udom

The University of Dodoma (UDOM) is a public university in central Tanzania located in Dodoma, the country's capital. Building is taking place on a 6,000-hectare site in the Chimwaga area about 8 kilometres (5.0 mi) east of downtown Dodoma.The University of Dodoma was formally established in March 2007 following the signing of the Charter by the President of the United Republic of Tanzania. The first academic programmes commenced in September 2007. Currently UDOM is the fastest growing university within the country, its biggest more than any other university within the country, and it's praised with producing competent and qualified candidate capable of competing in job market.
In line with Tanzania's Development Vision 2025, the University of Dodoma, when fully operational, will be able to enroll 50,000 students. This is more than triple the size of the University of Dar es Salaam when UDOM becomes fully operational. Up to now it is 80% complete and is already two times bigger the size and capacity of The university of Dar es salaam.The university of Dodoma currently has seven colleges: College of Earth Science, College of Natural and Mathematical Sciences, College of Informatics and Virtual Education, College of Education, College of Humanities and Social Sciences, College of Health and Allied Science and College of Business studies and Law, in recently there was also establishment of newly academic institute within college of humanities and social science UDOM named institute of Development studies(IDS) charged with responsibility of strengthening professionals within the field of Development studies.
Also is found in the Capital city of Tanzania

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimechapisha video kuonesha vyoo vya majengo yao ni visafi

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimetoa documentary fupi ambayo inaonesha kuwa suala la changamoto ya usafi katika vyoo vya majengo ya chuo hicho umefanyiwa kazi na kwamba vyoo ni visafi. Ikumbukwe kuwa mara kadhaa Wadau tofauti wa JamiiForums.com wamekuwa wakidai kuna changamoto ya usafi katika...
  2. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Fursa Mpya UDOM 2026/2027

    UDOM imeongeza Programu 5 mpya za Shahada za Awali: ✅ Bachelor of Science in Medical Laboratory Sciences (BSc-MLS) ✅ Bachelor of Business with Education (BBE) ✅ Bachelor of Counselling Psychology (BCP) ✅ Bachelor of Science in Crop Production and Technology (BSc-CPT) ✅ Bachelor of Science in...
  3. Elvis Legacy

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna undungu kati ya KMK Balozi Dkt. Moses Mpogole Kusiluka na Prof. Lughano Jeremy Kusiluka, VC UDOM.

    Habari wakuu, Naomba kuuliza kama kuna uhusiano wowote kati ya Dkt Kusiluka ambaye ni Katibu Mkuu Kiongozi na huyu Prof Kusiluka Vice Chancellor UDOM. Sio kwa ubaya nataka tu kufahamu.
  4. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kwanza la maombi ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa mwaka wa masomo 2026/2027 limefunguliwa rasmi

    Je, uko tayari kuwekeza katika mustakabali wako? Hii ndiyo fursa yako ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), moja ya vyuo vikuu vikubwa na vinavyoongoza nchini Tanzania katika utoaji wa elimu bora, utafiti na ubunifu. UDOM inakukaribisha kutuma maombi ya kujiunga na programu mbalimbali za...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya course ya Clinical Nutritions and Dietetics inayotolewa UDOM

    Clinical Nutritions and Dietetics (Utabibu lishe na Chakula) hii ni Faculty mpya iko pale UDOM. Miaka kadhaa sasa imekua na changamoto ya mtaala(Curriculum), hadi sasa tuliopo internship tunaona madhara ya curriculum bado haijitoshelezi. Tumekuwa tukiomba ipitiwe na kuundwa upya bila ya...
  6. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM na IUCEA zaimarisha ushirikiano katika mpango wa kimkakati wa ufadhili wa masomo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo tarehe 17 Juni 2026, kimepokea ujumbe kutoka Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA) uliolenga kujadili ushirikiano katika utekelezaji wa Mpango wa Ufadhili wa Masomo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Scholarship Programme). Ujumbe huo uliongozwa na...
  7. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Kutoka ipcc hadi Udom: Dkt. Chang’a aongoza majadiliano ya mustakabali wa tafiti za tabianchi Tanzania

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC), Dkt. Ladislaus Chang’a, tarehe 16 Juni 2026 ametembelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya TMA na Chuo hicho...
  8. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yajipanga kufundisha Kirusi, kufungua fursa mpya za elimu, ajira na ushirikiano wa kimataifa

    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka, amesema wameanza maandalizi ya kuanzisha mafunzo ya lugha ya Kirusi, hatua inayolenga kuunga mkono juhudi za Serikali za kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Urusi na kuwawezesha Watanzania kunufaika na fursa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania UDOM: Hizi hapa hoja 15 nzito alizozipangua David Kafulila

    Wasalaam, Hivi ndivyo alivyofanya David Kafulila chuo kikuu cha DODOMA, amefafanua jambo moja baada ya jingine kwa kina, Soma mpaka mwisho l, === 1. $1 Trilioni Club inawezekana Historia inatufundisha: Korea Kusini ilitoka uchumi wa ∼$90-100 bilioni → $1+ trilioni ndani ya miaka 25. Mwaka 1995...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa UDOM aihoji Bodi ya Ithibati kwanini Vyombo vya Habari vya Tanzania haviaminiki tena na wananchi? Nani anapaswa kuwajibika?

    Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema kuwa kukosoa ni haki ya msingi katika jamii ya kidemokrasia, lakini ukosoaji huo unapaswa kufanywa kwa kuzingatia maadili, heshima na ukweli. Akijibu moja ya maswali yaliyoulizwa na...
  11. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yaangazia nafasi ya Ubia wa Umma na binafsi katika kufanikisha Dira ya Taifa 2050

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Biashara na Uchumi (CoBE), leo tarehe 3 Juni katika Ukumbi wa CT1, kimeendesha mjadala maalumu kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) katika kuimarisha miundombinu na huduma za umma ili kufanikisha Mpango wa Maendeleo wa Miaka...
  12. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania HATUA MPYA YA UDOM NA TUME YA TEHAMA KUANDAA WATAALAMU MAHIRI

    Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kushirikiana na Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameendesha programu maalum ya uhamasishaji kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Tehama, ikiwa ni sehemu ya kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa usajili wa kitaaluma kwa wataalamu wa Teknolojia ya Habari na...
  13. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM kushirikiana na madaktari bingwa nchini kutafuta suluhu ya magonjwa ya ndani

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kupitia Hospitali yake imeshiriki katika Kongamano la Mwaka lililoandaliwa na Chama cha Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani Tanzania (APHYTA), lililofanyika leo tarehe 29 Mei 2026 katika ukumbi wa Dodoma City Hotel jijini Dodoma. Lengo la kongamano hilo ni...
  14. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania BRELA NA UTT AMIS WAWANOA WANAFUNZI WA UDOM KATIKA BIASHARA NA UWEKEZAJI

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na TISEZA @invest_in_tanzania na @sydf_tz , kimeendelea kuwajengea wanafunzi uwezo wa ujasiriamali na uwekezaji kupitia programu ya Public Lecture – Student Investor iliyofanyika kwa siku mbili, tarehe 30 na 31 Mei 2026 katika Ukumbi wa CIVE...
  15. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yatoa mafunzo ya mradi wa safari kuboresha huduma za ultrasound kwa wajawazito

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo Mei 25, 2026, kimetoa mafunzo ya ukusanyaji wa taarifa za msingi kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa SAFARI, unaotumia teknolojia ya Akili Unde (AI) kuboresha huduma za ultrasound kwa akina mama wajawazito. Mradi huo unatekelezwa na UDOM kwa kushirikiana na...
  16. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yazindua rasmi kampeni za uchaguzi wa serikali ya wanafunzi (UDOSO 2026/27)

    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2026 katika ukumbi wa CIVE Auditorium, amezindua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) katika hafla iliyowakutanisha viongozi wa chuo, Tume ya Uchaguzi, wagombea...
  17. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya Student Investor yazidi kuvutia wanafunzi wengi UDOM

    Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kushirikiana (UDOM) na TISEZA pamoja na Shirika lisilo la Kiserikali la Save Youth Dream Foundation (SYDF), leo tarehe 23/05/2026 katika Ukumbi wa Auditorium – CIVE, wameendelea na programu ya mafunzo ya Student Investor yenye lengo la kuwajengea vijana uwezo wa...
  18. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM, SYDF na TISEZA Waibua Mwanga wa Uwekezaji kwa Vijana

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na Shirika Lisilo la Kiserikali la Save Youth Dream Foundation (SYDF) pamoja na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), leo tarehe 15 Mei 2026, wameendesha mafunzo ya uwekezaji kwa wanafunzi yaliyofanyika katika Ukumbi...
  19. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yashinda Nafasi ya Pili Mashindano ya WANAFUNZI CHALLENGE 2026

    Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM) kupitia Ndaki ya Sayansi za Ardhi na Uhandisi (CoESE) imeendelea kudhihirisha ubora wake kitaifa baada ya andiko lake kuingia katika miongoni mwa maandiko matatu bora kati ya 561 yaliyowasilishwa kwenye shindano la ubunifu wa kupunguza msongamano wa magari mijini...
  20. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yaibua mkakati mpya wa kuongeza ufadhili wa tafiti kupitia mafunzo ya kitaalamu ya uandishi wa miradi

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Kurugenzi ya Tafiti, Machapisho na Ushauri Elekezi, kimeanzisha mafunzo maalum ya uandishi wa mapendekezo ya miradi ya tafiti na huduma za ushauri, yakilenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma na kuongeza fursa za kupata ufadhili wa miradi. Mafunzo hayo...
Back
Top Bottom