ya kusikika akilia tu. Je, hii ni sahihi huwa naumia sana nikisikia sauti ya...
  6. G-Mdadisi

    Kilimo cha Mwani kinavyowaliza Wakulima Zanzibar. 'Tunapata ulemavu wa Migongo'

    Na Gaspary Charles WAKULIMA wa mwani kisiwani Pemba wameiomba serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuingilia kati upatikanaji wa soko la zao hilo ili kuwanusuru na hali ngumu ya maisha wanayokabiliana nayo kutokana na wanunuzi kusitisha ununuaji zao hilo. Hayo yamebainishwa na wanakikindi cha...
Back
Top Bottom