Kwa wale ambao hawajawahi kufuatilia maendeleo ya Nchi tofauti tofauti za Africa
Nafikiriki kupitia AFCON inayo endelea kwa sasa, wameweza kupata picha Morocco ni kama Ulaya.
Pamoja na kuwa na viwanja vya mpira vya hadhi ya Ulaya takriban 9 vikiwemo vya kupokea mashabiki takribani 95,000 kwa...