Habari wakuu,
Nahitaji kuanza ku-import mafuta ya kula kutoka nje, naomba kujua yafuatayo,
1. Document au vibali vinavyohitajika nikienda toa mzigo bandarini?
2. Bandari yenye unafuu wa kuingiza hi bidhaa?
3. Kibali Cha kusajili hii bidhaa ya mafuta TBS ni kiasi(fedha) gani na document zipi...