udom

The University of Dodoma (UDOM) is a public university in central Tanzania located in Dodoma, the country's capital. Building is taking place on a 6,000-hectare site in the Chimwaga area about 8 kilometres (5.0 mi) east of downtown Dodoma.The University of Dodoma was formally established in March 2007 following the signing of the Charter by the President of the United Republic of Tanzania. The first academic programmes commenced in September 2007. Currently UDOM is the fastest growing university within the country, its biggest more than any other university within the country, and it's praised with producing competent and qualified candidate capable of competing in job market.
In line with Tanzania's Development Vision 2025, the University of Dodoma, when fully operational, will be able to enroll 50,000 students. This is more than triple the size of the University of Dar es Salaam when UDOM becomes fully operational. Up to now it is 80% complete and is already two times bigger the size and capacity of The university of Dar es salaam.The university of Dodoma currently has seven colleges: College of Earth Science, College of Natural and Mathematical Sciences, College of Informatics and Virtual Education, College of Education, College of Humanities and Social Sciences, College of Health and Allied Science and College of Business studies and Law, in recently there was also establishment of newly academic institute within college of humanities and social science UDOM named institute of Development studies(IDS) charged with responsibility of strengthening professionals within the field of Development studies.
Also is found in the Capital city of Tanzania

View More On Wikipedia.org
  1. Humble__

    JamiiForums Tanzania KERO Miundombinu ya Vyoo na majitaka Majengo ya UDOM kitivo cha Elimu (COED) ni hatarishi kwa wanafunzi

    Nimeona mdau mmoja kachangia kuhusu udom Binafsi nimefika pale hasa hayo majengo ya COED ambayo ndio wanaishi wanafunzi wa TIBA na EDUCATION watoto sio wanateseka na uchache wa sehemu za kulala pekee ambapo kuna vyumba watoto wanalala chini chumba kimoja watoto 10 vitandata vipo vinne Pia...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania UDOM: Tutafanya ukaguzi wa hosteli za Chuo chetu kubaini Wanafunzi wanaobebana

    Muda mfupi baada ya Mwananchi aliyejitambulisha kuwa ni mmoja wa Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kupitia JamiiForums.com kudai kuna changamoto ya hosteli katika chuo hicho, ufafanuzi umetolewa kutoka kwa Uongozi wa UDOM. Awali Mdau huyo alisema baadhi ya Wanafunzi hasa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi UDOM tunalipia gharama ya hosteli lakini ukikamilisha usajili unaambiwa vyumba vimejaa, tunalazimika kubebana

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) tumelipia gharama za hostel lakini cha ajabu tunaambiwa vyumba / hostels zimejaa ilihali Mwanafunzi umeshalipia gharama za hostel. Kibaya zaidi mfumo wa Chuo (SR2) unakulazimisha ili ukamilishe usajili lazima ulipie accommodation fee (gharama ya hostel)...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi UDOM tunaoomba 'Loan Extensions' tusikilizwe, maisha ni magumu

    Naomba ujumbe au andiko langu lifike kwa Viongozi wanaohusika, binafsi hali yangu ya maisha ya chuo itakuwa mbaya sana, mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma nasoma Shahada ya Uuguzi na Ukunga. Shida yangu naomba kufikisha ujumbe huu kwa Bodi ya Mikopo kuwa kuna Wanafunzi zaidi ya 200...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polisi yachunguza mhadhiri UDOM kuhamasisha maandamno ya Desemba 9. Inaripotiwa alirekodiwa wakati akifundisha

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Gallus Hyera amethibitisha kwamba Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM), alikamatwa kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano kinyume na sheria. ‎ ‎Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda huyo wakati akihojiwa na kwa njia ya simu na Clouds TV, Mhadhiri huyo alikamatwa...
  6. L

    JamiiForums Tanzania A lecturer at UDOM was arrested on allegations of inciting demonstrations.

    Dear members On 9 Dec, a fellow staff member was arrested, his home searched and interrogated at a police station before he was released on bail. He was accused of allegedly making remarks in his 8 Dec lecture (10:30-13:30) that incited students to participate in 9 Dec demonstrations...
  7. Damaso

    JamiiForums Tanzania Je, thesis defence ya chuo inapaswa kuwa wazi ama siri?

    Katika ulimwengu wa taaluma, ulinzi wa tasnifu (thesis defense) ni tukio la heshima na ukomo wa safari ya mwanafunzi wa shahada ya Uzamili au Uzamivu, Master's pamoja na PhD. Ni hapa ndipo mwanafunzi huwasilisha matokeo ya utafiti wake mbele ya jopo la wasomi na kujibu maswali ya kina, ili...
  8. R

    JamiiForums Tanzania UDOM LLB naomba kujua mazingira yake

    Nasikia Mabweni na madarasa mpaka upande bajaji/pikipiki. Is that true? ie it is a long distance... Accomodation ikoje? au kuna kupanga nje? Kijana amechaguliwa hapo, sasa wanasema UDOM pagumu kwa usafiri.
  9. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa maombi Postgraduate UDOM una shida gani? UDOM rekebisheni huo mfumo

    Wadau natanguliza shukrani zangu za awali. Najaribu kuapply postgraduate UDOM cha ajabu system hairespond kabisa na hapo deadline ni 30th August. Unapiga help desk hawapatikani na wachache wanaopatikana hawapokei. Aliyewahi kukutana na chagamoto hii alifanyaje. PS UDOM nao wapunguze maringo...
  10. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania UDOM hao omba omba ndani ya chuo na Watoto wadogo wanaozagaa kwenye cafeteria hatuwaelewi, liangalieni hili

    Kwa wale waliosoma ama waliowahi kufika Chuo kikuu cha Dodoma, hasa college ya social na Humanities, utaona wamama wengi na wazee wanazagaa kwenye milango cha cafeteria wakiwa na watoto wadogo wakiomba hela kwa wanafunzi. Shida ni wale watoto wanaokuwa nao kwamba hawasomi? maana ni watoto wadogo...
  11. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Chongolo: Chuo cha UDOM kilitakiwa kujenga Makambako

    Mtiania wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Makambako Godfrey Chongolo ,akizungumza na wajumbe wa kata ya Makambako akiwaomba wamchague.
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Uongozi wa Chuo cha UDOM uboreshe usafi hasa vyoo vya mabweni, hali si nzuri huko

    Naomba kuwasilisha kero hii kupitia jukwaa hili labda Serikali inaweza kuchukua hatua hitajika ili kuweka mazingira salama kwa ajili ya usalama wa afya za Wanafunzi na kutoa mazingira rafiki kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Hali ya usafi katika chuo hiki ni mbaya sana, hiyo...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO UDOM rekebisheni uandishi wa Vyeti, mnatukosesha fursa kwenye Ajira Portal!

    Nina kero moja, ngoja niiweke hadharani leo, ni kuhusu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinafanya Watu wapate tabu saana kupata ajira kupitia Ajira Portal. Mfano hizi kazi za Walimu wa Economist au Mathematics, Mtu kasomea Pschology of Education in Mathematics and Economics, cheti kinaandikwa...
  14. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Official: Kozi hizi za elimu hazitokuwepo tena UDOM, form six leavers tafuteni cha kusoma

    I salute you kinsmen. Kama nilivyoripoti mwanzo kuwa kuna tetesj programme nyingi udom katika ndaki ya elimu yaani college of education (COED) zitapunguzwa na kwanzia muhula huu hazitakuwepo .. Na sasa tamko rasmi limetoka kuwa course hizo hazitakuwepo Refers andiko lililopita...
  15. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Tetesi: UDOM kupunguza programme degree za ualimu, sasa zitabakia nne tu

    I salute you kinsmen. Mara baada ya UDOM kuwa na mkuu mpya chuo kuna mabadiliko makubwa kwa wadogo zetu wanafunzi wa ualimu ndaki ya elimu (college of education) Inaonekana ni mapendekezo ya serikali katika kupunguza idadi ya walimu kwa madai wamekuwa wengi nchini na hawana ajira, hivyo kulimit...
  16. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi UDOM aibuka mshindi kwa kubuni Nembo ya Made in Tanzania

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Tatu wa Shahada ya Awali ya Sayansi katika Mifumo ya Habari za Afya (HIS) kutoka Shule Kuu ya Uuguzi na Afya ya Jamii (SoNPH), Lucas Allen Haule ameibuka Mshindi wa Kwanza wa bunifu ya Utengenezaji wa Nembo ya Made in Tanzania ambapo lilihusisha zaidi ya washiriki 80...
  17. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025/2026.

    Huenda ni mtoto wako, au wewe mwenyewe unataka kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kwa ngazi ya; 1. Shahada ya awali (Bachelor's Degree) au, 2. Shahada ya Umahiri (Master's Degree) au, 3. Shahada ya Uzamivu (Doctor of Philosophy - PhD). Hata hivyo unatamani kufahamu zaidi...
  18. G Sam

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Gerson Msigwa azomewa UDOM. Aambiwa No Reforms No election. Atoa vitisho

    Usiku wa kuamkia leo kupitia kwa kinachoitwa tamasha la mama, Gerson Msigwa akiwa UDOM amekumbana na zomea zomea hadi kutoa vitisho. Zomea zomea hiyo ilikuwa akianikizwa na maneno "No reforms No election" Amepewa za uso, kila alilosema likawa linajibiwa kwa shubiri.
  19. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Gerson Msigwa ajibu kuhusu vijana waliomzomea UDOM wakisema 'No reforms No election' asema ni walevi wachache waliotumwa kupiga kelele

    Kupitia Instagram story yake Msemaji mkuu wa serikali na katibu mkuu wa wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo Gerson Msigwa ameweka ujumbe unaojibu tukio la kuzomewa jukwaani na wanafunzi wa UDOM wakisema 'No reforms, No election' kwa chochote alichothubutu kukisema jukwaani hapo, ambapo...
  20. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Kilichompata Msigwa UDOM iwe fundisho Kwa viongozi wanaodharau nguvu ya mitandao

    Hii Kasi ya movement ya no reform no election ni movement hatari sana. Naifananisha na movement ya MAGA, kipindi Trump anashuka kwenye escalator pale Trump tower New York,na kutangaza movement ya MAGA. Aisee viongozi wote wa Republican na Democrats waliidharau hiyo movement, ila kilichotokea...
Back
Top Bottom