udom

The University of Dodoma (UDOM) is a public university in central Tanzania located in Dodoma, the country's capital. Building is taking place on a 6,000-hectare site in the Chimwaga area about 8 kilometres (5.0 mi) east of downtown Dodoma.The University of Dodoma was formally established in March 2007 following the signing of the Charter by the President of the United Republic of Tanzania. The first academic programmes commenced in September 2007. Currently UDOM is the fastest growing university within the country, its biggest more than any other university within the country, and it's praised with producing competent and qualified candidate capable of competing in job market.
In line with Tanzania's Development Vision 2025, the University of Dodoma, when fully operational, will be able to enroll 50,000 students. This is more than triple the size of the University of Dar es Salaam when UDOM becomes fully operational. Up to now it is 80% complete and is already two times bigger the size and capacity of The university of Dar es salaam.The university of Dodoma currently has seven colleges: College of Earth Science, College of Natural and Mathematical Sciences, College of Informatics and Virtual Education, College of Education, College of Humanities and Social Sciences, College of Health and Allied Science and College of Business studies and Law, in recently there was also establishment of newly academic institute within college of humanities and social science UDOM named institute of Development studies(IDS) charged with responsibility of strengthening professionals within the field of Development studies.
Also is found in the Capital city of Tanzania

View More On Wikipedia.org
  1. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM Employment Opportunity Announcement 2026

    RESEARCH ASSISTANT VACANCY ANNOUNCEMENT.
  2. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yaandaa warsha ya Jiofizikia kuimarisha utafiti wa rasilimali asilia

    Ndaki ya Uhandisi na Sayansi za Ardhi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na kampuni ya “Guideline Geo”, inayoongoza duniani katika suluhisho za jiofizikia za maeneo ya karibu na uso wa ardhi, imeandaa warsha ya siku mbili kuanzia leo Alhamisi tarehe 30 Aprili hadi 1 Mei 2026...
  3. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yashinda Tuzo ya Filamu Beijing kupitia Mhadhiri wake

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatoa pongezi za dhati kwa Bw. Suleiman Risasi, Mhadhiri Msaidizi kutoka Ndaki ya Sayansi za Jamii (CHSS), Idara ya Sanaa na Taaluma za Habari (AMS), kwa kufanikisha ushindi wa tuzo ya Makala Fupi Bora (Best Short Documentary) kupitia kazi yake “The Spirit of the...
  4. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yaongoza juhudi za Kitaifa kuimarisha huduma za Afya kupitia POCUS na Akili unde (AI)

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya nchini, kimeratibu kikao maalum cha kitaifa kilichowakutanisha wataalamu wa radiolojia na tiba ya mionzi kwa lengo la kuimarisha huduma za uchunguzi wa magonjwa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Kikao hicho kilifanyika...
  5. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yaanza kwa kishindo mashindano ya Mei Mosi

    Timu ya wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) imeanza kwa mafanikio makubwa ushiriki wake katika mashindano ya michezo ya watumishi wa umma nchini Tanzania (Mei Mosi 2026), kwa kuibuka na ushindi wa kishindo katika mchezo wa kwanza. Katika pambano la mpira wa wavu kwa wanaume lililochezwa...
  6. A

    KERO Responded Ucheleweshwaji wa Kimaksudi na Ukatishwaji Tamaa wa Wanafunzi wa Postgraduate kutokana na Usimamizi Mbaya wa Tafiti UDOM

    Uongozi wa Chuo Kikuu cha UDOM uongeze umakini mkubwa katika usimamizi wa masomo ya postgraduate. Wanafunzi wengi wa postgraduate wanacheleweshwa kimaksudi na kulazimishwa kulipa pesa nyingi za ziada (extension fees) licha ya kufanya kazi kwa bidii na kujitahidi sana. Mfano halisi: Kuna...
  7. University of Dodoma (UDOM)

    Wanafunzi wa Sheria UDOM wanufaika na wiki ya usuluhishi

    Viongozi mbalimbali kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria, leo tarehe 16 Aprili 2026 wamefanya majadiliano ya pamoja na wanafunzi wa Sheria wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Majadiliano hayo yamefanyika katika ukumbi wa CT1 uliopo Ndaki ya Biashara...
  8. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yatwaa ubingwa wa Cyber Premier League (CPL) 2026

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kitaifa ya usalama wa mtandao ya Cyber Premier League (CPL), baada ya timu yake ya wanafunzi watano, S4LV4T0R3, kuonyesha umahiri mkubwa na kuibuka kidedea miongoni mwa timu 76 kutoka vyuo mbalimbali nchini Tanzania...
  9. DogoWaNjombe

    CAG: Baadhi ya Taasisi za Umma zilisaini mikataba bila mapitio ya Kisheria, ikiwemo TANESCO (Tsh. Bilioni 12) na UDOM (Tsh. Bilioni 4)

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles Kichere amesema baadhi ya taasisi hazikuzingatia mapitio ya kisheria wala ushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kusaini mikataba yenye thamani ya Tsh. Bilioni 56. Ameeleza hayo Machi 30, 2026 wakati akisoma Ripoti ya...
  10. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yajikita kwenye mapinduzi ya afya ya Mama na mtoto Tanzania kupitia ushirikiano wa kimkakati

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha nafasi yake kama mdau muhimu katika sekta ya afya, baada ya kushiriki kikao cha tano cha kitaifa cha wataalamu wa afya kilicholenga kuimarisha huduma za afya kwa wanawake, watoto wachanga na vijana nchini Tanzania. Kikao hicho...
  11. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yazindua mafunzo ya mradi wa Kimataifa wa AI kuboresha huduma za Ultrasound kwa Wajawazito

    Mafunzo ya ukusanyaji wa takwimu kwa ajili ya mradi wa “AI-Assisted Ultrasound Feasibility and Assessment of Resources and Integration (SAFARI)” yameanza rasmi Jumatatu, tarehe 30 Machi 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 1 Aprili 2026. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa...
  12. University of Dodoma (UDOM)

    Wanafunzi wa UDOM washinda Girls in ICT Hackathon 2026

    Arusha, 28 Machi, 2026 Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeibuka mshindi wa Kwanza katika mashindano ya Girls in ICT Hackathon 2026 baada ya wanafunzi wake kushiriki kubuni mfumo wa kuhakiki taarifa kwa kutumia Akili Unde (AI) unaoitwa “Hakiki Scanner.” Timu hiyo iliwahusisha wanafunzi wawili...
  13. V

    Prospectus ya University of Dodoma (UDOM)

    .
  14. Roving Journalist

    UDOM: Madai ya Walinzi wa geti la kuingia chuo kuchukua fedha kwa Bajaj na Bodaboda yanafanyiwa uchunguzi

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuwa kuna changamoto ya Maafisa Usalama wanaosimama katika geti la kuingia Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kuwasumbua wanaopita hapo hasa Boidaboda na baadhi kuwataka watoe fedha taslim, ufafanuzi umetolewa kutoka chuo hicho. Mdau alihoji uhalali wa fedha...
  15. A

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Wanafunzi wa UDOM tunalipishwa hela ya Makazi tunapobaki wakati wa likizo ingawa tunakuwa tushalipa hela ya makazi (accommodation fees) ya mwaka mzima kwenye direct cost. Sasa swali ni je kama tunalipa hela ya makazi ya Mwaka mzima kwanini tulipishwe wakati walikizo? Au hii likizo haupo kwenye...
  16. A

    KERO Usaili wa Kozi za Sayansi Asilia(Natural Science) zinazotolewa CNMS pale UDOM Usitishwe au Upungue

    Kozi zinazotolewa CNMS hazina ajira moja kwa moja tofauti na kwenda kuwa Lecturer Chuoni. Mfano ni Bsc. Physics na Bsc. Biology. Unakuta mtu umebobea kwenye masomo magumu ya Sayansi bila kuwa na Future inayoleleweka. Serikali isiimize watu kusoma masomo ya Sayansi ikiwa wabobezi wa hayo...
  17. immortanity

    KERO Miundombinu ya Vyoo vya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ni mibovu na uongozi wa chuo upo kimya tu

    Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma tunaomba mfanyie kazi swala la miundombinu ya vyoo . Matundu ya vyoo (sinks) zimeziba ukiingia chooni unachokutana nacho unaweza kutapika hii sio sawa kabsa . Vyoo takriban floor zote vimeziba vichache tu ndio vinafanyakazi na idadi ya wanafunzi ni wengi ...
  18. A

    KERO Baadhi ya Walimu wa UDOM wanafelisha Wanafunzi makusudi!

    Serikali itambue kinachoendelea UDOM kuwa si haki, yaani gharama za kulipia Carryovers na SUP ni kubwa kuliko hata ada yenyewe. Imagine ma-lecture wanatucarrisha makusudi ili chuo kipate pesa. Tunaiomba Serikali iingilie kati ili suala jamani. Ikiwa litaendelea kufumbiwa macho ni uhakika kuna...
  19. Bawabu wa pili

    UDOM ondoeni hao ombaomba ndani ya eneo lenu, mnadhalilisha hicho chuo!

    Soma hapa: UDOM hao omba omba ndani ya chuo na Watoto wadogo wanaozagaa kwenye cafeteria hatuwaelewi, liangalieni hili Nilimuona mwana-JF mmoja aliandika kuhusu hawa omba omba na issue ya watoto wadogo umri 8-12 wakifanyika kama labor power pale UDOM kwenye link niliyoweka hapo juu, sikumuamini...
  20. Humble__

    KERO Miundombinu ya Vyoo na majitaka Majengo ya UDOM kitivo cha Elimu (COED) ni hatarishi kwa wanafunzi

    Nimeona mdau mmoja kachangia kuhusu udom Binafsi nimefika pale hasa hayo majengo ya COED ambayo ndio wanaishi wanafunzi wa TIBA na EDUCATION watoto sio wanateseka na uchache wa sehemu za kulala pekee ambapo kuna vyumba watoto wanalala chini chumba kimoja watoto 10 vitandata vipo vinne Pia...
Back
Top Bottom