#Porojozabongo
"Ukiona umekaa sana, kaa vizuri."
"Unajua maana ya hiyo sentensi?" Bongo anazungumza
"Mmh, ni kukaa kwenye benchi, au?" akauliza mgogo asiye na mgogoro
"Hapana, hiyo ni ya maisha. Ukiona umekaa sana—yaani maisha yako hayatembei, kila kitu kimesimama—basi kaa vizuri, kwa maana...