Kwa machawa, leo ni siku muhimu sana. Anayewafuga kajitutumua asijue kitakachofuatia. Wapo wanasherehekea wasijue watalia soon.
Samia hawezi kutobowa. Naamini machawa na awafugaye watatobolewa. Ni suala la muda. Ukitaka kujua hiii, angalia spidi ya mashehetani ya kutishia wengine ilivyozimika...